FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
DA kuna sehemu umesema wewe ni chombo cha haja. Kama ulisoma vizuri ile sredi, utaona kuwa kwa wanawake wenye shepu kama yako wanaume ni wengi sana. Wenyewe mnasema ukiniachia tu nimedakwa........Sasa basi huwezi jua kama mwenzio naye ni kama wewe, manake kuna wanawake ambao kwa kweli kwao wanaume ni wachache sana na hao ndio wengi. All being said sweetdada we komaa tu, kwanza wewe sweet bwana, tulia wapo washkaji watakupenda tu.Sweetdada eti unatamani kufa?? Baba yako Mzazi huyo?? Kwamba ukimkosa huna tena wa kumuita Baba??
Asikubabishe kabisa kuachwa kitu gani??? Watu wanaachwa kwa ndoa na maisha yanakwenda.
Nikwambie kuwa ngangari usijionyeshe kuwa umeumia hata kidogo atapata sifa nakujiona yeyey ndo kila kitu. Mwanaume unamwacha na unapata mwingine sawa Bidada?? Onyesha kuwa wewe unaweza kuishi bila yeye OK???
Kwa sasa unastress sana tuliza kichwa fikiri mambo ya kufanya usiwe na yoyote kwa sasa maana uamuzi wa sasa utakuwa si wa busara ni wa hasira so utakuwa si uamuzi mzuri.
Tuliza kwanza utampata wanaume wapo wengi tena wanakutamani kila kukicha taabu ya nini bana??
Ni hayo tu kwasasa najiandaa kwenda ofisini nitarudi baadae
DA kuna sehemu umesema wewe ni chombo cha haja. Kama ulisoma vizuri ile sredi, utaona kuwa kwa wanawake wenye shepu kama yako wanaume ni wengi sana. Wenyewe mnasema ukiniachia tu nimedakwa........Sasa basi huwezi jua kama mwenzio naye ni kama wewe, manake kuna wanawake ambao kwa kweli kwao wanaume ni wachache sana na hao ndio wengi. All being said sweetdada we komaa tu, kwanza wewe sweet bwana, tulia wapo washkaji watakupenda tu.
Mtetezi wako yu hai na hatimaye atasimama kukutetea, Mungu ni mwenye haki na hata kuacha kamwe!! Mungu anajua mwanzo na mwisho wa maisha yako, Mungu anakuwazia mawazo ya Amani. Hakupendi huyo lakini Mungu anakupenda sana, hakupendi huyo lakini wazazi wako, kaka na dada zako na rafiki zako wanakupenda.
Usihangaike na kiburi chake, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, na siku zote mbio za sakafuni huishia ukingoni. Huyo hakuwa mume wako, hakufai wala usijute kama kaweza kutamka kwa kinywa chake hakupendi Mshukuru Mungu lazima kuna jambo anakuepusha nalo.
Jitahidi kunyamaza wala usijibizane naye, wala usimlaumu kwa sasa, mimina moyo wako kwa Mungu, tulia jipe muda wa kumtafuta Mungu kwa bidii utapona na utapata neema ya kupita salama katika hilo jaribu.
Hebu ona kama hayo yote ni mapito tu, upo wakati wa furaha unakuja kwako, unajua dhahabu haiwezi kuwa dhahabu mpaka imepita kwenye moto, wewe ni dhahabu, ukitulia sasa nina uhakika utakuwa umejifunza mengi utakuwa msaada kwa watu na utaimarika zaidi kiakili na kiroho pia.
Kataa hiyo roho ya mauti kabisa, huo ni mpango wa adui, fikiria hata ukifa unafikiri yy atapata faida? Hapana kwanza hakupendi, mtoto wako, na ndugu zako ndio wataumia. Haijalishi kakupotezea muda kiasi gani, Mungu ni mwenye haki na anahukumu kwa haki. We msamehe, muachie Mungu ashughulike naye mwenyewe, wakati ukifika atajutia maneno yake....wakati yy anajuta ww umeshapona na unaendelea na maisha yako.
Ngoja niishie hapa dada, lakini ninakuombea, najua unachopitia, najua unavyoumia lkn kwa usalama wa afya na akili yako, lia na Mungu tu, utaona neema ya ajabu.
Pole sana mdada, inauma sana ila muombe tu mungu yatapita tena muombee maisha marefu huyo mtalaka wako maana yatakayokuja kumpata utashangaa na hutoamini. Mbona wapo wengi tu wa hivyo anakupotezea muda halafu baadae anakuacha bila sababu za msingi ila kinachokuja kuwatokeaga yaani muombee tu aishi maisha marefu atakuja kumpata mwanamke ambae atamchezesha kiduku mpaka miguu ipinde niamini, kwa sasa utaona kama nakupoza moyo tu ila ikitokea utanikumbuka atakuja kukoma huyo mpaka akomae wewe msubirie tu mpe miaka miwili tu.
Mtetezi wako yu hai na hatimaye atasimama kukutetea, Mungu ni mwenye haki na hata kuacha kamwe!! Mungu anajua mwanzo na mwisho wa maisha yako, Mungu anakuwazia mawazo ya Amani. Hakupendi huyo lakini Mungu anakupenda sana, hakupendi huyo lakini wazazi wako, kaka na dada zako na rafiki zako wanakupenda.
