Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kweli kanila milioni yangu kwa dawa ambazo hazijasaidia ki2 kweli maisha haya bora kutokuamini muda mwingine
Dah kweli kanila milioni yangu kwa dawa ambazo hazijasaidia ki2 kweli maisha haya bora kutokuamini muda mwingine
labda kesha yajaza mahela kwa hiyo kajipumzikia. Jamaa dawa zake bei nono hasa. safari moja nilifika kwake nikamkuta mama mmoja na msaidizi wa dokta pale. the said dokta akamwambia yule mama angepata dawa kwa wiki 15, kila wiki laki tatu. mimi hivohivo. nikamwambia sasa hivi hizi dawa si za matajiri ni kweli ni za watanzania wa kawaida? Mimi nahofia sana hizi advertisements zinazohusisha mambo ya kidini. sijui ule msemo wa wahenga "Kibaya chajitembeza kizuri chajiuza uafanana na hizi adverts?" Jamaa huyu anajigamba kwa magari kama Mzee wa Upako. Simkandii lakini dah! kuna yule wa Loliondo naye lakini yeye ilikuwa mia tano tu.
Huyu jamaa anayeishi kwa kunyonya wagonjwa kwa kweli na mimi kwa mara ya mwisho nimemsikia muda mrefu sana uliopita. Inawezekana anatumia kwanza alizokusanya kabla ya kurejea site tena.
Ndondi,Upwako,mwakasiege,Mhh! WAJINGA NJOO, WEREVU TUPATE. imba kufuatisha mlio wa kengele ya kanisani
Huyu jamaa anayeishi
kwa kunyonya wagonjwa kwa kweli na mimi kwa mara ya mwisho nimemsikia
muda mrefu sana uliopita. Inawezekana anatumia kwanza alizokusanya kabla
ya kurejea site tena.