When you do things for clout

When you do things for clout

Duh... tuliona mbali sana kwa SGR yetu.
Halafu Tz na mbwembwe zote zile mpaka leo kale kasafu kao ka Dar-Moro sijui wamekaficha wapi, maana walisema katawashwa mwaka jana Novemba....
Sio kwamba mliona mbali,bitter truth is,mlihaidiwa Modern electric SGR,badala yake,mmeletewa mitungi ya busaa!hahaha! Alafu,ni kosa kutumia hali ya nchi nyingine na kufananisha nchi nyingine, na hiki ndio huwa tunwakataza humu kila siku kwamba,C&P is harmful to your health.
 
Sio kwamba mliona mbali,bitter truth is,mlihaidiwa Modern electric SGR,badala yake,mmeletewa mitungi ya busaa!hahaha! Alafu,ni kosa kutumia hali ya nchi nyingine na kufananisha nchi nyingine, na hiki ndio huwa tunwakataza humu kila siku kwamba,C&P is harmful to your health.

Sijui mtatoka vipi kwenye hiyo aibu mliyojitia. Sisi leo hii tunajivunia SGR 600km.
 
Sijui mtatoka vipi kwenye hiyo aibu mliyojitia. Sisi leo hii tunajivunia SGR 600km.
aibu!!!!

aibu huoni wewe mwenye gusi la karne ya 19 tuone sisi!!!!au unadhnu yapy markenzy wamekimbia site[emoji16][emoji16][emoji16].

jiuguze kimya kimya bana.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
aibu!!!!

aibu huoni wewe mwenye gusi la karne ya 19 tuone sisi!!!!au unadhnu yapy markenzy wamekimbia site[emoji16][emoji16][emoji16].

jiuguze kimya kimya bana.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app

Halafu mlikuta Kikwete ameshapanga iweje reli yote hiyo mkaharibu mipango yake kwa mihemko, leo ni aibu sijui mumekwama kwenye pori ipi, mliongopea mtazindua mwaka jana 2019, tunaelekea kumaliza 2020 bado ni ngonjera, sijui mtaficha wapi uso kwa aibu, tatizo wazembe sana nyie.
Sisi tunajivunia SGR 600km
 
Halafu mlikuta Kikwete ameshapanga iweje reli yote hiyo mkaharibu kwa mihemko, leo ni aibu sijui mumekwama kwenye pori ipi, mliongopea mtazindua mwaka jana 2019, tunaelekea kumaliza 2020 bado ni ngonjera, sijui mtaficha wapi uso kwa aibu, tatizo wazembe sana nyie.
Sisi tunajivunia SGR 600km
kupanga tu,hata wewe ulipanga mwaka huu ujenge nyumba cbd.ila utekelezaji sasa ndio yataka msuli.

bila shaka nawewe ulikuwa na shauku ya kuona train ya kwanza ya umem EA[emoji16][emoji16][emoji16].ndio hivyo ila hijakwama popote.kuwa na subira utapanda tu.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
kupanga tu,hata wewe ulipanga mwaka huu ujenge nyumba cbd.ila utekelezaji sasa ndio yataka msuli.

bila shaka nawewe ulikuwa na shauku ya kuona train ya kwanza ya umem EA[emoji16][emoji16][emoji16].ndio hivyo ila hijakwama popote.kuwa na subira utapanda tu.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app

Kila kitu alikua ameweka sawa yaani reli ilikua irindime Tanzania yote, aisie mngeturingishia sana, ila leo ni mikwara na makelele mumekwama maporini.
Halafu mlikuta makampuni ya ndege mkayapiga chini yote, hebu soma huu uzi hapa uone Watanzania wanavyoteseka kwa ajili ya kukurupuka kwenu Watumiaji wa usafiri wa ndege tunajuta kwanini Serikali imenunua ndege zake
 
Kila kitu alikua ameweka sawa yaani reli ilikua irindime Tanzania yote, aisie mngeturingishia sana, ila leo ni mikwara na makelele mumekwama maporini.
Halafu mlikuta makampuni ya ndege mkayapiga chini yote, hebu soma huu uzi hapa uone Watanzania wanavyoteseka kwa ajili ya kukurupuka kwenu Watumiaji wa usafiri wa ndege tunajuta kwanini Serikali imenunua ndege zake
wewe kaa katika safety mode hivyo ili usijezimia kwa mfadhiko.

