Whatsssssss!!!!!!!!!????

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
*_" Hakuna jambo baya kama kwenda kwenye harusi ukakuta shati lako ndo uniform ya wahudumu, unasimamishwa na mwenyekiti wa kamati na anakufokea kabisa kwanini huhudumii watu? watu wakiishiwa vinywaji halafu wewe umekaa wanakutazama kwa hasira._* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaaaa..!!
Jamaa ww balaa,
Fundi ananyanyua tairi kwa jeki.
Nimecheka sana.
 
Yalaaaaahh .
Daaah..!!!
Ngoja hii thridi niipe jina la JPM lager.
Hatari sana hii.
 
Mbongo kaenda hospitali kumuona daktari

Mhudumu: babu kumuona dakari ni 20000 unalipia hapa.

Babu: sina

Mhudumu: lazima ulipie

Babu : usijari ntaziba macho .
 
Jamaa alikua anaumwa jino mkewe akamuelekeza aende kung'oa hospitali ya bei nafuu jino moja wanang'oa kwa shilingi moja.

Jamaa kafika hosptiali wakamng'oa jino ila wakamchaji shilingi 32 kwa kung'oa jino moja.
Karudi nyumbani kwa huzuni kamwambia mkewe kua bei imepanda, mkewe kamwambia umeibiwa Mme wang , jamaa karudi hosptali kwa jazba wakagoma kumrudishia chenji ya shilingi 31
Kuona hivyo akaamua wamng'oe meno mengine 31 kufidia ela yake isiende bure.
Kurudi nyumbani anamwambia mkewe, wale jamaa wapumbavu sana waligoma kunipa ela yangu ikabidi ning'oe meno yote ili pesa yangu isiende bure

Wanaume hatupendagi ujinga[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…