Acha upumbavu wewe....privacy ni jambo la msingi. Hata chumbani kwako penyewe unafunga wakati unajua huna cha kuibiwa .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upumbavu mwingine bhana!
Mtu huna lolote, hajuna anaekujua, ni kapuku, huna kitengo chochote, si mwanaharakati, eti unaogopa kukusanywa taarifa?
Huyu kigogo kawafanya wajinga sana.
Kwanza jiulize taarifa zako hata wakiwa nazo una madhara gani wewe kwa dunia ya sasa hivi?
Nini cha kuogopa? Nipe mfano wa mashartiHuogopi
Nilijua sielew peke yanguLugha yenyewe haieleweki
Tuko wengi mkuu, naona mwandishi alitumwa kututoa kwenye reli juu ya jambo tusilolijua
Mkuu Hii Whatapp Ndio Nn?Kuna nchi hakuna Whatapp kabisa...
Mi sina account ya FACEBOOK, kuna tatizo gani hapo