At least leo umeongea kwa lugha unayoelewa. Endelea hivo na uachane na kuongea broken English hapa hivi alafu unatupa decipher mahali ndio uonekane unaielewa lugha.
joto la jiwe wewe ndio huwa unapenda kujishaua kuwa Tanzania inaheshimu haki za kibinadamu. Dunia inajua kuwa Tanzania ni dictatorship hata mkijifanya paradise of freedomWakenya tulipigania sana second liberation in the 1990s hadi sahii tunaenjoy uhuru wa kunena na kuchagua, ila nalilia sana mataifa mengine ya Afrika jinsi wanavyowatenda wapinzani wa serikali. Mbona msipee watu uhuru wa kuchagua? Nchi yetu sahii tumechoka kuhost political asylum seekers. Get your housess in order.
Shida yako hushikanishangi kitu, akili maji.Kenya had never be a peaceful country since its independence, during Kenyatta and Moi era, political assassinations were at its peak, Kenyans were killed like flies[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe chizi tunaongelea news ambazo ziko critical of the government ama news ambazo zinaexpose maovu ya serikali. Tumia akili, Kilimanjaro is not critical of the government. Serengeti does not expose the evils of the government. Kazi ya vyombo vya habari sio propaganda ya serikali tuu, ni kuhamasisha uma pia.Wewe ni kichaa, au shule yako inafundisha tribalism only instead of critical thinking. Ninachojaribu kukuelewa ni kwamba media za Tanzania zinaandika negative news at the same magnitude as the positive news, try to google even posititive news, you will realize that, not much from local media, most are foreign media.
Tanzania hakuna uhuru ndio maana Godbless Lema ametoroka huko. Halafu sio kweli kuwa polisi wenu hawapigi journalists. Kuna picha fulani MK254 amewahi kupost hapa ya polisi wenu wakimpiga journalist hadi akabaki vipande vipande vya nyama na utumbo.Uhuru wa kujieleza ni pale ambapo upo huru kueleza mawazo yako bila kuogopa au kunyanyaswa, kupigwa au kutishiwa maisha kabla ya kujieleza, wakati unajieleza au baada ya kujieleza.
Kenya hakuna huo uhuru, watu na journalists wanapigwa na kuuliwa hovyo kabisa, Miguna Miguna hadi leo amefurushwa nchini kwa sababu ya kutumia haki yake ya kikatiba.
Huwezi kuta polisi Tanzania wanapiga Journalists namna hii.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
joto la jiwe Kenya ina better press freedom than Tanzania. Kenya iko namba 103 na Tanzania iko namba 124. Usiwahi tena kudanganya kuwa Tanzania ina uhuru wa kujieleza.Being dangerous and having the freedom of speech and expression are two different things. Stop creating strawmen. Here is the evidence that Tanzania ranks dismally in media and speech freedom.
2020 World Press Freedom Index | RSF
Access all the data about the 2020 Press Freedom Index.rsf.org
Press Freedom Varies Considerably Across Africa
The RWB index provides a useful tool for comparing media freedom around the continent. It also provides yet another example of the diversity of the African continent. With respect to media freedom, G…www.cfr.org
Miguna Miguna yupo wapi?.Tanzania hakuna uhuru ndio maana Godbless Lema ametoroka huko. Halafu sio kweli kuwa polisi wenu hawapigi journalists. Kuna picha fulani MK254 amewahi kupost hapa ya polisi wenu wakimpiga journalist hadi akabaki vipande vipande vya nyama na utumbo.
Hili nimelitolea maalezo, kwamba Kenya hakuna freedom of express as well as Tanzania, by International standard, sasa ninyi mnaposema Kenya kuna freedom of expression mnatumia vigezo gani?.joto la jiwe Kenya ina better press freedom than Tanzania. Kenya iko namba 103 na Tanzania iko namba 124. Usiwahi tena kudanganya kuwa Tanzania ina uhuru wa kujieleza.
Tatizo ni kuwa wewe ulikuwa unamaanisha kuwa Tanzania iko better than Kenya lakini ukweli ni kuwa nchi zote mbili ni shit-hole likija kwenye swala la media freedom au uhuru wa wanahabari kujieleza. Ila Kenya ipo slightly better.Hili nimelitolea maalezo, kwamba Kenya hakuna freedom of express as well as Tanzania, by International standard, sasa ninyi mnaposema Kenya kuna freedom of expression mnatumia vigezo gani?.
Kama tunalinganisha kati ya Kenya na Tanzania, mlipaswa kusema Kenya is better than Tanzania, lakini hiyo haimaanishi kwamba kwasababu Kenya ipo juu ya Tanzania, hiyo inakuwa ndio kigezo cha kusema kwamba Kenya kuna uhuru wa kujiekeza.
