Where is Jr Junior wa East Africa Radio?

Savimbi Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2011
Posts
6,818
Reaction score
9,183
Habari wadau wa JF,

Aisee kitambo sana sijamsikia mtangazaji mwenye vibe plate number D kwa hewa,huwa nilikuwa namsikiliza kwenye planet bongo au kwenye The Cruz ila kwa Fasi zote zimsomi kabisa au dablyu wachafu washampitia na upepo wa kisuri suri?


Nawasilisha.
 
Ndio mkuu muda mwingi sana nautumia kusikiliza radio yaani kwenye 24hrs masaa karibia 20hrs nasikiliza radio ,manne natoa ya kulala!! Kukaa dukani bila makelele ya radio hupati wateja wanaweza wakajua mchawi.
Haha nimekutania tu.Safi hata nami napenda sana redio.
 
frida namuona hapo nae nasikia yupo clouds......kuhusu jr sifahamu
 
frida namuona hapo nae nasikia yupo clouds......kuhusu jr sifahamu
Du Frida Aman kaenda Clouds FM hatari , Jr atakuwa Kasepa muda sana sijamsikia kwa hewa.
 
Ndio mkuu muda mwingi sana nautumia kusikiliza radio yaani kwenye 24hrs masaa karibia 20hrs nasikiliza radio ,manne natoa ya kulala!! Kukaa dukani bila makelele ya radio hupati wateja wanaweza wakajua mchawi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa nadhani ameshasepa maana hata kwenye page ya East African Radio kwa upande wa watangazaji hayupo, kuna ingizo jipya LA Dada mmoja anaitwa Lesa_Said
 
Aiseeeee. Jamaa kweli chuma. Mbeya stand up.
 
Jamaa nadhani ameshasepa maana hata kwenye page ya East African Radio kwa upande wa watangazaji hayupo, kuna ingizo jipya LA Dada mmoja anaitwa Lesa_Said
Pamoja na freddo mbunji ...huyu alitoka Ebony Fm Iringa

Nawapata maingizo mapya ,Lesa_sid anasound kama Anna Peter!! Freddo ana vibe la hatari dogo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…