Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Imekaa kibabe sana“faith is based on what we can not see, if there is faith there is manipulation, if there is manipulation there is fear, if there is fear there is power”
Warrior Nun [emoji851]
Kidogo niiandike hii
Yule Jack alinifurahisha sana natamani mwanaume wa vile yaan alivyokua akimtibu yule marshal alvyozinduka akamuuliza Jack yopo wapi kate "she is dangerous" akamuonyesha ile karatasi ina picha ya kate kuonyesha kuwa ni muhalifu ,jack akabaki mdomo wazi
Kilichonishangaza yule hurley alivyokuja kujua katr ni mhalifu akawa anamuuliza jack ,Jack anamuambia hayanihusu,na sio matatizo yake,na hakumweleza kabisa kate na pamoja na ukaribu wao vile,,,kate akawa anajistukia akataka siku moja amuambie yaliyotokea jack akakataa akamuambia haina haja tunaanza maisha mapyaa hapa island kila kitu kipyaa aisee ingekuwa mwanaume wa kibongo hehehehe kate angekoma (Jack ana kifua na ni mwanaume haswa na yuko positive sana)
Niliishia pale yule dogo walt kakamatwa na wale jamaa sijui ni kina nanii
Na najiuliza kwanini hawatafutwii ina maana wale wote kwenye ndege si waliwapa taarifa ndugu zao kwanin serikali haiwatafuti
"Son,that fucking idiot is John Wick"Salaam wakuu,
Habari za furahi day?
Okay, mimi kama mpenzi wa movie hua napenda kuhakikisha hakuna kinachonipita hata sentensi moja na ndio maana hua napenda kuangalia movies zenye subs.
Huwa unakuta kwenye movie kuna punchline matata ambayo inakupa msisimko wa kutamani kujua actions zinazofata.
Personally ziko quotes nyingi tu, ila hii "l don't think you understand, these boys killed my dog" Nilijua kinachoenda kutokea itakua ni hatari... hebu tupia na zako
🤣🤣🤣🤣, hii quote hatari. Halafu kuna moja kwenye shooter mark anakwambia "you don't understand, they killed my dog""Son,that fucking idiot is John Wick"
Umetisha mkuu hiki kipande nakikubali sana!!!😂😂dem anajitoa hasira zKe mwamba hata hamjuiWanda: You took everything away from me
Thanos: i don't even know you
Yaano that dog was ao special kwa John Wick🤣🤣🤣🤣, hii quote hatari. Halafu kuna moja kwenye shooter mark anakwambia "you don't understand, they killed my dog"
Thanos midharau😂😂Umetisha mkuu hiki kipande nakikubali sana!!!😂😂dem anajitoa hasira zKe mwamba hata hamjui