What's your morning ritual? / Nini ni ibada yako ya asubuhi?

What's your morning ritual? / Nini ni ibada yako ya asubuhi?

Baada ya kuamka asubuhi ni sala kwanza, kutandika kitanda kisha kupiga bafu na kusepa, maandalizi ya mavazi na vitu vingine vya kazi huwa navifanya kabla la kulala ila kupunguza vipengele asubuhi

Sijajua unaishi wapi mkuu ila itakuwa ama unaamka asubuhi sana, huishi mbali na eneo lako la kazi/umejiajiri ili kuweza kufanya vyote hivyo asubuhi

Si wengine tunaskip vipengele vingi hivyo asubuhi maana usafiri wenyewe ni mtihani, hivyo lazima ukapambanie usafiri vinginevyo kuchelewa job itakuwa ni daily
Hapo hivyo vyote vinachukua saa moja na nusu tu. Ukiamka saa kumi na moja kamili basi saa moja asbh unakua ushamaliza kila kitu. Kawaida reporting time ya maofisini ni saa mbili na nusu asbh, una saa zima lna nusu a kutafuta usafiri.

Kama ngumu anza na dkk 30 za tizi kisha cold shower, utakuja kuona ulichelewa sana kuanza
 
Hio yote nakubaliana nawe mleta mada.
Ila ikumbukwe duniani hapa kila mtu, kila jamii, kila imani ina mifumo ya jinsi ya kuishi na kwa mifumo hio wanaishi na wanapata faida ya kuishi.

Hayo uliyo yaelezea hapa ni mfumo wako na wa jamii yako au wale wote wanao ona ni vyema kuishi kwa namna hio.

Kila kiumbe hapa duniani kina fanya juhudi kutafuta namna bora ya kuishi kulingana na mazinga yaliyopo wakati huo.
 
Hello bosses and roses...

Kuna mambo madogo madogo ambayo watu huwa tunajisahau lkn yana umuhimu sana kwa masaa 24 yatakayofuata.

Mfano mtu unaamka tu asbh hapo hapo unapiga mswaki na kutafuta usafiri uelekee kituo chako cha kazi lkn ukifuatilia ikifika saa tano asbh tyr ushaanza kuchoka na kuchukia siku yote iliobaki. Hapo utaanza kuhesabu masaa yaliobaki ili urudi kwako ambapo huko nako labda hukutandika kitanda asbh (kama ni bachela) au sebule ni chafu ipo kwenye mvurugano tu, au hata uwanja wa nje hujafagia. Ukirudi huko napo lazima uwe bored tu na asbh yake circle inajirudia.

Morning ritual au Ibada ya asbh sio lazima iwe ni sala, ni mambo kadhaa ambayo lazima uyafanye asbh, hii ukiifuata itakujengra discpline bila hata kujijua au kutumia nguvu kubwa sana. Vile vile unaweza kufanya siku yako iwe nzuri.

Mfano mdg tu ni kutandika kitanda chako na kufagia uwanja au kusafisha chumba au/na sebule yako.

Kwenye Taoism kitendo cha kufanya usafi asubuhi kina maana kubwa sana kiroho, sababu inakupa sense ya kusafisha takataka zote moyoni, rohoni na akilini. Ndo maana utaona monks wengi hufagia uwanja lkn kwa hisia sana sababu muda huo yupo deep kwenye meditation anasafisha akili yake, moyo wake na roho yake (kuondoa chuki, hofu zisizo na lazima, etc....)

Binafsi siwezi kuanza siku bila meditation, push up 200, sit ups 200, usafi kisha kusoma angalau page 10 za kitabu (hard copy). Baada ya hapo ndipo nitashika simu au computer, lkn kabla ya hapo hata akipiga simu nani siwezi kupokea mpaka nimalize morning ritual yangu. Nimefanya hivyo kwa mwaka na nusu sasa na ninahisi utofauti sana ukilinganisha na kpnd cha nyuma ambapo nikiamka tu ni kuoga kisha kazini.

So, what is your morning ritual?
Hii nzuri, nimeokota jambo hapa,
 
Hello bosses and roses...

Kuna mambo madogo madogo ambayo watu huwa tunajisahau lkn yana umuhimu sana kwa masaa 24 yatakayofuata.

Mfano mtu unaamka tu asbh hapo hapo unapiga mswaki na kutafuta usafiri uelekee kituo chako cha kazi lkn ukifuatilia ikifika saa tano asbh tyr ushaanza kuchoka na kuchukia siku yote iliobaki. Hapo utaanza kuhesabu masaa yaliobaki ili urudi kwako ambapo huko nako labda hukutandika kitanda asbh (kama ni bachela) au sebule ni chafu ipo kwenye mvurugano tu, au hata uwanja wa nje hujafagia. Ukirudi huko napo lazima uwe bored tu na asbh yake circle inajirudia.

Morning ritual au Ibada ya asbh sio lazima iwe ni sala, ni mambo kadhaa ambayo lazima uyafanye asbh, hii ukiifuata itakujengra discpline bila hata kujijua au kutumia nguvu kubwa sana. Vile vile unaweza kufanya siku yako iwe nzuri.

