Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Wanajamvi,
Katika miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia ongezeko la mikoa na wilaya.
Hii ina maana kwamba hata atlas zetu nyingi zimepitwa na wakati.
Naomba msaada wa mtu mwenye ramani ya Tanzania ambayo ni up to date.
Natanguliza shukrani zangu
Katika miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia ongezeko la mikoa na wilaya.
Hii ina maana kwamba hata atlas zetu nyingi zimepitwa na wakati.
Naomba msaada wa mtu mwenye ramani ya Tanzania ambayo ni up to date.
Natanguliza shukrani zangu