Whatsapp Group ya wapenzi wa zamani

Whatsapp Group ya wapenzi wa zamani

Jibaba Bonge

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2008
Posts
1,246
Reaction score
402
Kwenye tangazo la kampuni moja ya Simu, mdada anamlalamikia EX wake kwanini amefungua whatsapp group akali-name 'Ma-EX wangu'
Hili ni tangazo tu lakini just imagine posts za humo kwenye group zitakuwaje?
 
Kuna viumbe wanaweza kujaza group zima la x tupu,
 
Kweli hili ni tangazo, lakini inaweza kutokea katika maisha ya kawaida
 
Yule dada ana kasauti flani anavyomuita huyu chedi
 
Back
Top Bottom