kuwaringishia kuko pale pale.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
wewe kaa katika safety mode hivyo ili usijezimia kwa mfadhiko.

kuwaringishia kuko pale pale.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app

Na bado sasa tumeshawekeza bandari kavu Naivasha, tunaandaa kuendelea na ujenzi hadi kitu kitue DRC nyie mkihangaika kuchimba mahandaki Dar-Moro, utakuta labda hata mkandarasi mnamzngua balaa kwenye mambo ya hela maana haileti manitiki mkwame kwa kasafu kadogo ka 200km wakati sisi tayari tumepiga mara tatu ya hiyo.
 
Na bado sasa tumeshawekeza bandari kavu Naivasha, tunaandaa kuendelea na ujenzi hadi kitu kitue DRC nyie mkihangaika kuchimba mahandaki Dar-Moro, utakuta labda hata mkandarasi mnamzngua balaa kwenye mambo ya hela maana haileti manitiki mkwame kwa kasafu kadogo ka 200km wakati sisi tayari tumepiga mara tatu ya hiyo.
nyie endeeni,sijui lengo ni kufanya kwa usahihi ama kututangulia sijajua.

ila ninchofaham ni kwamba sisi tz,tunaifungulia EA na kati mlango wa kiuchumi ndani ya miaka 5 ijayo.

huko kuchimba lazim tuchimbe maana hatujengi upuuzi wa hela kubwa.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Kila kitu alikua ameweka sawa yaani reli ilikua irindime Tanzania yote, aisie mngeturingishia sana, ila leo ni mikwara na makelele mumekwama maporini.
Halafu mlikuta makampuni ya ndege mkayapiga chini yote, hebu soma huu uzi hapa uone Watanzania wanavyoteseka kwa ajili ya kukurupuka kwenu Watumiaji wa usafiri wa ndege tunajuta kwanini Serikali imenunua ndege zake
Bagamoyo ametupea advantage Lamu idominate
SGR electric ni nonfeasible East & Central Africa so tukapata advantage ya SGR
Asifiwe Magu
 
Tanzania SGR will suffer the fate like Ethiopia because the trains have no way leave but rather level crossing (also called a grade crossing, railway crossing, or a railroad crossing). This means that the grades (the road and the track) are not separated by using a bridge or a tunnel. Secondly, i doubt the demand for train services to the west of the country given than majority of Tanzanians live along the coast, southern part of the country and along the northern border with Kenya.

The train is headed west to a sparsely populated part of the country. Thirdly, Power capacity in Tz to power the trains is lacking remember the train power is dedicated power and is not shared. If this train will ever move and assuming they sort our power issues, it will be once a day therefore economically nonviable business. Tanzania built their SGR not because there was a demand but because it wanted to compete with Kenya.
Comment matope toka inanza mpka inaishaa endelea n ujinga unadhani sisi ni nyie....kifupi tu jua akuna mahali train y bongo itakutan n barabara ,wanyama wala binadan....sabab kuna vivuko n itakuwa fenced...so tuliza kende
 
"They are still ahead of us", Magufuli can declare it a success no matter what failures, anybody who says anything contrary to that will be arrested.
Blablabla....nothing in it....stay calm and wait...
 
nyie endeeni,sijui lengo ni kufanya kwa usahihi ama kututangulia sijajua.

ila ninchofaham ni kwamba sisi tz,tunaifungulia EA na kati mlango wa kiuchumi ndani ya miaka 5 ijayo.

huko kuchimba lazim tuchimbe maana hatujengi upuuzi wa hela kubwa.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app

Huwa tumewatangulia kwa kila kitu, leo hii mizigo inapandisha SGR 600km, ndio la msingi, siku zote kwenye utekelezwaji wa miundo mbinu, unapaswa ujue kutenganisha bla bla na utendaji, watu watachoka makelele yako, leo bomba la mafuta mumeangukia pua, andari Bwagamoyo ikafutika, mkawakoroga wakulima wa korosho, mumeingia migogoro kwenye mipaka na majirani wote kuanzia Zambia mpaka Kenya, kwenu huko hata kamkuu ka wilaya kana uwezo wa kufunga mpaka, hamfahamiki kiongozi nani, kila mtu mikwara na visasi....ujamaa uliwalemaza nyie watu.

