Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
- Thread starter
-
- #21
fun gani kuruka ruka na kutoka majasho....fun ni kama niliyokuambia...
Huyo YNIM unaemtafuta alizamia harusi basi kautwika matapu tapu yu hoi....hata akija hapa sidhani kama mtaelewana lugha.....si unajua mtu akilewa anavyotema yai gumu..
Yaani jamaa ni mlevi mbwa! Halafu nashangaa cupcake anambabaikia...mademu bana....
style ya old skool siyo kama hizi zenu nyie mnaruka hadi mnatokwa na jasho...wee mtoto mdogo tatizo lako so hujui fun ya old skool enzi hizo unavaa buga luu una bonge la froo na raizoni alafu watu wanacheza twist...ile ndiyo fun...na watu wanakuwa wanahave fun kisawasawa na wala siyo kufukuzia mademu ila business only how to make money and be millionare... you talk big!....
duuh nigga kumbe ni wedding crasher?...poor him!
Yaani jamaa ni mlevi mbwa! Halafu nashangaa cupcake anambabaikia...mademu bana....
We cupcake, chunga lugha yako? Nigga this nigga that ndo nini?
.............😀😀😀......mshikaji anagonga Mataputapu(pombe mavi) nini
yaani jamaa anakunywa kila aina ya pombe chafu....ili mradi awe bwiii....
hata mkojo unekuwa unalewesha jamaa angeunywa tu....
Mkojo no dawa though!..did you know that tena mkojo wako wa asubuhi unaponya magonjwa 40...
yaani jamaa anakunywa kila aina ya pombe chafu....ili mradi awe bwiii....
hata mkojo unekuwa unalewesha jamaa angeunywa tu....
mmmhhh....na wewe acha stori zako za saloon hapa.....
I am very serious..mkojo ni dawa! muulize dr yeyote yule atakwambia...wee siku ukiona una migrane or anything try kunywa mkojo wako...lakini ule wa kwanza asubuhi....
Mhhhh hapa isije ikawa unatulisha sumu
Alianza kuaribika baada ya kujifanya anataka kufanyia praktiko ma organic chemistry eti na yeye aje na formula zake.....yaani jamaa anakunywa kila aina ya pombe chafu....ili mradi awe bwiii....
hata mkojo unekuwa unalewesha jamaa angeunywa tu....
Siyo sumu ni true story tena kuna scientist wamefanyia reserach kabisa..try that kesho then utaniambia...
Alianza kuaribika baada ya kujifanya anataka kufanyia praktiko ma organic chemistry eti na yeye aje na formula zake.....
tehe tehe tehe nimekubuka kuna jamaa mmoja alikamatwa na gongo ile ya mavi alikuwa kesha kunywa kabakiwa na akiba kwenye kidomola....tehe tehe.....akiwa kwenye gari wakielekea kituoni akatapika ilikuwa patashika gari zima harufu ya kinyesi.......
Vp kuhusu mkojo wa asubuhi baada ya kupata mataputapu nao ni dawa ama....Maana mataputapu ni soo mwana
Mkojo upi dawa?Siyo sumu ni true story tena kuna scientist wamefanyia reserach kabisa..try that kesho then utaniambia...
Mkojo upi dawa?
No kama umekunywa hauruhusuwi unywe mkojo wako ila unaweza kunywa mkojo wa mtu mwingine..unatakiwa kunywa ule ulio fresh kabisa...
Alianza kuaribika baada ya kujifanya anataka kufanyia praktiko ma organic chemistry eti na yeye aje na formula zake.....
tehe tehe tehe nimekubuka kuna jamaa mmoja alikamatwa na gongo ile ya mavi alikuwa kesha kunywa kabakiwa na akiba kwenye kidomola....tehe tehe.....akiwa kwenye gari wakielekea kituoni akatapika ilikuwa patashika gari zima harufu ya kinyesi.......