Where is Dr Ndodi ?

Where is Dr Ndodi ?

Mzee wa upako kawakosea nini?wanaomchangia wanatoa shukrani tena kwa hiari ya mioyo yao ninyi WIVU wa nini?Angalieni jinsi mnavyonena juu ya watumishi wa Mungu kwani hukumu yenu inaweza kugeuka laana kwenu na kwa vizazi vyenu!Mwachieni Mungu ndiye anayehukumu kwa haki!
Unamtetea tapeli Anthony Lusekelo anayetumia Jina la Yesu kuwaibia watoto wa Mungu wenye shida na matatizo mbalimbali!!!! Laana itakuwa juu yake yeye mwizi mkubwa anayekusanya hela madhabahuni kama konda wa daladala.
 
Mzee wa upako kawakosea nini?wanaomchangia wanatoa shukrani tena kwa hiari ya mioyo yao ninyi WIVU wa nini?Angalieni jinsi mnavyonena juu ya watumishi wa Mungu kwani hukumu yenu inaweza kugeuka laana kwenu na kwa vizazi vyenu!Mwachieni Mungu ndiye anayehukumu kwa haki!
Anajiita MZEE WA UPAKO kama kivutio cha kunasa hela za wenye shida. Huyo ni tapeli kama walivyo matapeli wowote wa mjini. Uliona wapi mhubiri anawachaji hela waumini wake kwa kuwafanyia maombi tena mbele ya kanamnasi akiwa madhabahuni!? Ningekuwa kiongozi mkuu wa nchi ningewafutilia mbali watu wa aina ya anthony lusekelo ili warudi kijijini wakalime.
 
na babu wa loliondo vip? nchi ukitaka kutengeneza pesa ndefu uza dawa,watu wengi ni wagonjwa na wakisikia sehemu yoyote kuna dawa wanakimbilia uko,wajanja wametake advantage
 
ndodi ni jambazi kama majambazi wengine,.tapeli hana cha dawa wala ushuzi,kawapiga sana watu
 
Ndodi kashamaliza n'gwe yake,si ameona mshashtuka!namshauri aingie kwenye siasa kwasababu mdomo kajaaliwa
 
Mganga njaa ukipata picha yake ya utotoni utashtuka jamaa alikuwa na funza noma kutembea ilikuwa shida kwao ni pale chandamali songea .....hana lolote tapeli tu alikuwa anatibu kwa kutumia vitabu vya wasabato wa kimarekani
 
mzee wa upako kawakosea nini?wanaomchangia wanatoa shukrani tena kwa hiari ya mioyo yao ninyi wivu wa nini?angalieni jinsi mnavyonena juu ya watumishi wa mungu kwani hukumu yenu inaweza kugeuka laana kwenu na kwa vizazi vyenu!mwachieni mungu ndiye anayehukumu kwa haki!
kwani ametajwa mwenyewe hapo kwenye list?kwa taarifa yako huyo sio mtumishi wa mungu hata kidogo ni mchumia tumbo na anawadanganya na kuwaringishia nyie mlio wajinga kumpa mafwedha ananunua na magari yakuwaringishia .kweli mnaangamia kwakukosa maarifa
 
mzee wa upako kawakosea nini?wanaomchangia wanatoa shukrani tena kwa hiari ya mioyo yao ninyi wivu wa nini?angalieni jinsi mnavyonena juu ya watumishi wa mungu kwani hukumu yenu inaweza kugeuka laana kwenu na kwa vizazi vyenu!mwachieni mungu ndiye anayehukumu kwa haki!
antony lusekelo(mzee wa upako)===shehe yahya
 
Mimi nimemwona juzi Access bank anatuma hela Kenya kwa Western Union. Kaanzisha biashara mpya wiki hii iliyopita nilimwona TBC kwenye kipindi cha technolojia leo akitangaza huduma mpya ya ku track simu na laptop zinazoibiwa. angalieni website hii. http://renewearthtechnologies.com/
 
Ndodi TAPELI MKUBWA SANA, kuna watu walitaka kumaliza na kutoa roho yake, kala mil 2.4 halafu mtu hajapona analeta kiburi ETI MUOMBE MUNGU WAKATI KABLA HUJATUMIA DAWA..... Mwizi kweli huyu, na ANATUMIA DINI NA JINA LA YESU KUWAZINGUA WATU....

Tapeli kweli kweli.... ila kuna siku muda si mrefu itamtokea puani....!!!

Mwizi kweli....!!!

inawezekana akawa tapeli jamani huyu mtu sijui hata amepotelea wapi kweli maana nilishaliwa na mimi mwaka juzi 2011 kama laki 4 hivi nlikua nina shida na dawa ya ulcers lakini wapi. sitaki hata kumsikia
 
Dah,poleni ndg zngu! ila kaeni mkijua NO LONGER AT EASY. achen Ndodi aende waje wengine cz pia watakuwepo wajinga wengne
 
inawezekana akawa tapeli jamani huyu mtu sijui hata amepotelea wapi kweli maana nilishaliwa na mimi mwaka juzi 2011 kama laki 4 hivi nlikua nina shida na dawa ya ulcers lakini wapi. sitaki hata kumsikia

...............mie alinifitinisha na mgonjwa wangu ! nilikataa kata kata matibabu yake !!:becky:
 
Muondoe Mwl. Mwakasege katika orodha yako tafadhali. Ni udharirishaji wa kiwango cha juu sana kumchanganya Mwl. Mwakasege na matapeli kama akina Mzee wa Upako.

.............nae mwizi tu huyo Mwakasiege !!:whistle:
 
Ndondi,Upwako,mwakasiege,Mhh! WAJINGA NJOO, WEREVU TUPATE. imba kufuatisha mlio wa kengele ya kanisani
onyesha ukubwa na usiwe unakurupuka kama mtt , uctukane wa2mishi wa Mungu ukaja laaniwa na vizazi vyako . muache MUNGU ndio anaye hukumu tena kwa haki wala c kwa upendeleo.
 
Back
Top Bottom