Where is the craddle of human being...

Where is the craddle of human being...

nziriye

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
1,050
Reaction score
363
Wapendwa wana jukwaa la elimu,nina maswali mengi kuhusu chimbuko la binadamu,baadhi ya maswali hayo ni , -je,chimbuko la binadamu ni arusha ? -kufuatana na elimu ya biblia tumeumbwa kwa udongo,wakati ukienda kwa wana-akiolojia wanasema chimbuko letu ni nyani kwani tunafanana nao kwa asilimia 99 ktk dna composition,ukweli ni upi?
 
chumbuko la binadamu ni kufanya mapenzi.....mtu anapata mimba, mtu anazaliwa...mwisho wa habari.
 
Back
Top Bottom