😀😀Na uwa unaumia?
Kuja hapa maanake kasukumwa na maumivuNa uwa unaumia?
Una gubu inaonekana yaani unakera kama Fiston MayeleNiliset status nikachagua mtu mmoja ndio aweanaona. Nilimnyoosha hadi siku akaniambia "hivi unadhani huwa siumii, ukipost niondoe basi mimi nisiwe naona" nikamwambia niblock.
Angejua nilikuwa nampostia yeye tu[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliset status nikachagua mtu mmoja ndio aweanaona. Nilimnyoosha hadi siku akaniambia "hivi unadhani huwa siumii, ukipost niondoe basi mimi nisiwe naona" nikamwambia niblock.
Angejua nilikuwa nampostia yeye tu[emoji23][emoji23]