Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Je
Ulijikausha?
Uliomba samahani?
Ulijifanya kuibiwa simu?
Ulichomokaje kwenye hii soo?
Ulijikausha?
Uliomba samahani?
Ulijifanya kuibiwa simu?
Ulichomokaje kwenye hii soo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninashukuru kwenye cm yangu hakuna vitu VYA ajabu hata ikitokea nimeshare bila kujua bas ni vitu VYA kawaidaJe
Ulijikausha?
Uliomba samahani?
Ulijifanya kuibiwa simu?
Ulichomokaje kwenye hii soo?
Kama mimi, hata nikidownload bahati mbaya mapicha/video/voice note yenye content mbaya huwa nafuta.Ninashukuru kwenye cm yangu hakuna vitu VYA ajabu hata ikitokea nimeshare bila kujua bas ni vitu VYA kawaida
mkuu hata zile stika zenu za ajabuajabu mnatumiana huna?Ninashukuru kwenye cm yangu hakuna vitu VYA ajabu hata ikitokea nimeshare bila kujua bas ni vitu VYA kawaida
Sina kwenye cm yangu sticker zilizopo za nyau,au mtu ana cheka basmkuu hata zile stika zenu za ajabuajabu mnatumiana huna?
Kwan Nan anitumie sticker kama hizo hakunaSina kwenye cm yangu sticker zilizopo za nyau,au mtu ana cheka bas
duh hongeraSijawah huwa nipo makin mno
Mchaichai na mdalalisi imekolea vizurikuna siku bana maza mmoja mzee wa kanisa alitupia pilau kwa bahati mbaya kwenye group la jumuia ikawa mtihani kumshtua maana yeye mwenyewe alikuwa hana habari badae akazuga eti cm yake iliibwa[emoji3]
Siku hizi admins wa group wamepewa uwezo wa kufuta post kwenye WhatsApp. Zamani ilikuwa hakuna hiyo option mtu akikosea mpaka afute yeye mwenyewe.Kuna baba alinisimulia hii..... sijui yupo humu...!!?
Kama yupo humu akipita hapa akisoma akaushe tuu 😜😜.
Alisema kwenye group la familia yao la whatsapp wako wao na wazazi wao, sasa kuna binamu yake usiku kama saa sita hivi akakosea akatuma kwenye group la familia kachumbari ya dakika 20 watu wanakulana. Akapaniki kwenye kuifuta akafuta upande wake tuu badala ya kuchagua delete to all...!!!
Akazidi kupaniki na kuwashirikisha binamu wenzie wakiume, kuwa wamsaidie wafanyaje maana mama zao na baba zao wakiona itakuwa aibu. Wakajadiliana pembeni mmoja akaja na wazo wahakikishe wanatuma jumbe za kutosha kwenye group la familia hadi asubuhi kuwe na notification elfu moja hivi ili ile kachumbari iwe mbali mtu akitaka kusoma jumbe zote aone uvivu aache.
Mbinu hiyo waliifanyia kazi na iliwezekana, asubuhi shangazi yao mmoja anauliza...... humu ndani kwenye group mmefanya nini mbona jumbe nyingi sana...!!!
Mabinamu wakawa wanatuma emoji tuu za tabasamu....
Nimewakilisha.
Hii sio maza wa kanisa la an....n kweli? G. Moro? Maana zimefanan sana skendo hizikuna siku bana maza mmoja mzee wa kanisa alitupia pilau kwa bahati mbaya kwenye group la jumuia ikawa mtihani kumshtua maana yeye mwenyewe alikuwa hana habari badae akazuga eti cm yake iliibwa[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanangu wawili iliwatokea hii
Wa kwanza aliweka mkuyati wake kwenye magroup ya kazi na michezo mbaya zaidi alishindwa kukanusha maana hadi mikono yake Kuna namna ilionekana
Wa pili, kajipiga Gillette anaenda kumchinja manzi wake Moro[emoji16]kufika road akalaza siti kampiga picha abdala kichwa wazi badala ya kumtumia demu akaweka status