Mpaka sasa hamna kimoja mumesimamisha tukakiona, kila siku makelele tu... Nimeona kwa habari sehemu kwenye mitandao sijui mumemfanya nini KUB wenu....poleni sana nyie watu.
 
Na bado sasa tumeshawekeza bandari kavu Naivasha, tunaandaa kuendelea na ujenzi hadi kitu kitue DRC nyie mkihangaika kuchimba mahandaki Dar-Moro, utakuta labda hata mkandarasi mnamzngua balaa kwenye mambo ya hela maana haileti manitiki mkwame kwa kasafu kadogo ka 200km wakati sisi tayari tumepiga mara tatu ya hiyo.
Aliye kwambia ni km 200 tu zinazo jengwa nani...n pili jua electrified line so show respect when you talk about it....because u dont have one.....so blablabla peleka ukoo
 
Aliye kwambia ni km 200 tu zinazo jengwa nani...n pili jua electrified line so show respect when you talk about it....because u dont have one.....so blablabla peleka ukoo

Kamilisha hata kasafu kamoja ndio uje na bla bla, mlisema Novemba mwaka jana mnasafiri kwa "bureti treni", leo tunaelekea kukamilisha 2020 bado bla bla...
 
Huwa tumewatangulia kwa kila kitu, leo hii mizigo inapandisha SGR 600km, ndio la msingi, siku zote kwenye utekelezwaji wa miundo mbinu, unapaswa ujue kutenganisha bla bla na utendaji, watu watachoka makelele yako, leo bomba la mafuta mumeangukia pua, mkawakoroga wakulima wa korosho, mumeingia migogoro kwenye mipaka na majirani wote kuanzia Zambia mpaka Kenya, kwenu huko hata kamkuu ka wilaya kana uwezo wa kufunga mpaka, hamfahamiki kiongozi nani, kila mtu mikwara na visasi....ujamaa uliwalemaza nyie watu.

[emoji16][emoji16][emoji16]hatukatai mnatutangulia kila kitu,ila hamfanyi kwa usahihi.bomba la mafuta lipi unazungumzia ya kupiki au??maan lile la petroleum deal done,utekelezaji unaanza mwakani.

kuhusi hiyo SGR yenu sioni ni kipi unapigia kifua,kwani tulianza kujenga pamoja!!!si mlitangulia kabla,ajabu nini tukiwa nyuma yenu kumaliza!!!

mgogoro wa mipaka ni Kenya ndio imegombana na majirani wote wanomzunguka,WHY sababu ya roho mbaya.sisi hatuwezi gombana na mtu kwenye mipaka jamaa yangu,tunaheshimika sana.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Kamilisha hata kasafu kamoja ndio uje na bla bla, mlisema Novemba mwaka jana mnasafiri kwa "bureti treni", leo tunaelekea kukamilisha 2020 bado bla bla...
next time ujue kutofutisha,train ya umeme na utumbo.

hilo dude lenu mmejenga karne hii ya 21 halifa kutajwa popote katka mazungumzo.


Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16]hatukatai mnatutangulia kila kitu,ila hamfanyi kwa usahihi.bomba la mafuta lipi unazungumzia ya kupiki au??maan lile la petroleum deal done,utekelezaji unaanza mwakani.

kuhusi hiyo SGR yenu sioni ni kipi unapigia kifua,kwani tulianza kujenga pamoja!!!si mlitangulia kabla,ajabu nini tukiwa nyuma yenu kumaliza!!!

mgogoro wa mipaka ni Kenya ndio imegombana na majirani wote wanomzunguka,WHY sababu ya roho mbaya.sisi hatuwezi gombana na mtu kwenye mipaka jamaa yangu,tunaheshimika sana.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app

Hatufanyi kwa usahihi kivipi leo SGR 600km mizigo inapandisha na kushuka nyie mumekwama, vipi kile kichwa cha treni mlileta eti ndio bureti...
 
Back
Top Bottom