Mfano mdg tu ni kutandika kitanda chako na kufagia uwanja au kusafisha chumba au/na sebule yako.

Kwenye Taoism kitendo cha kufanya usafi asubuhi kina maana kubwa sana kiroho, sababu inakupa sense ya kusafisha takataka zote moyoni, rohoni na akilini. Ndo maana utaona monks wengi hufagia uwanja lkn kwa hisia sana sababu muda huo yupo deep kwenye meditation anasafisha akili yake, moyo wake na roho yake (kuondoa chuki, hofu zisizo na lazima, etc....)

Binafsi siwezi kuanza siku bila meditation, push up 200, sit ups 200, usafi kisha kusoma angalau page 10 za kitabu (hard copy). Baada ya hapo ndipo nitashika simu au computer, lkn kabla ya hapo hata akipiga simu nani siwezi kupokea mpaka nimalize morning ritual yangu. Nimefanya hivyo kwa mwaka na nusu sasa na ninahisi utofauti sana ukilinganisha na kpnd cha nyuma ambapo nikiamka tu ni kuoga kisha kazini.

So, what is your morning ritual?
Hujasema faida zake lakini
 
Hio yote nakubaliana nawe mleta mada.
Ila ikumbukwe duniani hapa kila mtu, kila jamii, kila imani ina mifumo ya jinsi ya kuishi na kwa mifumo hio wanaishi na wanapata faida ya kuishi.

Hayo uliyo yaelezea hapa ni mfumo wako na wa jamii yako au wale wote wanao ona ni vyema kuishi kwa namna hio.

Kila kiumbe hapa duniani kina fanya juhudi kutafuta namna bora ya kuishi kulingana na mazinga yaliyopo wakati huo.
Maelezo mazuri sana.

Na ndo maana topic ya uzi ni "What is your morning ritual?" Na kisha nikaweka ritual yangu.
 
Hello bosses and roses...

Kuna mambo madogo madogo ambayo watu huwa tunajisahau lkn yana umuhimu sana kwa masaa 24 yatakayofuata.

Mfano mtu unaamka tu asbh hapo hapo unapiga mswaki na kutafuta usafiri uelekee kituo chako cha kazi lkn ukifuatilia ikifika saa tano asbh tyr ushaanza kuchoka na kuchukia siku yote iliobaki. Hapo utaanza kuhesabu masaa yaliobaki ili urudi kwako ambapo huko nako labda hukutandika kitanda asbh (kama ni bachela) au sebule ni chafu ipo kwenye mvurugano tu, au hata uwanja wa nje hujafagia. Ukirudi huko napo lazima uwe bored tu na asbh yake circle inajirudia.

Morning ritual au Ibada ya asbh sio lazima iwe ni sala, ni mambo kadhaa ambayo lazima uyafanye asbh, hii ukiifuata itakujengra discpline bila hata kujijua au kutumia nguvu kubwa sana. Vile vile unaweza kufanya siku yako iwe nzuri.

Mfano mdg tu ni kutandika kitanda chako na kufagia uwanja au kusafisha chumba au/na sebule yako.

Kwenye Taoism kitendo cha kufanya usafi asubuhi kina maana kubwa sana kiroho, sababu inakupa sense ya kusafisha takataka zote moyoni, rohoni na akilini. Ndo maana utaona monks wengi hufagia uwanja lkn kwa hisia sana sababu muda huo yupo deep kwenye meditation anasafisha akili yake, moyo wake na roho yake (kuondoa chuki, hofu zisizo na lazima, etc....)

Binafsi siwezi kuanza siku bila meditation, push up 200, sit ups 200, usafi kisha kusoma angalau page 10 za kitabu (hard copy). Baada ya hapo ndipo nitashika simu au computer, lkn kabla ya hapo hata akipiga simu nani siwezi kupokea mpaka nimalize morning ritual yangu. Nimefanya hivyo kwa mwaka na nusu sasa na ninahisi utofauti sana ukilinganisha na kpnd cha nyuma ambapo nikiamka tu ni kuoga kisha kazini.

So, what is your morning ritual?
Kwangu saa ya kuongea na Mungu ni msalaba wa aliosulubiwa Yesu 24 hour's

Saa yeyoye iwe ya mkononi chora msalaba mshale utakuwa eneo la 12,3,6,9 kwenye saa ya mkononi hivyo alarm na set masaa hayo ikilia lazima niiongee na Mungu mambo yangu binafsi mimi na yeye

Hiyo ndio mida yqngu ya kuongea na Mungu iwe mchana au usiku mambo yangu binafsi hata niwe chooni alarm nimeweka hiyo mida italia nitaongea na muumba wangu kibinafsi nikiwa nimechemka kwa lolote nikimuudhi nitamuomba anisamehe bure kiumbe wake.Lazima nisali iwe mchana au usiku wa manane Alarm itaniamusha niongee na Mungu muumbaji wangu hata dakika moja
 
Back
Top Bottom