Where did God come from (Mungu ametoka wapi)

Where did God come from (Mungu ametoka wapi)

Watu wengi huwa wanauliza swali hili mara nyingi sana kama kupinga au kujaribu kuonyesha kuwa hakuna Mungu lakini mimi leo nataka nikwambie Mungu yupo na ndiye aliyezifanya mbingu na nchi ktk physics kuna vitu vitatu time space matter mwanzo sura ya kwanza inasema hapo mwanzo yaani in the beginning (time) God created the heavens (space) and the earth (matter) to create this lazima alikuwa outside ya haya yote ukiuliza swali hili maana yake ni kuwa Mungy wako ni limited God is unlimited he is far very far beyond everything ni hayo tu
Sina uhakika kama umetafakari kabla ya kugonga post.
Swali lako limejengwa kwenye "assumption " kwamba kuna mahali Mungu alitoka au umeambiwa na muumini sijui wa Mungu yupi kuwa kuna mahali alitoka.
Naamini hujaona assumption nyuma ya swali lako ndiyo ukaingia mkenge kupost kiroja ukifikiri ni hoja.
Mungu hakutoka kokote na hupo popote kwa wakati wote. Hivyo swali lako linakosa mashiko kwa kuwa sifa za Mungu ni kuwapo popote pasipo kutoka kokote
Your question is self defeating
Tafuta swali jingine logical uliza
 
Umeeleza vizuri sana ila niwachache sana watakao kuelewa Mkuu. Mungu siyo Mtu wala kitu, kama tulivyoaminishwa kwenye dini zetu (hasa Ukristo na uislamu). GOD is omnipotent (ulimited power) ambayo mtu yoyote aki access hii ngovu he/she can do anything in this world. Yesu aliacquire hiii nguvu ndiyo maana aliweza kuamlu chochote na kikawa. Mambo ya kuambiwa kuwa amini tu bila kureason mimi nilishayakataa. Hii nguvu inaweza kuumba chochote kabisa

Mkuu, tuko pamoja. Lakini lazima tuwaeleweshe hawa ndugu zetu. Afrika ya WEUSI lazima ibadilike kifikra iliotukuka. Wazee wetu wa KALE waliweza kutap hizi energy kwa sababu walielewa mungu yupo ndani yao na ndio maana hata YESU alisema sisi ni Hekalu la Mungu alie hai. Maana yake we can invoke that divine energy and do anything we want but mind that for only righteousness purposes. Ukimess nayo inakuangamiza

HIVY, TARATIBU WATAELEWA TU MKUU.
 
Kwa mantiki hiyo Mungu yupo baina ya hayo uliyoyataja na sio uwepo halisi?

Mkuu ni sawa kabisa MUNGU yupo. Ni unlimited DIVINE ESSENCE ambayo ndio uwepo wa consciousness (Utambuzi, Ufahamu, Ung'amuzi) na Intelligence. That DIVINE ENERGY IS AVAILABLE FOR ALL OF US, U CAN TAPE IT AND USE FOR UR BENEFIT AND THE BENEFIT OF OTHERS.
 
Wapi imeandikwa kuwa Yesu alikuwa binadamu wa kawaida kama mimi? Historia za YESU imeandikwa katika biblia, au kuna wengine waliomuona Yesu na kuandika habari zake zaidi ya biblia? Na kwa ushahidi huo huo wa maandiko ilikuwaje wale wafuasi wake nao wakawa na uwezo huo bila kwenda kufanya meditation?

Angalia hapa unaposema inasadikiwa, na nani? Simple logic tu, mtoto wa miaka 12 anaweza akaacha familia yake akaenda kuishi porini aanze kupractise kitu ambacho kwenye jamii yake kwa maana ya wazazi, walezi hawakifanyi?

Hizi assumption lazima uzi back na strong evidence si hekaya kutoka hewani mkuu

Ndivyo ulivyodaganywa na umekubali kuwa habari za yesu zipo ndani ya bibilia tu? Ni Bibilia ipi unayoiongelea? Unayafahamu maisha ya utoto wa yesu kabla hata ya miaka 30 alikuwa anafanya nini? Unafahamu Misri YESU kakaa miaka Mingapi? na wakati huo vyuo vya elimu ya juu ilikuwa dunia inaitafutia wapi?

Umeshawai kuona injili kama ilivyoandikwa na Thomas, AQUARIAN, Maria Magdalena, James? Umewai kusoma hadithi za Yesu ndani ya QURAN? Umewai kusoma kitabu kinaitwa RIGVEDA (RG VEDAS) is ana Ancient Indian pamoja na Brahmi script? au ndio ukipigwa KOFI la Kushoto na MPE na la Kulia pia?

MY PEOPLE ARE DESTROYED FOR THE LACK OF KNOWLEDGE.
 
Ndivyo ulivyodaganywa na umekubali kuwa habari za yesu zipo ndani ya bibilia tu? Ni Bibilia ipi unayoiongelea? Unayafahamu maisha ya utoto wa yesu kabla hata ya miaka 30 alikuwa anafanya nini? Unafahamu Misri YESU kakaa miaka Mingapi? na wakati huo vyuo vya elimu ya juu ilikuwa dunia inaitafutia wapi?

Umeshawai kuona injili kama ilivyoandikwa na Thomas, AQUARIAN, Maria Magdalena, James? Umewai kusoma hadithi za Yesu ndani ya QURAN? Umewai kusoma kitabu kinaitwa RIGVEDA (RG VEDAS) is ana Ancient Indian pamoja na Brahmi script? au ndio ukipigwa KOFI la Kushoto na MPE na la Kulia pia?

