where did uganda get the money to purchase 6 new sukhoi 30 fighter jet at 780mil USD

where did uganda get the money to purchase 6 new sukhoi 30 fighter jet at 780mil USD

the purchase of six sukhoi 30 fighter jet from russia by uganda has made ugandan airforce among the highets rated airforce in africa second only to south africa in central and south of sahara!! the jet are classified as 4.5 generation fighter jet!!!
all east and central africa airforces including Tanzania excluding SA have second generation fighter jet which make them no match to ugandan airforce newly acquired jets... the Big question is where did uganda get the money to purchase such expensive fighter jet at a staggering cost without affecting their annual budget??? any connection with DRC minerals???

Uganda is already producing oil, where are you? asleep?

Read;

A little-known discovery of new oil fields in the Ugandan rift-valley region of Africa has brought clean water, health clinics, paved roads and schools to thousands of poor villagers in the Hoima district.
And Ugandan universities are rushing to train more mining engineers... Life is being transformed in one of the poorest regions of Africa in Uganda's Hoima district, right next to Lake Albert, ever since the oil-bearing sands deep below were first discovered in in 2006 by Ireland-based Tullow Oil company. The find is not being all that widely published in the Western world, so outside Uganda, it's relatively unknown that they are already pumping about 27,000 barrels of oil a day, and plan to go to fulltime production by 2011. The rush now is on to complete the planned 350-km pipeline from Kenya's Mombasa harbour to Kampala and extend it to Lake Albert. And Mombasa is also expanding its oil-export terminal.

Read more: Ugandan Oil Fields are the best-kept secret in the world
 
Unawezaje kuhoji nchi imepata wapi fedha? Uwezo wa nchi ni zaidi ya individual capacity jamani.
 
Hizi SU ziko za Aiana Nyingi nashangaa mnabishana ni kwa nini Uganda ameweza kununua hizi SU 30, kuna SU 30MKI Hizi ni special kwa ajili ya India Pekee na ni exepnsive sana, Na kuna SU 30MK2V Hizi ni spceil kwa Jeshi la Veitnam Pekee,
SU 30 SM- Kwa ajili ya Jeshi la URUSI pekee, SU 30MKM Kwa ajili y Malayasia pekee,

Kuna SU 30 MKV hizi ni spceal kwa ajili ya Venezuela pekee Na kazalika na zipo SU 30 kwa ajili ya Algeria na URUSI na yeye anazo za kakwe kwa ajiliya Jeshi lake SU 30 zinazo uzwa Uganda si sawa na zinazo uzwa ndia za India si sawa na za RUSIA

Uganda wanatumia S-30MKK2 "Modernized, Commercial, China" variant ya china. Uganda hawawez agiza variants yao cz gharama yake ni maradufu ya hiyo waliyoagiza na wao hawana such technical specifications za kujitofautisha na wengne. Mfano India zao ni MKI wamezifunga avionics system za Mawasiliano toka Israel na France na wana license ya production hii ndio requirement yao. Ni sawa sawa na kuagizia gar kiwandan uweke special order kwa specifications utakazo gharama yake ni kubwa sana. Uganda Kua na Sukhoi 10 so far sio big deal sana dola mil. 780 iko within our reach ila unaangalia priorities. Kwa kipind cha aman resources huelekezwa zaid kweny social, economic and investment needs ila kipindi cha vita una diverge cz unahitaj silaha so unainvest resources kweny silaha. Ndio maana JWTZ inamiliki MIV's za uchina na sophiscated Soviet BM-30 acquired 1970's and 80's silaha ambazo kwa nchi ndogo kiuchumi ni anasa kuzimiliki lakini kwa kipindi hicho mahitaji yalilazimu. Museveni ni army personel anapenda pride na vita so kutumia resources for unnecesary military hardware kwake ni sifa kua ukanda woote wa EA yeye ndio ana modern Air Force which is stupid!
 
Hamjui kama East Africa imekaa kivitakivita siku hizi?nyie kaeni hivyo hivyo na vishada vyenu halafu mnaanzisha ugomvi tutanyukwa mpaka kigamboni!
 
