Whatsapp imerudi


[emoji23][emoji23]umenichekesha sana aise!!eti matokeo ya watoto wao wa nursery..

Naona kuzuia hisia imekuwa msamiati wa kichina
 
Ten ile mpya iliboa maan ukiangalia umbea wa mtu mwenywe anapata taarifa looh nikaaacha kuangalia ila ss hiv mambo yote yapo mubashara kabisa

[emoji23][emoji23]umeonaee..sasa hvi kitu live
Mi mwenyewe niliumbuka aise..
Ila huu umbea jamn wa mitandaon ni shida.mwanzo na mimi nilikuwa kama wew aise
 
Hahaa kama nakuona utaanza ziangalia maana unakosa uhondo

Asikudanganye huyo anachungulisga sana.wew utaangaliaje pic ya mtu ushindwekuangalia alichoandika.umbea muhimu bhna aaa
 
huwa nasoma soma [emoji23][emoji23][emoji23] moja imeandikwa najikubali kabla sijakubaliwa
ila mm ugonjwa wangu whatsap n dp za watu yaan nimekua addicted [emoji23][emoji23]

Naomba uwe mkweli shunie..wakati mwingine mzuri
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kweli umbea mtamu,. Ila ili usionekane umeview zile status za video nenda kwenye settings kisha account then privacy tafuta read receipts ondoa ile tiki utakua huru kuchungulia bila kuonwa na mhusika
Asikudanganye huyo anachungulisga sana.wew utaangaliaje pic ya mtu ushindwekuangalia alichoandika.umbea muhimu bhna aaa
 
[emoji23][emoji23]umeonaee..sasa hvi kitu live
Mi mwenyewe niliumbuka aise..
Ila huu umbea jamn wa mitandaon ni shida.mwanzo na mimi nilikuwa kama wew aise
Yaani mie nikinunua tu bando cha kwanz ni kupitia status zote nikimaliza status nakuja kuangalia dp sas loo umbea huu jamn
 
ukweli wangu kabisa mm dp za watu yaan hapo ndio napapenda [emoji23]

Huo nao ni ushilawadu.[emoji23][emoji23][emoji12]kweli maisha ya wanawake bila ushilawadu hayaendi kabisa
 
Yaani mie nikinunua tu bando cha kwanz ni kupitia status zote nikimaliza status nakuja kuangalia dp sas loo umbea huu jamn

Utatumaliza jmn.kumbe maisha yalikuwa hayaendi sawia kipindi hicho kulivyokuwa hakuna hizi social networks.loh
 

Hii nimeinyaka naichukua haki tena.ehee nikiondoa hiko kitiki chao sijui nitaweza kuangalia nani kaniangalia si ndio!!au ndo ile ukitoa kitiki na wew huon watu walikuangalia!!nitaumwa jmn kama sitawaona watu.

Umbea hauwezi isha haki tena
 
Yaani mie nikinunua tu bando cha kwanz ni kupitia status zote nikimaliza status nakuja kuangalia dp sas loo umbea huu jamn

Mi huwa naanzaga na wale watu muhimu kabisa ambao najua maisha yao wanalala,wanapika,wanaosha vyombo,wanafulia,wanaoga na kuvaa whatsapp patamu hapo.
Nikamliza sasa ndo naanza kujibu txt za wato..

Kwa hali hii ushilawadu hauwezi kwisha loh
 
Hahaa ndio ukitoa na wewe hautawaona wanaokuchungulia
Hii nimeinyaka naichukua haki tena.ehee nikiondoa hiko kitiki chao sijui nitaweza kuangalia nani kaniangalia si ndio!!au ndo ile ukitoa kitiki na wew huon watu walikuangalia!!nitaumwa jmn kama sitawaona watu.

Umbea hauwezi isha haki tena
 
Mi huwa naanzaga na wale watu muhimu kabisa ambao najua maisha yao wanalala,wanapika,wanaosha vyombo,wanafulia,wanaoga na kuvaa whatsapp patamu hapo.
Nikamliza sasa ndo naanza kujibu txt za wato..

Kwa hali hii ushilawadu hauwezi kwisha loh
Loooh umeniacha nichek kwa sauti looh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…