Majambazi Flani Walikamata Gari Wakaanza Kusachi Watu Wakakuta Hawana Hela,
Wakasema Kila Mtu Ataadhibiwa Kutokana Na Shati Au Tshirt Aliyovaa,
Kuna Mmoja Alivaa Jezi Ya Rooney Akapigwa Fimbo 10 Kwakua Jezi Ilikuwa Imeandikwa Namba 10 Mgongoni,
Mwingine Akala 50 Kwasababu Alivaa Shati Imeandikwa 50 Cent Sasa Kwa Pembeni Kulikuwa Na Jamaa Analia Balaaaa Kumuangalia Vizuri Kumbe Amevaa Tshirt Ya Uchaguzi Imeandikwa "LOWASSA 2015" [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]