Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Ushaichoka ndoa yako?.Jamani naombeni msaada nahitaji ku spy mtu fulani lkn cm yake ni ngum sana kuishika nifanyeje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaichoka ndoa yako?.Jamani naombeni msaada nahitaji ku spy mtu fulani lkn cm yake ni ngum sana kuishika nifanyeje?
Icheck "mspy"...(Cell Phone Tracking & Monitoring Software, SMS Tracker - mSpy) ni the best...,unaweza kutrack sms, inarecord calls, whatsapp msg, viber, mail, facebook, e.t.c. Ni ya kulipia.Haionekani kwenye phone husika.
Kwa ajili ya sms, na details za calls nenda www.mobitrackapps.com, idownload na ihide isionekane, hii waweza tumia bure, means kwa TSH 0.00.
ONYO: Udukuzi ni kosa kisheria
Ishike na handkerchiefJamani naombeni msaada nahitaji ku spy mtu fulani lkn cm yake ni ngum sana kuishika nifanyeje?
Ndio kwanza nawaza kuingiaUshaichoka ndoa yako?.
Sawa mkuu hakuna namnaIshike na handkerchief
Natafuta Software Ya Kuweza Kutrack Calls, sms,email Na Any Communicative Data Zinazoingia Kwenye Simu Ya Mtu Fulan. Nimeingia Play Store Na Kudowlod Kaadha Lakini Naona Ubabaishaji Tu
So Namtaka Mtu Ambaye Kwa Ushuhuda Ameshawahi Kuitumia Na Ikawork Vizuri Ili Anipe Jina Nifanye Installation (iwe Ya Kununua Au Free App).
Please Nisaidie Nimejiandaa Kwa Kukabiliana Na Stress Ntazopata Kupitia Hiyo Application.