kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Hello bosses and roses...
Kuna mambo madogo madogo ambayo watu huwa tunajisahau lkn yana umuhimu sana kwa masaa 24 yatakayofuata.
Mfano mtu unaamka tu asbh hapo hapo unapiga mswaki na kutafuta usafiri uelekee kituo chako cha kazi lkn ukifuatilia ikifika saa tano asbh tyr ushaanza kuchoka na kuchukia siku yote iliobaki. Hapo utaanza kuhesabu masaa yaliobaki ili urudi kwako ambapo huko nako labda hukutandika kitanda asbh (kama ni bachela) au sebule ni chafu ipo kwenye mvurugano tu, au hata uwanja wa nje hujafagia. Ukirudi huko napo lazima uwe bored tu na asbh yake circle inajirudia.
Morning ritual au Ibada ya asbh sio lazima iwe ni sala, ni mambo kadhaa ambayo lazima uyafanye asbh, hii ukiifuata itakujengra discpline bila hata kujijua au kutumia nguvu kubwa sana. Vile vile unaweza kufanya siku yako iwe nzuri.
Mfano mdg tu ni kutandika kitanda chako na kufagia uwanja au kusafisha chumba au/na sebule yako.
Kwenye Taoism kitendo cha kufanya usafi asubuhi kina maana kubwa sana kiroho, sababu inakupa sense ya kusafisha takataka zote moyoni, rohoni na akilini. Ndo maana utaona monks wengi hufagia uwanja lkn kwa hisia sana sababu muda huo yupo deep kwenye meditation anasafisha akili yake, moyo wake na roho yake (kuondoa chuki, hofu zisizo na lazima, etc....)
Binafsi siwezi kuanza siku bila meditation, push up 200, sit ups 200, usafi kisha kusoma angalau page 10 za kitabu (hard copy). Baada ya hapo ndipo nitashika simu au computer, lkn kabla ya hapo hata akipiga simu nani siwezi kupokea mpaka nimalize morning ritual yangu. Nimefanya hivyo kwa mwaka na nusu sasa na ninahisi utofauti sana ukilinganisha na kpnd cha nyuma ambapo nikiamka tu ni kuoga kisha kazini.
So, what is your morning ritual?
Kuna mambo madogo madogo ambayo watu huwa tunajisahau lkn yana umuhimu sana kwa masaa 24 yatakayofuata.
Mfano mtu unaamka tu asbh hapo hapo unapiga mswaki na kutafuta usafiri uelekee kituo chako cha kazi lkn ukifuatilia ikifika saa tano asbh tyr ushaanza kuchoka na kuchukia siku yote iliobaki. Hapo utaanza kuhesabu masaa yaliobaki ili urudi kwako ambapo huko nako labda hukutandika kitanda asbh (kama ni bachela) au sebule ni chafu ipo kwenye mvurugano tu, au hata uwanja wa nje hujafagia. Ukirudi huko napo lazima uwe bored tu na asbh yake circle inajirudia.
Morning ritual au Ibada ya asbh sio lazima iwe ni sala, ni mambo kadhaa ambayo lazima uyafanye asbh, hii ukiifuata itakujengra discpline bila hata kujijua au kutumia nguvu kubwa sana. Vile vile unaweza kufanya siku yako iwe nzuri.
Mfano mdg tu ni kutandika kitanda chako na kufagia uwanja au kusafisha chumba au/na sebule yako.
Kwenye Taoism kitendo cha kufanya usafi asubuhi kina maana kubwa sana kiroho, sababu inakupa sense ya kusafisha takataka zote moyoni, rohoni na akilini. Ndo maana utaona monks wengi hufagia uwanja lkn kwa hisia sana sababu muda huo yupo deep kwenye meditation anasafisha akili yake, moyo wake na roho yake (kuondoa chuki, hofu zisizo na lazima, etc....)
Binafsi siwezi kuanza siku bila meditation, push up 200, sit ups 200, usafi kisha kusoma angalau page 10 za kitabu (hard copy). Baada ya hapo ndipo nitashika simu au computer, lkn kabla ya hapo hata akipiga simu nani siwezi kupokea mpaka nimalize morning ritual yangu. Nimefanya hivyo kwa mwaka na nusu sasa na ninahisi utofauti sana ukilinganisha na kpnd cha nyuma ambapo nikiamka tu ni kuoga kisha kazini.
So, what is your morning ritual?