Jinga kabisa wewe, kazi ya media ni kuandika mambo yote kwa usawa, mabaya na mazuri, sasa wewe kwa upumbavu wako unataka media ziandike mabaya pekee lakini zisiandike mazuri.Wewe chizi tunaongelea news ambazo ziko critical of the government ama news ambazo zinaexpose maovu ya serikali. Tumia akili, Kilimanjaro is not critical of the government. Serengeti does not expose the evils of the government. Kazi ya vyombo vya habari sio propaganda ya serikali tuu, ni kuhamasisha uma pia.
Kwahiyo kuanzia sasa waeleze wakenya wenzako kuacha kusema kwamba Kenya kuna" freedom of expression", wanaweza kusema"Kenya is slightly better than Tanzania, and Tanzania is slightly better than Uganda"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo ni kuwa wewe ulikuwa unamaanisha kuwa Tanzania iko better than Kenya lakini ukweli ni kuwa nchi zote mbili ni shit-hole likija kwenye swala la media freedom au uhuru wa wanahabari kujieleza. Ila Kenya ipo slightly better.
Wakenya wengi akiwemo Uhuru Kenyatta amekua akiitangazia dunia kwamba Kenya kuna freedom of expression, hata sijui huwa wanatumia kigezo gani, au kwasababu wapo juu ya Tanzania?[emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo ni kuwa wewe ulikuwa unamaanisha kuwa Tanzania iko better than Kenya lakini ukweli ni kuwa nchi zote mbili ni shit-hole likija kwenye swala la media freedom au uhuru wa wanahabari kujieleza. Ila Kenya ipo slightly better.
Ukweli ukisemwa kuhusu taifa lenu eti lazima kuna mtu halambi matako ya wazungu. When will you people stop this stupid narrative? The same white people wakitoa ripoti za kusifia Tanzania nani analamba matako yao? Wewe?Kwa sababu hatulambi matako ya hao wanaeneza hizo propaganda lazima waandike utumbo ila nyie mnaowatetemekea lazima wawapooze.......believe what you want to believe Ila ukweli unajulikana
Hivi kichwa yako iko sawa? Nani kasema media isiandike mambo mazuri? Saa zingine kuargue na wewe huwa kama kuargue na mbuzi ndio maana watu hukudharau.Jinga kabisa wewe, kazi ya media ni kuandika mambo yote kwa usawa, mabaya na mazuri, sasa wewe kwa upumbavu wako unataka media ziandike mabaya pekee lakini zisiandike mazuri.
Kama umeona media za Tanzania haziandiki mabaya, ulipaswa kujiuliza, je mazuri zinaandika?, ukigundua kwamba mazuri zinaandika lakini mabaya haziandiki ndio unaweza kusema kwamba huenda zinatishwa na kuogopa, sasa kama hata mazuri yanayofanywa na serikali pia haviandiki, utasemaje kwa uhakika kwamba vinatishwa?.
Tumia akili katika kufikiria, ninafahamu kwamba uwezo wenu wa kufikiria mambo kwa undani ni mdogo, lakini anzeni kujifunza, ndio faida ya kuwa na mijadala kama hii.
Kale malimao nyang'au waseme wao kwani walivyokua hawajasema hio ya LDC tulikua bado tunashida za njaa za kipuuzi kama mlizo nazo nyie za kulambalamba makalio ya wazungu......njaaa zenu za kipuuzi ndo maana mzungu anawachezea mipododo yenu atakavyoUkweli ukisemwa kuhusu taifa lenu eti lazima kuna mtu halambi matako ya wazungu. When will you people stop this stupid narrative? The same white people wakitoa ripoti za kusifia Tanzania nani analamba matako yao? Wewe?
Juzi mkiondolewa kwenye lile kundi la LDC mlilamba matako yao? Look at your life! Pathetic!
Uganda kuna media freedom mara mia zaidi ya Tanzania ndio maana habari za police brutality huko tunazipata moja kwa moja kutoka media za Uganda ilhali wanachi wanapouliwa Zanzibar huwezi sikia kwa media za Tanzania.Kwahiyo kuanzia sasa waeleze wakenya wenzako kuacha kusema kwamba Kenya kuna" freedom of expression", wanaweza kusema"Kenya is slightly better than Tanzania, and Tanzania is slightly better than Uganda"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wewe umekaa sehemu ukichagua nini cha kusikia kutokea tz,uganda kuna nini!!!Uganda kuna media freedom mara mia zaidi ya Tanzania ndio maana habari za police brutality huko tunazipata moja kwa moja kutoka media za Uganda ilhali wanachi wanapouliwa Zanzibar huwezi sikia kwa media za Tanzania.
Hivi kichwa yako iko sawa? Nani kasema media isiandike mambo mazuri? Saa zingine kuargue na wewe huwa kama kuargue na mbuzi ndio maana watu hukudharau.
Hivi akili yako iko sawa? Serikali za kidikteta huwa hazipingi kuandikwa mazuri kuzihusus, in fact huwa inachochea media iandike tu mazuri, ni yale mabaya ambayo hufichwa kama inavyofanyika huko bongo na kama huoni kama hiyo ni shida kubwa then you need a brain transplant.