Ninyi hamuelewani na nchi nyingi za Africa kutokana na kujifanya wajuaji sana, kutoelewana na watu au nchi zingine haina maana kupigana au kufungiana mipaka.
Kitendo cha kusuguana na majirani zenu karibu wote wanaowazunguka, iwe ni serikali kwa serikali, au wananchi kwa wananchi ni dalili ya wazi kwamba Kenya na wakenya kwa ujumly sio watu wazuri.
Uganda mahusiano yenu ni mabaya kati ya serikali na serikali na wananchi kwa wananchi (Migingo), Somalia ni serikali kwa serikali,. Ethiopia ni wananchi kwa wananchi. South Sudan ni serikali kwa serikali. Burundi, ni serikali kwa serikali. Tanzania....