DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,256
- 4,647
Wanadanga eti masharti haya mapya hayawahusu watumiaji waliopo Ulaya lakini sote tunaendelea kukumbushwa kuhusu mabadiliko hayo.
Kimsingi binafsi nimelazimika kufuta hata Facebook kwenye simu yangu mara baada ya IOS 14.5.1 kuanza kutumika kwasababu Facebook walitaka kunilazimisha kukubali wanifuatilie wanavyotaka.
Facebook imepoteza muelekeo kwa namna ambavyo wanatumia taarifa za wateja wao kwa manufaa yao bila kujali haki za msingi za kulinda taarifa husika
Nasubiri muda ufike tu naondoka whatsapp
Kimsingi binafsi nimelazimika kufuta hata Facebook kwenye simu yangu mara baada ya IOS 14.5.1 kuanza kutumika kwasababu Facebook walitaka kunilazimisha kukubali wanifuatilie wanavyotaka.
Facebook imepoteza muelekeo kwa namna ambavyo wanatumia taarifa za wateja wao kwa manufaa yao bila kujali haki za msingi za kulinda taarifa husika
Nasubiri muda ufike tu naondoka whatsapp