What's your favorite movie line/quote?

What's your favorite movie line/quote?

Kidogo niiandike hii
Yule Jack alinifurahisha sana natamani mwanaume wa vile yaan alivyokua akimtibu yule marshal alvyozinduka akamuuliza Jack yopo wapi kate "she is dangerous" akamuonyesha ile karatasi ina picha ya kate kuonyesha kuwa ni muhalifu ,jack akabaki mdomo wazi
Kilichonishangaza yule hurley alivyokuja kujua katr ni mhalifu akawa anamuuliza jack ,Jack anamuambia hayanihusu,na sio matatizo yake,na hakumweleza kabisa kate na pamoja na ukaribu wao vile,,,kate akawa anajistukia akataka siku moja amuambie yaliyotokea jack akakataa akamuambia haina haja tunaanza maisha mapyaa hapa island kila kitu kipyaa aisee ingekuwa mwanaume wa kibongo hehehehe kate angekoma (Jack ana kifua na ni mwanaume haswa na yuko positive sana)
Niliishia pale yule dogo walt kakamatwa na wale jamaa sijui ni kina nanii
Na najiuliza kwanini hawatafutwii ina maana wale wote kwenye ndege si waliwapa taarifa ndugu zao kwanin serikali haiwatafuti

Bila shaka utakuwa unaizungumzia LOST
 
QUINTUS LENTULUS BATHIATUS..
"I think the god is displeased,the match is unbalanced for one man to stand against THEOCLEES and live"

My titans!! Youth the glory of god...
In honor of our
Magistrate TITUS KOLAVIAS has best invited to the primas,
SPARTACUS step foward,
CRIXUS step foward,
You have choosen to fight as one against THEOCALEES(the shadow of death)

SPARTACUS(BLOOD AND SAND season 5) THE SHADOW GAME
 
‘’Yesterday is history tomorrow is mystery but today is a gift that’s why is called present’’ by oogwei
 
Salaam wakuu,

Habari za furahi day?

Okay, mimi kama mpenzi wa movie hua napenda kuhakikisha hakuna kinachonipita hata sentensi moja na ndio maana hua napenda kuangalia movies zenye subs.

Huwa unakuta kwenye movie kuna punchline matata ambayo inakupa msisimko wa kutamani kujua actions zinazofata.

Personally ziko quotes nyingi tu, ila hii "l don't think you understand, these boys killed my dog" Nilijua kinachoenda kutokea itakua ni hatari... hebu tupia na zako
"Son,that fucking idiot is John Wick"
 
Billy Cristal: What do you do for a living?

Deniro: I am the boss, I don't do anything..

Analyze this
 
Every time I tap my sword down, one of your men dies........
Yu want me to go bit faster captan.....
Where is JACK SPARROW........

CAPTAN SALASAR
PIRATES OF THE CARIBEAN, DEAD MAN TELLS NO TALE
 
Back
Top Bottom