Whatsapp Group ya wapenzi wa zamani

Jibaba Bonge

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2008
Posts
1,246
Reaction score
402
Kwenye tangazo la kampuni moja ya Simu, mdada anamlalamikia EX wake kwanini amefungua whatsapp group akali-name 'Ma-EX wangu'
Hili ni tangazo tu lakini just imagine posts za humo kwenye group zitakuwaje?
 
Kuna viumbe wanaweza kujaza group zima la x tupu,
 
Kweli hili ni tangazo, lakini inaweza kutokea katika maisha ya kawaida
 
Yule dada ana kasauti flani anavyomuita huyu chedi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…