supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nimecheka leooooooooooooo.
dah!!!!!!!!!!!!!!!!!!. nkipata stresss tena ntakuwa narudi kwenye uzi huu ili nirefresh mind.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nimecheka leooooooooooooo.
dah!!!!!!!!!!!!!!!!!!. nkipata stresss tena ntakuwa narudi kwenye uzi huu ili nirefresh mind.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mchungaji kamfuata pedeshee mmoja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki;
MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi
PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu, huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya kulevya.
MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia kwa kujenga eneo la choo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna watu wawili walienda railway station wakakuta train ndio inaondoka wakaanza kuikimbiza mmoja akafankiwa kuipata "alieachwa akawa anacheka", watu wakamuliza unacheka nini wakati umeachwa? akasema yule aliepanda alikuwa ananisindikiza mimi"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaaaa..!!Ndani ya daladala,
DEMU: samahani kaka naomba unipakate,
JAMAA: usijali njoo tu,
DEMU: haya,
JAMAA: inaonekana ww ni sekretari..?,
DEMU: ndio kwa nn,
JAMAA: vidole vyako laini kweli,
DEMU: na ww ni fundi magari?
JAMAA: ndio, kwa nini?
DEMU: hapa nilipokaa naona nainuliwa na kitu kama jeki!! [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
Yalaaaaahh .Jamaa mmoja wakati amemsimamisha dada mmoja na wakati akimtongoza bahati mbaya/nzuri naniliu yeke ndani ya zipu si ikasimama.
Jamaa alichoamua baada ya
hapo ni kuitoa nje na kuiambia "haya tongoza wewe mwenyewe na haraka zako" [emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]