Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
nimeshangaa hili. kwani mke wa mtu haruhusiwi kuwa na rafiki mwanaume? kama anaruhusiwa, ex ana tofauti gani na mwanaume mwingine? tatizo linakuja kama hujui mipaka yako, na kama hujui mipaka yako basi waweza ku-cross hata kwa huyo ambaye siyo ex. hayo ni mawazo yanguHaya sasa urafiki na ex...halafu mke wa mtu,..mmmhhhh
haya mambo ni zaidi ya unachokizungumza hapa..........mapenzi yana siri nzito sana hasa y akweli.....tunawish tuongeoana ila haikuwezekana....nimejaribu kumkwepa sn lakini haikusaidia.......ila nitadeal nalo kiume wala hainisumbui.....ila wanawake wana mioyo ya ajabu sn..mimi naweza sahau haraka ila mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana...........nilimhandle with extra care na extra real love ya ajabu isiyo na uchakachuaji........
nimeshangaa hili. kwani mke wa mtu haruhusiwi kuwa na rafiki mwanaume? kama anaruhusiwa, ex ana tofauti gani na mwanaume mwingine? tatizo linakuja kama hujui mipaka yako, na kama hujui mipaka yako basi waweza ku-cross hata kwa huyo ambaye siyo ex. hayo ni mawazo yangu
ha haaaaa haaaaaaaaaaa. sina uhakika kama I should feel sorry for your wife or you. all in all, be ready for heart attackYeah_kwa watu wa aina yangu,mke wangu hawezi kuwa na rafiki wa kiume hata kidogo_so to speak,...ila wapo wale waliosoma academy na kwenda ng'ambo kwa masomo ya juu ndio wanaoruhusu huu wendawazimu.
babu, halafu anasema mkewe marufuku urafiki na men. sijui atakuwa anamfungia ndani 24/7?Tena wewe ndo hutatoa hata talaka moja,
Hivi unajua kuwa hakuna kitu kigumu kama talaka??
Kuna dogo wangu, mke wake anapigiwa simu na mzinzi mwenzake hata saa 6 usiku...Juzi kaja kwenye familia, watu wakamshauri aanze upya maisha yake..Alikubali vizuri tu utadhani ni dume mwenye akili. Akaamua kumrudisha mke kwao. Haikupita hata week 2, nasikia kesharudisha mke wake eti anampenda sana kiasi kwamba hataki kuona watoto wake wanaishi bila mama yao!!
Unacheza na talaka wewe?? Ni rahisi sana kuandika na kutamka hayo maneno kwa watu wengine...Ila asikwambie mtu kwamba rusha vitendo hapa....!
Ngoja niishie hapa.
Dunia imekuwa hivyo toka imeumbwa na hakuna jipya!
Babu DC!!
ha haaaaa haaaaaaaaaaa. sina uhakika kama I should feel sorry for your wife or you. all in all, be ready for heart attack
babu, halafu anasema mkewe marufuku urafiki na men. sijui atakuwa anamfungia ndani 24/7?
uzuri wangu ex ni ex, hata aje na sura gani.
Ni kweli wanasumbua sana, lakini la maana tu ni kumfanya ajue kuwa yye ni ex, there is no way akarudi. kama ni urafiki tu haijalishi (na hili nalijua sana) ila mambo mengine NO
Haya sasa urafiki na ex...halafu mke wa mtu,..mmmhhhh
nimeshangaa hili. kwani mke wa mtu haruhusiwi kuwa na rafiki mwanaume? kama anaruhusiwa, ex ana tofauti gani na mwanaume mwingine? tatizo linakuja kama hujui mipaka yako, na kama hujui mipaka yako basi waweza ku-cross hata kwa huyo ambaye siyo ex. hayo ni mawazo yangu
Yeah_kwa watu wa aina yangu,mke wangu hawezi kuwa na rafiki wa kiume hata kidogo_so to speak,...ila wapo wale waliosoma academy na kwenda ng'ambo kwa masomo ya juu ndio wanaoruhusu huu wendawazimu.
babu, halafu anasema mkewe marufuku urafiki na men. sijui atakuwa anamfungia ndani 24/7?
Hapa sasa wewe IGWE umeenda mbali,
Labda ukaume wako mwenyewe na utengeneze dunia yenu wawili tu.
Vinginevyo ama wewe au yeye atauvaa mkenge one day!!
Naongea kwa uzoefu wala siyo hadithi za kwenye vitabu!!
Babu DC!!
Dada yangu FP,
Sijui hata niseme nini.....Labda aje mzee mwenzangu Babu Asprin anisaidie.
From the bottom of my heart...Urafiki na Ex ni mwiko...Ni jambo la kuogopa kama ukoma. Si kwangu wala kwangu...Umezuiliwa chini na juu (I hope you know what I mean)!!
Babu DC!!
urafiki ni urafiki, siyo zaidi ya hapoHapa labda tueleweshane nini maana ya urafiki na mwanaume,..maake naona watu mmenielewa vibaya.
babu nakubali urafiki na ex ni wa kuuogopa kama ukoma. na mimi nimesema hivi, kwa ninavyojijua mimi, mtu akishapita amepita, na uzuri siwezi kuwa na watu 2 kwa wakati mmoja. kwa vile muda huu nina mtu, there is no way mtu mwingine akapata nafasi, either ex au mpya. kwa hiyo kwa upande wangu haijalishi najenga urafiki na nani; mdada, mkaka ex, not ex, wote ni sawa kwangu.Dada yangu FP,
Sijui hata niseme nini.....Labda aje mzee mwenzangu Babu Asprin anisaidie.
From the bottom of my heart...Urafiki na Ex ni mwiko...Ni jambo la kuogopa kama ukoma. Si kwangu wala kwangu...Umezuiliwa chini na juu (I hope you know what I mean)!!
Babu DC!!
mimi pia simchezei mume wangu, nina uhakika 100%Wewe unajitambua,..hawa watu hawawezi kukuchezea mkuu.
I am very free my dear, and I am happy ................ kwa hiyo huna sababu ya kunionea hurumaSorry for my wife and you,.....thats how we do_girl.
...........ikaingia sms ambayo nimeisave jina la dada yangu...naifahamu iyo namba ni ya x wangu ambae ndie hasa mwanamke wangu wa kwanza..kwamba anaolewa..
huyu binti nilimpata kipindi nimemaliza kidato cha 4 (nlijitunzajee!) ...tulipendana sana..na ndie niliebahatika kuw amwanaume wake wa kwanza.....tulidumu nae sana hadi namaliza likizo ndefu ya mkapa to chuo....sijui nn kilitokea mawasiliano yakapungua hadi kuishia kuachana lakini bila ugomvi.........ila kila tulipoonana tena TULIKUMBUSHIA...:tape2:
amefanyiwa sendoff wiki kadhaa zilizopita na arusi ni mwezi ujao.mbaya zaidi anakuja kuishi mkoa ninao ishi.mwanzoni alikua mkoa mwingine..huyu binti huwa tukionana nguvu zinatuishiaga....tunapendana sana na hataki kunisahau though anajua am comited somewhere...............am just wondering what will happen; nakadi ya arusi ananiletea PHYSICALLY NYUMBAN next week I!!....nitauwawa jamaniii!!...
I am very free my dear, and I am happy ................ kwa hiyo huna sababu ya kunionea huruma