Hamjui kama East Africa imekaa kivitakivita siku hizi?nyie kaeni hivyo hivyo na vishada vyenu halafu mnaanzisha ugomvi tutanyukwa mpaka kigamboni!
Teh! teh! teh! ... no comment
kite-sticker.jpg


 
Kwani sisi tulipata wapi pesa za kununulia rada na ndege mbovu ya rais? si tulikula nyasi? Inawezekana na wao wamekula nyasi pia
 
mkuu hapo umeua, kuna kaukweli ndani yake
 
Hata siye tungeweza kununua zetu kwa kurudisha kwanza mabilioni ya Uswiss. Ila kwa kuwa hili ni taifa la waoga hakuna linalowezekana

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Katika jeshi kua tayar na kujipanga ni muhimu. Tusiwabeze uganda walichokifanya kimepitiwa na kikaonekana ni right time kwa kununua hizo jet. Swali, duniani swala la ulinzi ni strategic hvyo nchi imara haiwezi kuweka wazi aina ya nyenzo za kivita na ukiona hvyo watakua wapo nyuma ki-security and secrecy ambavyo ni nguzo katika majeshi, ndio maana huwezi kupata budget halisi ya jeshi! Hua ni siri, na haina public audit.
 
Mkuu bona mbona hizo ndege hata Algeria wanazo ?.

the purchase of six sukhoi 30 fighter jet from russia by uganda has made ugandan airforce among the highets rated airforce in africa second only to south africa in central and south of sahara!! the jet are classified as 4.5 generation fighter jet!!!
all east and central africa airforces including Tanzania excluding SA have second generation fighter jet which make them no match to ugandan airforce newly acquired jets... the Big question is where did uganda get the money to purchase such expensive fighter jet at a staggering cost without affecting their annual budget??? any connection with DRC minerals???
 
Last edited by a moderator:
Dola milioni 780 ni ndogo sana kwa nchi ambayo ina mafuta
 
unatakiwa ufahamu ununuzi wa garama kubwa kama hii unauwezekano mkubwa sana wa kuathiri bajeti hasa kwa nchi maskini kama za kwetu za dunia ya tatu... for your information hakuna nchi yoyoyte afrika yenye ndege kama izi na si tu kwamba hawazitaki bali ni kwa sababu ni ghali kwa iyo kwa nchi kama uganda kununua imeshangaza sana jumuia ya kimataifa!!! tanzania tumenunua copy version ya mig 21 from china ambayo pia bado ni second generation fighter jet na kwa sasa nyingi pia haziruki kwa ajili ya poor maintenance ambayo ndo cost yenyewe!!!

No, i think the Chinese copy is actually third generation fighter jet. Earlier models of the MiG 21 were second generation, but later models were third generation. Fourth generation fighter jets will soon be all over East Africa. At the moment Uganda, Ethiopia and Sudan all have fourth generation fighter jets with Ethiopia having the earlier version of the Ugandan type-the SU-27 and Sudan the MiG 29. Not long ago Tanzania was rumored to be shopping for 6 MiG 29s. I don't what happened thereafter.
 
Uganda wanatumia S-30MKK2 "Modernized, Commercial, China" variant ya china. Uganda hawawez agiza variants yao cz gharama yake ni maradufu ya hiyo waliyoagiza na wao hawana such technical specifications za kujitofautisha na wengne. Mfano India zao ni MKI wamezifunga avionics system za Mawasiliano toka Israel na France na wana license ya production hii ndio requirement yao. Ni sawa sawa na kuagizia gar kiwandan uweke special order kwa specifications utakazo gharama yake ni kubwa sana. Uganda Kua na Sukhoi 10 so far sio big deal sana dola mil. 780 iko within our reach ila unaangalia priorities. Kwa kipind cha aman resources huelekezwa zaid kweny social, economic and investment needs ila kipindi cha vita una diverge cz unahitaj silaha so unainvest resources kweny silaha. Ndio maana JWTZ inamiliki MIV's za uchina na sophiscated Soviet BM-30 acquired 1970's and 80's silaha ambazo kwa nchi ndogo kiuchumi ni anasa kuzimiliki lakini kwa kipindi hicho mahitaji yalilazimu. Museveni ni army personel anapenda pride na vita so kutumia resources for unnecesary military hardware kwake ni sifa kua ukanda woote wa EA yeye ndio ana modern Air Force which is stupid!

You have nailed it bro, i couldn't agree more.
 
nilifuatilia kwenye second congo war museven na kagame walionewa sana na majeshi ya zimbabwe kwani zimbabwe alikua na airforce nzuri infact ndio iliyomuokoa kabila walifikia hatua walikua wanadestroy hadi meli zilizokua zimebeba askari wa rwanda na uganda kwa picha ile ndio mana ameamua ajiimarishe ili ikitokea tena wawe tayari maana hawako tayari kuachia maliasili za congo hasa madini na mbao!!!
 
nilifuatilia kwenye second congo war museven na kagame walionewa sana na majeshi ya zimbabwe kwani zimbabwe alikua na airforce nzuri infact ndio iliyomuokoa kabila walifikia hatua walikua wanadestroy hadi meli zilizokua zimebeba askari wa rwanda na uganda kwa picha ile ndio mana ameamua ajiimarishe ili ikitokea tena wawe tayari maana hawako tayari kuachia maliasili za congo hasa madini na mbao!!!

