Whatsapp status za kijanja

We Nyani we yaani basi tu. Yaani nimeangua kicheko bila kupenda. Sijui sometimes huwa unafikiria nini. It must be extremely loud in your mind!
Aiisee hiyo avatar yako akiiona kigwangla mbna atakushitaki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sio kwa mimacho hio
 
Mie tena kwako Ses ni kama uji na mgonjwa ujue. πŸ˜€
@Shadeeya nakusalimu na sesy wako.

Hahaha...unavyotaja na kuiandika sesy bila shaka ushalegea kwa Sesy.

[emoji861][emoji861][emoji861][emoji119]
 
@Shadeeya nakusalimu na sesy wako.

Hahaha...unavyotaja na kuiandika sesy bila shaka ushalegea kwa Sesy.

[emoji861][emoji861][emoji861][emoji119]
Hahahaaa. Mi sijambo. Mzima?

Najuana naye huyo hivyo wala asikupe shida na hata hiyo Ses ndo nnavyomwita siku zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…