njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Naam Bugga Buggati limefanikisha kuhamishia matatizo yake kwenye taasisi, baada ya Barbara kukataa ujinga wake huo haswa pale aliposema mashabiki wa yanga wasiingie kwenye mechi za kimataifa za simba na uongozi wa Barbara ukatoa press release kusikitishwa na matamko yake hayo na ya kuyakana
Kwa sasa Bugatti PWAGU limepata PWAGUZI wenzake huko utopoloni ni mwendo wa PIPA NA MFUNIKO yaani mserereko tu,matatizo ya sope takadini yanabebebwa na kukumbatiwa kwa ustadi mkubwa na taasisi hiyo
Angalia mwenyewe kwenye hii whatsapp group wanavyo discuss Karia na kumdhuru labda jeshi limfungie lugalo jeshin kwa usalama wake.
Kwa sasa Bugatti PWAGU limepata PWAGUZI wenzake huko utopoloni ni mwendo wa PIPA NA MFUNIKO yaani mserereko tu,matatizo ya sope takadini yanabebebwa na kukumbatiwa kwa ustadi mkubwa na taasisi hiyo
Angalia mwenyewe kwenye hii whatsapp group wanavyo discuss Karia na kumdhuru labda jeshi limfungie lugalo jeshin kwa usalama wake.