The only problem with this is that it is bound to create a sort of response from the neighbors which then leads to some sort of arms race.
 
nilifuatilia kwenye second congo war museven na kagame walionewa sana na majeshi ya zimbabwe kwani zimbabwe alikua na airforce nzuri infact ndio iliyomuokoa kabila walifikia hatua walikua wanadestroy hadi meli zilizokua zimebeba askari wa rwanda na uganda kwa picha ile ndio mana ameamua ajiimarishe ili ikitokea tena wawe tayari maana hawako tayari kuachia maliasili za congo hasa madini na mbao!!!

Spot on mkuu, hata mimi nilijua M7 alinunua ndege hizo kwa lengo la kutaka kutambia majirani zake - show off sort of, lakini kama unavyo sema kipigo cha ndege za Zimbabwe wakati wa vita ndani ya DRC nacho kilichangia M7 kutaka kuwa armed 2 teeth ili aweze ku-contain Airforce ya Zimbabwe just in case, lakini wana anga wa Zimbabwe wana uzoefu mkubwa katika nyanja hizi.


Mkuu ukweli wa mambo ni kwamba kuwa na modern jetfighters si hoja sana what counts at the end of the day ni uzoefu wa marubani na ujasiri walio nao - Alafu usisahau ukiwa na a formidable Air Defence System ndege zitapata wakati mgumu kuingia kwenye anga lako na kufanikiwa kukushambulia. Looking back now, naona Milima ya Kenya na General Weather ilisadia sana kupunguza idadi ya silaha hatari za M7, Gunship zile zilizo paramia Mt Kenya zinge endelea kuwepo - Uganda ingeweza ku-wreak havock kwa majeshi yetu huko Congo - nionavyo mimi this pair kama wataendelea kubaki madarakani nchi za Eastern and Central Africa zitajikuta zinaingia kwenye vita KALI within three 2 five YEARS - these guys are UP 2 something na kibaya zaidi wako highly unpredictable.
 
Spot on mkuu, hata mimi nilijua M7 alinunua ndege hizo kwa lengo la kutaka kutambia majirani zake - show off sort of, lakini kama unavyo sema kipigo cha ndege za Zimbabwe wakati wa vita ndani ya DRC nacho kilichangia M7 kutaka kuwa armed 2 teeth ili aweze ku-contain Airforce ya Zimbabwe just in case, lakini wana anga wa Zimbabwe wana uzoefu mkubwa katika nyanja hizi.


Mkuu ukweli wa mambo ni kwamba kuwa na modern jetfighters si hoja sana what counts at the end of the day ni uzoefu wa marubani na ujasiri walio nao - Alafu usisahau ukiwa na a formidable Air Defence System ndege zitapata wakati mgumu kuingia kwenye anga lako na kufanikiwa kukushambulia. Looking back now, naona Milima ya Kenya na General Weather ilisadia sana kupunguza idadi ya silaha hatari za M7, Gunship zile zilizo paramia Mt Kenya zinge endelea kuwepo - Uganda ingeweza ku-wreak havock kwa majeshi yetu huko Congo - nionavyo mimi this pair kama wataendelea kubaki madarakani nchi za Eastern and Central Africa zitajikuta zinaingia kwenye vita KALI within three 2 five YEARS - these guys are UP 2 something na kibaya zaidi wako highly unpredictable.

This is not the first time either that Uganda is attempting to have the best air force in the region, prior to the 1978-79 Uganda-Tanzania war, Uganda had not only the best air force in the region, but the third largest in sub-Saharan Africa at the time. In spite of this, they still lost the war.
 
Ghali si ndio ten pc inakua kubwa? Viongozi fisadi hawajali kama nchi inahitaji kifaa kama hicho au la! Au kama wana ujuzi wa kukitumia na kugharamia matumizi. Nchi kana saudi arabia wanayo karibu kila kifaa cha kijeshi cha kisasa toka marekani. Swali je wanahitaji au wananunulishwa tu na wamerakani kuvyonza hela zao nyingi za mafuta!
 
Back
Top Bottom