MY PEOPLE ARE DESTROYED FOR THE LACK OF KNOWLEDGE.
Bado hujathibitisha kuwa Yesu alienda kujifunza meditation akiwa na miaka 12, refer hivyo vitabu vyako ku substantiate hoja yako, hivyo vitabu vingine vinipe nini cha ziada kuhusu kumjua Yesu? Uniambie Quran nani alikiwepo wakati wa Yesu katika waandishi wa Quran? Wewe ndiyo unapotaka kukosa maarifa
 
Ndivyo ulivyodaganywa na umekubali kuwa habari za yesu zipo ndani ya bibilia tu? Ni Bibilia ipi unayoiongelea? Unayafahamu maisha ya utoto wa yesu kabla hata ya miaka 30 alikuwa anafanya nini? Unafahamu Misri YESU kakaa miaka Mingapi? na wakati huo vyuo vya elimu ya juu ilikuwa dunia inaitafutia wapi?

Umeshawai kuona injili kama ilivyoandikwa na Thomas, AQUARIAN, Maria Magdalena, James? Umewai kusoma hadithi za Yesu ndani ya QURAN? Umewai kusoma kitabu kinaitwa RIGVEDA (RG VEDAS) is ana Ancient Indian pamoja na Brahmi script? au ndio ukipigwa KOFI la Kushoto na MPE na la Kulia pia?

MY PEOPLE ARE DESTROYED FOR THE LACK OF KNOWLEDGE.
Hili Nitatizo kubwa kwa jamii yetu watu weusi. Hatusomi vitabu. Watu wanangángánia biblia tu. Eti kwa msingi wa Biblia, jamii yetu ni wavivu wakutafuta maarifa. Akiwa engineer basi anachojua ni mambo ya engineering tu. Mungu waliyetuaminisha wazungu siye Mungu wa kweli. Kumbuka kabla ya kuja kwa dini ya kikristo na Kiislamu, Waafrika (wazee wetu) walikuwa wakitumia hizi nguvu kutenda mambo makubwa mno. Ukiwaambia watu kuwa Yesu alikuwa Mwadamu kama wewe na mimi hawakubali kabisa kwa kukosa maarifa.
 
Bado hujathibitisha kuwa Yesu alienda kujifunza meditation akiwa na miaka 12, refer hivyo vitabu vyako ku substantiate hoja yako, hivyo vitabu vingine vinipe nini cha ziada kuhusu kumjua Yesu? Uniambie Quran nani alikiwepo wakati wa Yesu katika waandishi wa Quran? Wewe ndiyo unapotaka kukosa maarifa

Mkuu nimekupa tu indicator ya vyanzo vya wewe kuweza kufanya tafiti ili ujielimishe. Uache Uvivu. Hata huyo YESU kakuambia Tafuta utaona. sasa unataka tukutafunie wewe umeze tu.
Vielelevyo ni vingi sana. Tafuta tu kaka utajiunga nasi katka mapinduzi ya kifikra kwa MTU MWEUSI.
 
Hili Nitatizo kubwa kwa jamii yetu watu weusi. Hatusomi vitabu. Watu wanangángánia biblia tu. Eti kwa msingi wa Biblia, jamii yetu ni wavivu wakutafuta maarifa. Akiwa engineer basi anachojua ni mambo ya engineering tu. Mungu waliyetuaminisha wazungu siye Mungu wa kweli. Kumbuka kabla ya kuja kwa dini ya kikristo na Kiislamu, Waafrika (wazee wetu) walikuwa wakitumia hizi nguvu kutenda mambo makubwa mno. Ukiwaambia watu kuwa Yesu alikuwa Mwadamu kama wewe na mimi hawakubali kabisa kwa kukosa maarifa.

Kaka wataelewa tu. hii kazi sio ndogo. NDIO UJUE UMEFUNULIWA WEWE ILI UAELIMISHE NDUGUZO.
 
Mkuu nimekupa tu indicator ya vyanzo vya wewe kuweza kufanya tafiti ili ujielimishe. Uache Uvivu. Hata huyo YESU kakuambia Tafuta utaona. sasa unataka tukutafunie wewe umeze tu.
Vielelevyo ni vingi sana. Tafuta tu kaka utajiunga nasi katka mapinduzi ya kifikra kwa MTU MWEUSI.
Sina mpango wa kutafuta elimu zidanganyazo kwa kisingizio cha mapinduzi ya kifikra, wewe uliyekuja na hoja ya kuwa Yesu alikuwa ni mtu wa kawaida unipe sababu ya wewe kufikia conclusion hiyo. Kunipa Quran ili nimjue Yesu ni uendawazimu labda tunapishana uelewa na imani, reference yangu kubwa ambayo sina mashaka nayo ni biblia, na injili zilizojumuishwa mle ziliandikwa na watu waliokuwa na ukaribu na matukio.
Hizo za akina Maria Magdalena Hazikuwa compiled kwa sababu hazikujitosheleza, wakatoliki wanazo Sioni sababu ya kumpinga Mungu wangu kwa akili ya mapinduzi ya kifikra kwa MTU MWEUSI. Ni upuuzi kwangu usiomithilika, kumpinga Mungu hamkuanza nyinyi wanamapinduzi wa fikra, alianza shetani kabla ya uumbaji endelezeni kazi ya shetani
 
Back
Top Bottom