Pre form one
Member
- Dec 20, 2023
- 28
- 46
Pop 8Aina ya simu unayo tumia??
. Hapo umefungiwa maisha, Yawezekana kuna jambo baya umelifanya..Pop 8
Imeanza lini Toka uinunueHabari ,Poleni na Majukumu ya kila siku! Nina changamoto moja ya whatsup yangu hii mara ya pili imekua ikiwa locked hivi.
Naombeni msaada maana nafahamu humu Kuna wataalamu wengi sana wanaoelewa vizuri haya mambo.Nimeambatanisha picha.
Ahsante.
Kafungiwa akaunti (means ni namba yake)Shida ni simu. Badilisha hiyo simu.
Imeanza liniHabari ,Poleni na Majukumu ya kila siku! Nina changamoto moja ya whatsup yangu hii mara ya pili imekua ikiwa locked hivi.
Naombeni msaada maana nafahamu humu Kuna wataalamu wengi sana wanaoelewa vizuri haya mambo.Nimeambatanisha picha.
Ahsante.
Hahahahah badili simu kakaMimi hadi nilishasahau kama kuna Whatsapp.
Tokea nianze kutumia kisimu cha OPPO, whatsapp niliitumia wiki mbili tu na ghafla ikaja message kama hiyo.
Niko kwenye upembuzi yakinifu, upembuzi wa simu gani makini ukikamilika nitabadili, asante.Hahahahah badili simu kaka
Apo SAWA mkuuNiko kwenye upembuzi yakinifu, upembuzi wa simu gani makini ukikamilika nitabadili, asante.
Apo SAWANiko kwenye upembuzi yakinifu, upembuzi wa simu gani makini ukikamilika nitabadili, asante.