Where is YNIM?!

MAHATMA MOHANDIS GANDHI,that great indian pacifist used to,first thing in the morning drink his own urine,and lest anyone forgets he was a reputable lawyer
 
Kunywa mkojo wa mtu mwingine!!!!!!!!!!!!!..itakuwa ngumu best maana huo wa kwangu tu kuunywa shughuli

Funga macho tuu!...kwani wewe huli lile yai bichi?...unakunywa na ute wake?..Yai pia linasaidia especially kuweka ngozi yako kuwa nyororo...unatengeneza yai unachanganya na avocad unapakaa usoni fr takribani 20 minutes then unasafisha...
 
MAHATMA MOHANDIS GANDHI,that great indian pacifist used to,first thing in the morning drink his own urine,and lest anyone forgets he was a reputable lawyer

see!..watu hawaniamini thank you for bring this evidence!....Nadhani sasa watajua what i am talking about...
 
You guys kama huyu kijana amefikia stage hiyo then yupo kwenye hatari sana..he needs help inabidi mumshauri anede rehab....its not fun at all no wonder huwa anandika vitu vya ajabu hata haelewekagi kabisa...kumbe siyo normal!!

Halafu akilewa kesho yake akiamka nazo akiamka anaandika kiingereza kigumu mnooooo....Anaandika ma'bombastic'...lol
 
Mkojo wako mwenyewe..unaokojoa...kwani kuna mikojo ya aina ngapi ach aule mkojo wa punda hata ule ni dawa pia.

..eheheheheheee...nadhani Yo Yo anamaanisha ule mkojo mzito mzito unaofanana na kamasi....ule wenye protini bwelele kama ule ninaoukojoa nikiwa nananihino.....hihihihihihiiiiiii.....
 
..eheheheheheee...nadhani Yo Yo anamaanisha ule mkojo mzito mzito unaofanana na kamasi....ule wenye protini bwelele kama ule ninaoukojoa nikiwa nananihino.....hihihihihihiiiiiii.....


hahahaha ooh my god!...are you serious?...dang he went far!...ule hauna madhara pia..lakini siyo dawa.
 
hahahaha ooh my god!...are you serious?...dang he went far!...ule hauna madhara pia..lakini siyo dawa.

ile protini wewe...huoni hata wewe mwenyewe ngozi yako usoni ilivyo nyororo.....you need to say thank you cupcake
 
You guys kama huyu kijana amefikia stage hiyo then yupo kwenye hatari sana..he needs help inabidi mumshauri anede rehab....its not fun at all no wonder huwa anandika vitu vya ajabu hata haelewekagi kabisa...kumbe siyo normal!!
akija patakuwa hapatoshi hapa......ni smart asipoutwika lakini mara zote akiingia jf huwa kesha mix kemikali za labaratori
 
things are getting frisky here,unasema hauna madhara na siyo dawa-what about the taste?
 
ile protini wewe...huoni hata wewe mwenyewe ngozi yako usoni ilivyo nyororo.....you need to say thank you cupcake


hahahahaha!.auwiiii haya thank you cupcake..hivi kumbe ile ndiyo inanifanya sina hata acne uh!....duh mbona hukuniambia all those days sasa nitafanyia DOSE LOL!
 
MAHATMA MOHANDIS GANDHI,that great indian pacifist used to,first thing in the morning drink his own urine,and lest anyone forgets he was a reputable lawyer
Zilikuwa hazimtoshi......unamuona yule jamaa alikuwa kamili kweli?
 
hahahahaha!.auwiiii haya thank you cupcake..hivi kumbe ile ndiyo inanifanya sina hata acne uh!....duh mbona hukuniambia all those days sasa nitafanyia DOSE LOL!

alaaaa! wewe ulikuwa hujui kwa nini hutumii Proactive.....? mbona huna shukurani hivyo...
 
akija patakuwa hapatoshi hapa......ni smart asipoutwika lakini mara zote akiingia jf huwa kesha mix kemikali za labaratori


wewe kama mtu wake wa karibu sana inabidi umushauri atakuja kuharibu mapafu yake!
 
alaaaa! wewe ulikuwa hujui kwa nini hutumii Proactive.....? mbona huna shukurani hivyo...


hahaha aok no to proactive..i didnt know kumbe siri ya my glowing skin ni wewe wow! cupcake thank you!...
 
Kunywa mkojo? eti ni dawa? Kazi kweli kweli. Inabidi niunywe when Unconscious la sivyo haupiti kooni nakwambia bibie
 
wewe kama mtu wake wa karibu sana inabidi umushauri atakuja kuharibu mapafu yake!
Siweiz kuwa karibu na walevi wa matapu tapu yeye bora azime.....mimi nina heshma zangu na hekalu la bwana halinyweshwi matapu tapu yasiyopimwa......

...mtu wa karibu NN nae anamkimbia akilewa...unafahamu ile pombe ukinywa sharti ufunge suruali chini na kamba....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…