supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Teh noooma
Jamaa wa3 walikodisha hoteli ya ghorofa 60, wao wakapata ghorofa ya mwisho kabisa, wakapanda kwa lift na asubuhi wakashuka kwa lift, jioni walivyorudi wakakuta umeme umekatika wakakubaliana wapande ngazi kwa stori,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]