Whatsssssss!!!!!!!!!????

Unakutana na kidemu ndani ya miezi miwili kanataka kaje waona wazazi wako. Dada, mi mwenyewe nlikaa miezi 9 tumboni kabla sijawaona wazazi wangu mwenyewe, usiniletee mapenzi ya Mwendokasi.

Sipendagi ujinga mimi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chizi kaanguka toka kwenye ghorofa fasta watu
wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP
IMEKUAJE?
Chizi akajbu: ''HATA SIJUI NA MIE NDO NAFIKA
SASA HIVI

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Leo kuna mtu nimemtolea uvivu ! amenikuta nimetulia akaniuliza mbona nimekunja sura ...nikamwambia nataka kuiweka kwenye begi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tanzania saa hiv kujuana kumezidi yani hata ukienda msiban bila Connection huli msosi[emoji12] [emoji12]
MTOTO: mama kwa nn unamuita mdogo angu malaika
MAMA: kwa sababu yeye ni mdogo sana na yupo kama malaika,
kwa nini umeuliza mwanangu?
MTOTO: nimemrusha dirishani nashangaa hajapaa

mama kazimia!!![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
TAARIFA KWA UMMA
moto mkubwa umezuka na kuunguza ekari 10 za mahindi Shamba lililopo kariakoo mjini Dar es Salaam. Mpaka sasa chanzo cha moto huo hakijajulikana, tutawajulisha chanzo cha moto huo tukipata taarifa kamili[emoji13]
BOSS:naskia unatafuta kazi,kompyuta unajua?
JAMAA:sana tu mzee
BOSS:unajua Microsoft Office?
JAMAA:msema kweli mpenzi wa mungu siijui
Lakini mkinielekeza Iko mtaa gani nitafika tu mzee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13]
Kuna mtu kasema ananitumia Voice note"
Nimemwambia atume na ya kutolea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
UBAYA WA NYUMBA ZA KUPANGA!

Jana jirani yangu alikuja
akaniambia nipunguze sauti ya radio anataka kulala
Leo anapika chapat na mimi
nmemwambia apunguze harufu ya

chapati nataka kula ugali[emoji13] [emoji13]
nimecheka leooooooooooooo.

dah!!!!!!!!!!!!!!!!!!. nkipata stresss tena ntakuwa narudi kwenye uzi huu ili nirefresh mind.
 
*Leo si nikasahau namba yangu ya mtihani pepa ya kwanza* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *nimejaribu kufikiria lakini wapi* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*Nimeamua kuandika namba yangu ya simu* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *najua watanipigia tu wakianza kusahisha niwatajie*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna msomali mmoja alipokuwa katika pitapita zake alikumbana na msako wa polisi nae hana kitambulisho na sehemu yakaribu awezapo kujificha ni nyumbani kwa mganga,

Msomali akatoka mbio hadi ndani kwa mganga akifika akakuta mganga atowa mtu jini ikabidi akae kwenye bench kama mteja kiasi cha kusubiri polisi wapite,
mara mganga alipo maliza na mgonjwa wa kwanza akamfuatiya msomali vile kumuona ahema akajuwa jini yuko kichwani,

MGANGA:- jini toka

MSOMALI:- sitoki

MGANGA:- utatoka

MSOMALI:- sitoki

MGANGA:- kwanini hutoki?

MSOMALI:-sina kitambulisho.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nmelala nkaota naendesha New Mercedez Benz [emoji593] S-Class 2016...[emoji593]
Sasa nmeamka nmesahau nmelipaki wapi.
Hapa najiandaa naenda Ku-report police nmeibiwa gari
SIIBIWI KIZEMBE MIMI[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tupo hapa bank ...Mpuuzi mmoja kaweka mlio wa risasi kama ringtone ya simu lake la kichina.Sasa limeita hapa pah! Pah! Pah! Pah!..Tunaelekea lisaa la pili hili bado tunawatafuta cashier watatu na walinzi wawili.Hawajulikani walipo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
*_Mwalimu Wa Hesabu Aliingia Dalasani Na Akaanza Kumuuliza Juma Swali_*
[emoji28][emoji28][emoji28]
Mwalimu:juu Ya Mti Kuna Ndege 20 Ukiichukua Bunduki Ukawapiga Ndege 2 watabaki wangapi?
Juma: hawata baki wote wataluka kwa kuogopa mlio wa bunduki
Mwalimu: hapana umekosa watabaki ndege 18 ILA nimependa ulivyojibu umewaza mbalii
Juma: sawa mwalimu nami naomba nikuulize swali
Juma: kuna wadada wawili walinunua chocklet mmoja akawa ananyonya mwingine akawa analamba we unahisi yupi ni mke wa mtu?
Mwalimu: nadhani mke wa mtu ni yule anaye nyonya
Juma: hapana mke wa mtu ni yule mwenye pete ya ndoa ila nimependa ulivyojibu umewaza mbaliii![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Umeshawahi kuwa na stress za

Mapenzi mpaka ukaamua kuvamia

Msiba usiokuhusu...! Ili ulie kwa

Machungu kuliko wafiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
*_UJINGA WA NDOTO NDIO HUU_*

*••Utaota umeokota dolla ukiamka empty...*

*••Utaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu*

*Dadadeeki OTA Sasa UMEKOJOA..... Ukiamka Imooooo*

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Apa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.alipoulizwa atazitumiaje hizo pesa akasema he wants to expand his business??????.
watu wameanza kuhama mtaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mkuu nimecheka mpaka mbavu zinauma! Imebidi nisubscribe kabisa huu Uzi.. Tuwekee vingine mkuu daaahh hahahahhah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mkuu nimecheka mpaka mbavu zinauma! Imebidi nisubscribe kabisa huu Uzi.. Tuwekee vingine mkuu daaahh hahahahhah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…