What’s your opinion of Kamala Harris

What’s your opinion of Kamala Harris

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,892
Kamala Harris tangia awe Vice President amegeuka kuwa kichekesho Kwa nini ??
A3E67D62-B2E5-4080-9497-45E4DDD76E6C.jpeg
6BA7A940-9384-44FD-A79B-D46400A1F792.jpeg
 
sio yeye kichekesho nafasi aliyopo ndoshid a kwani hukumbuki mama yetu Samia au mpango unamuonaje
 
Kamala Harris tangia awe Vice President amegeuka kuwa kichekesho Kwa nini ??View attachment 2148070View attachment 2148076
Ni ubaguzi tu sio kitu kingine, wazungu wanatabia ya kutengenezea mazingira ujione hufai lakin ukweli ni kwamba ameshaweka historia

Kuwa vice president wa kwanza wa kike na biracial ni kitu ambacho wako wazungu hawajafurahishwa nacho Ila ndo ukweli unawauma akicheka Kosa, hakinuna kosa hakuna jema
 
Ni ubaguzi tu sio kitu kingine, wazungu wanatabia ya kutengenezea mazingira ujione hufai lakin ukweli ni kwamba ameshaweka historia

Kuwa vice president wa kwanza wa kike na biracial ni kitu ambacho wako wazungu hawajafurahishwa nacho Ila ndo ukweli unawauma akicheka Kosa, hakinuna kosa hakuna
Ni ubaguzi tu sio kitu kingine, wazungu wanatabia ya kutengenezea mazingira ujione hufai lakin ukweli ni kwamba ameshaweka historia

Kuwa vice president wa kwanza wa kike na biracial ni kitu ambacho wako wazungu hawajafurahishwa nacho Ila ndo ukweli unawauma akicheka Kosa, hakinuna kosa hakuna jema
Sasa Mbona walio acha kazi na wanaolalamika ni weusi .wanasema Kamala anawachukia weusi
C0C9295F-2DB2-4B22-A7FC-3E1D7E0986CA.jpeg
564BD863-36F2-4BAB-B0EA-79D0452147D7.jpeg
 
To hell, mbona wao wanasupport ushoga? Kwa hyo kutembea na mme wa mtu ndo wamsakame namna hiyo?
Alipomaliza college tu aka date governor brown wa California governor akamteua mistress Kamala kuwa attorney general ( no experience wala nini ) .My point is hiki cheo ni kikubwa sana compare na elimu yake na experience.Unaambiwa hawezi hata ku memorize kitu chochote
 
Alipomaliza college tu aka date governor brown wa California governor akamteua mistress Kamala kuwa attorney general ( no experience wala nini ) .My point is hiki cheo ni kikubwa sana compare na elimu yake na experience.Unaambiwa hawezi hata ku memorize kitu chochote
Ina maana wazee wa kipenyo huko usa nao sawa tu na bongo?
 
Back
Top Bottom