When one tells you,he didn't love you...uwiiiiiiiiiii

its real hard to believe !!!! three years? noooo its hard, then why did u wate my time? i wont understand such a person
 

Dah ... i nearly said ur a genius lady and would have put my thanx 2 ur post .... next time its costs a minute to aknowledge the work done by others!! attach refences to works / words which arent yours ... it costs nothing!!

www.joelosteen.com/.../ThePowerOfForgiveness/.../ThePowerOfForgiveness. aspx -
 

mmh..madabwada na wewe mchukunuku..loh huna simile..kwani binadamu si husahau..hee
 
 
Sweetdada ni bahati mbaya unaujua ukweli baada ya muda lakini unabaki kuwa ukweli, the earlier you cope with it the better...I pray that you may have the strength and resilience during this trying moments

BUT...overall, u can plan ur life better now....all the best
 
You not looser if u let it go...it show how strong ur by let it go...by the way life goes on...don give up
 
oooh! Sweetdada! Pole! Hatuji kilichotokea upande wa pili, lakini kiukweli hali kama hiyo inaumiza sana, na unaweza kuhisi kama huna thamani yoyo hapa duniani, napenda kukuhakikishia kua, una bahati, na bahati yako iko njiani inakuja! Kuna watu hawajui thamani ya penzi, wala usisumbuke nao. Cha kufanya kwa sasa hakikisha hufanyi mawasiliano nae, ikibidi futa no yake, na pia achana na dhana ya kusema huwezi bila yeye! Karibu mwanza!!
 

thnx Kaizer,
 

Asante Nimrod nitayarishie Sangara
 
mh bigirita usiseme inauma sana i can feel the pain my dear sisy pole sana


I dont love you anymore maana yake alikupend hapo mwanzo. Hiyo ruksa kumwambia mtu.
Sijawahi kukupenda ndo mbaya.
 
Ohh my!....................Pole Sweetdada

How to deal with this??............................... I' d say your attitude should be "Good riddance to bad rubbish!"My take is, Real men dont
take years to figure, shit like this out.!! I know right now it may seem like the world is falling on ur shoulders, but believe u, me in due time you will find someone better.
 
hapo si kweli kuwa hakukupenda,bali jamaa alikosa sababu ya kukwambia sasa hakuhitaji.
alijua utakuwa na maswali mengi na yeye hana sababu maalumu ya kukuacha
kwa kukatisha soma akaona akwambie tu hivyo
trust me,huyo mtu alikupenda tena sana tu asingekaa na wewe mda wote huo bila kukupenda
kumbuka kuwa mapenzi huwa yanachuja na kuchokana
mtu kumchoka mwenzake haina maana kuwa hakumpenda la hasha..
 
Ukweli mwingine mie hata sitaki kuusikia abaki nao tu halafu aondoke kimyakimya, mh pole bidada
 

uwiii...
Pole mamii.
Inauma sana jamani, mmh! Ila tuwe tunasoma alama za nyakati. Usisubiri hadi uambiwe. Ukiona matendo hayaeleweki ujue giza lishatanda. Lol!
 
unapoteza muda mkuu kuwa nyutro.. sweetdada anataka ushauri kwa kumfanya ajione malaika na ameonewa, yaliyojificha ni mengi sana humo ndani ya huyo... i wish jamaa naye angekuja kumwaga dataza, tungekimbizana humu
 
unapoteza muda mkuu kuwa nyutro.. sweetdada anataka ushauri kwa kumfanya ajione malaika na ameonewa, yaliyojificha ni mengi sana humo ndani ya huyo... i wish jamaa naye angekuja kumwaga dataza, tungekimbizana humu

hahaha sikuwa nataka kucheka ila imebidi..sasa ngoja nimwage stori yoote ilivyo i was trying to summarise.fyi.KIWAVI sitaki ushauri wa kunifanya nijione malaika..ni hivi..huyu mtu ni kwamba tumetofautiana dini..tangu mwanzo alinambia mi nikataka kusepa coz i knew itakuwa tatizo mbeleni..bali ye akasema ooh no please my dad is of ur faith but i was raised by my mum ndo man ainakuwa ishu,ila mi binafsi nataka kubadili.mi nikasema poa no probs..tukaendelea..

tumekaa for a year ikaja kuwa tabu tena then akaraise ishu ooh then tukimbie tukafunge ndoa nje..hahaha..najiona mjinga sasa..na mie mapenzi ndo yamekolea hapo..nikasema poa..then we applied for a visa mi nikapata ye akakosa,akawa frustrated depressed kila kitu hatoki ndani hali he was miserable..nikamsaidia kupata bank statement ya kueleweka akapata visa..tukaenda..

sasa basi..wheew ..nachoka kuandika...tukafika huko ye akaendelea kusoma na mie pia..kumbe siku zote moyoni mwake hanipendi (according to him)..he only came to me coz there was a bet between friends kwamba hawezi kunipata so he wanted to prove a point kwamba he can get me kwani mi nina nini...according to him again..he found himself mwaka unapita bila kujijua why wakati hakutegemea kumake future na mimi...

when he was coming from work in the morning akinifunua akinicheki anaenda kulia bathroom eti coz he knew he was not gonna be my hubby..sooo..akawa hawezi kunambia coz he didnt want to disappoint me..and he wanted me to finish my studies (*ye alikwisha maliza yake) ili tukiwa level moja ndo aweze kunambia ili nisione amefanya vile kwa kunionea...

basi bwana,mie nimemaliza mwaka jana kurudi ndo mtu kuanza vitimbwi ila ndo hasemi lolote..kama anasoma atajijua ..mambo ya dini alijaribu kuyaingiza wakati anafunguka ila akaona sio..

ndo akaamua kufunguka hiyo juzi na kuanza kusema ooh sikukupenda,it was just a competition among us ndo mana nikawa na wewe..i like wanawake weupe...wheew..nikachoka..mie sio cheusi mangala ila si mweupe..

sasa kali ya mwaka leo ananambia he is crying..i will be his role model mana am a great girl ila ndo hivyo he didnt love me..


okaay now..Kiwavi,MTM na wenzio mliotaka the other side of the story ndo hiyo hapo....semeni sasa..
 


mi sisemi kitu kabisaaa

Asante kwa kutupa maelezo ya Kina

Huyo jamaa ametuangusha kwa kuwa mwoga...kukuonyesha kuwa yeye kama mwanaume He was supposed to give directions na sio kusubiri fate

katuaibisha sana

Angekwambia tangu mwanzo,,,, tusingefika hapa

sasa basi kama tulivosema tangu awali ni wakati muafaka wa kumove on. Anakuitia nini , halafu isije ikawa deep down bado unampenda ile kikweli kweli manake kama ni hivyo hapa tutakuwa tunapoteza wino wa Invisible bure....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…