Usihangaike na kiburi chake, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, na siku zote mbio za sakafuni huishia ukingoni. Huyo hakuwa mume wako, hakufai wala usijute kama kaweza kutamka kwa kinywa chake hakupendi Mshukuru Mungu lazima kuna jambo anakuepusha nalo.
Jitahidi kunyamaza wala usijibizane naye, wala usimlaumu kwa sasa, mimina moyo wako kwa Mungu, tulia jipe muda wa kumtafuta Mungu kwa bidii utapona na utapata neema ya kupita salama katika hilo jaribu.
Hebu ona kama hayo yote ni mapito tu, upo wakati wa furaha unakuja kwako, unajua dhahabu haiwezi kuwa dhahabu mpaka imepita kwenye moto, wewe ni dhahabu, ukitulia sasa nina uhakika utakuwa umejifunza mengi utakuwa msaada kwa watu na utaimarika zaidi kiakili na kiroho pia.
Kataa hiyo roho ya mauti kabisa, huo ni mpango wa adui, fikiria hata ukifa unafikiri yy atapata faida? Hapana kwanza hakupendi, mtoto wako, na ndugu zako ndio wataumia. Haijalishi kakupotezea muda kiasi gani, Mungu ni mwenye haki na anahukumu kwa haki. We msamehe, muachie Mungu ashughulike naye mwenyewe, wakati ukifika atajutia maneno yake....wakati yy anajuta ww umeshapona na unaendelea na maisha yako.
Ngoja niishie hapa dada, lakini ninakuombea, najua unachopitia, najua unavyoumia lkn kwa usalama wa afya na akili yako, lia na Mungu tu, utaona neema ya ajabu.
Mtetezi wako yu hai na hatimaye atasimama kukutetea, Mungu ni mwenye haki na hata kuacha kamwe!! Mungu anajua mwanzo na mwisho wa maisha yako, Mungu anakuwazia mawazo ya Amani. Hakupendi huyo lakini Mungu anakupenda sana, hakupendi huyo lakini wazazi wako, kaka na dada zako na rafiki zako wanakupenda.
Usihangaike na kiburi chake, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, na siku zote mbio za sakafuni huishia ukingoni. Huyo hakuwa mume wako, hakufai wala usijute kama kaweza kutamka kwa kinywa chake hakupendi Mshukuru Mungu lazima kuna jambo anakuepusha nalo.
Jitahidi kunyamaza wala usijibizane naye, wala usimlaumu kwa sasa, mimina moyo wako kwa Mungu, tulia jipe muda wa kumtafuta Mungu kwa bidii utapona na utapata neema ya kupita salama katika hilo jaribu.
Hebu ona kama hayo yote ni mapito tu, upo wakati wa furaha unakuja kwako, unajua dhahabu haiwezi kuwa dhahabu mpaka imepita kwenye moto, wewe ni dhahabu, ukitulia sasa nina uhakika utakuwa umejifunza mengi utakuwa msaada kwa watu na utaimarika zaidi kiakili na kiroho pia.
Kataa hiyo roho ya mauti kabisa, huo ni mpango wa adui, fikiria hata ukifa unafikiri yy atapata faida? Hapana kwanza hakupendi, mtoto wako, na ndugu zako ndio wataumia. Haijalishi kakupotezea muda kiasi gani, Mungu ni mwenye haki na anahukumu kwa haki. We msamehe, muachie Mungu ashughulike naye mwenyewe, wakati ukifika atajutia maneno yake....wakati yy anajuta ww umeshapona na unaendelea na maisha yako.
Ngoja niishie hapa dada, lakini ninakuombea, najua unachopitia, najua unavyoumia lkn kwa usalama wa afya na akili yako, lia na Mungu tu, utaona neema ya ajabu.
Dada pole sana kwa yaliyokukuta
Lakini amini Mungu mtu anaweza kuishi na mwengine miaka kadhaa bila ya kumpenda na akitaka kumwambia akakosa courage. Na siku akimwambia ndio anashindwa kuisema vizuri inatoka kavu kavu.
Na madhali alikuwa akijilazimisha kuishi na wewe japo hakupendi, alikuwa akiumia. Bora sasa utaumia wewe lakini utapona utasonga mbele, kuliko kuendelea kuishi na asiyekupenda.
point ya niongeza: Kama mtu umejua kumbe hukuwa unampenda, unatakiwa umwambie vipi?
mwenzanguu,ningeyajua mapema basi si kunambia leo baada ya kuachieve wat he wanted in life mxiii
dont give up your life and happiness... but before doing anything, jiangalie 360 degree na ujue pia how many things are said when people are angry and if they really mean what they saymwenzanguu,ningeyajua mapema basi si kunambia leo baada ya kuachieve wat he wanted in life mxiii
Aya ya ya ya yaya ya aisee nasikia ku....roho ya mtu eti anasemaje???? Wewe ni mvumilivu aise aaahhh anakwambia maneno hayo uwwiiiiii Mungu nisamehe niishie hapa aaiiiiii naweza aaaaa leo ni siku ya wanawake ngoja niache duuhhhh
Inawezekana akawa keshawahi kukwambia kwa njia nyengine wewe ukawa huamini.
Nazungumza kwa experience hapa, nishamwambia mtu kistaarabu kuwa kwangu naona ni mistake kuwa naye, lakini anatafuta kila sababu za kupinga hiyo kauli na kuzidi kujisogeza karibu na familia yangu.
Hebu jaribu kaa ukumbuke kwenye muda wote huo hukuona dalili au maneno ya kuwa hakupendi?