While Kenya and Tanzania Fight Over Flights, Rwanda Is Making Hay!

While Kenya and Tanzania Fight Over Flights, Rwanda Is Making Hay!

Zigi Rizla

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
1,064
Reaction score
1,107
Air travelers from Kenya to Tanzania and vice versa are now able to book flights with RwandAir and connect via Kigali. Spot check showed fares starting from $192 from TZ-KE, and $211 from KE-TZ tax inclusive.

Screenshot_20200902-084557.jpg
 
Air travelers from Kenya to Tanzania and vice versa are now able to book flights with RwandAir and connect via Kigali. Spot check showed fares starting from $192 from TZ-KE, and $211 from KE-TZ tax inclusive. View attachment 1556082
Yes RwandAir will benefit from this nonsense fight! Uhuru and his team, particularly Kabwe are money launders!
 
Hiyo ndege ni kweli ipo au ndo mambo ya kufaulisha? Hawa watu hatutaki kuwaona hapa nchi yetu yenye corona, warudi na wakae kwao kwenye nchi yao isiyo na corona. Mbona hawaelewi? Wanataka kufaulisha tena?
Screenshot_20200902-113025.jpg
Screenshot_20200902-113155.jpg
 
Gharama zote izo za nini? Si bora upande ndege hadi KIA, from there uchukue basi hadi border.. Kutoka hapo utafute watu wa piki piki waku sneak out uwe umeepuka kukaa Karantini siku 14!
 
Air travelers from Kenya to Tanzania and vice versa are now able to book flights with RwandAir and connect via Kigali. Spot check showed fares starting from $192 from TZ-KE, and $211 from KE-TZ tax inclusive.

View attachment 1556082
Hii biashara itamshinda hata Rwanda
Hakuna Mtanzania atakwenda Kenya akubali siku 14 quarantine hata kama anapitia Rwanda. Kinyume na hapo Rwanda air iwabebe wakenya kuja huku, halafu iende Rwanda tupu, kisha ichukue wa Rwanda kwenda Kenya. na kama Rwanda air wakikomaa hivyo wakafanikiwa. Magu ataziba na hilo tundu. Sasa atapiga marufuku kabisa Raia wa Kenya kuingia Tanzania. Yule mzee hashindwi kitu, akiwa na 'jambo lake'.
 
Tanzania wameamua kufanya kweli maana watalii sasa wanaamua kutua Dar Es Salaam na Kilimanjaro kuliko kwenda Nairobi. Sababu kubwa Kenya walikuwa wanapata watalii ambao walikuwa wanaenda Kenya kwanza na kuja Tanzania baadaye. Hivi sasa watakuja Tanzania na kurudi kwao na kuikata Kenya nje ya equation.

Kilimanjaro na Dar Es Salaam hapatoshi

Hao Rwanda wanahangaika na wauza karanga tu, sisi tunaangalia wale watalii wanaolipa US5,000 kwa kulala usiku moja. The majority of those ni wale wanaotoka USA. KQ safari zao za big apple watakula jeuri yao. Maana kwa Europe tayari KLM na Quatar wameongeza safari za Tanzania. Follow the link above.
 
Tanzania wameamua kufanya kweli maana watalii sasa wanaamua kutua Dar Es Salaam na Kilimanjaro kuliko kwenda Nairobi. Sababu kubwa Kenya walikuwa wanapata watalii ambao walikuwa wanaenda Kenya kwanza na kuja Tanzania baadaye. Hivi sasa watakuja Tanzania na kurudi kwao na kuikata Kenya nje ya equation.

Kilimanjaro na Dar Es Salaam hapatoshi

Hao Rwanda wanahangaika na wauza karanga tu, sisi tunaangalia wale watalii wanaolipa US5,000 kwa kulala usiku moja. The majority of those ni wale wanaotoka USA. KQ safari zao za big apple watakula jeuri yao. Maana kwa Europe tayari KLM na Quatar wameongeza safari za Tanzania. Follow the link above.

Let Rwanda do whatever, but Tanzania has to cut tie with neighbour Kenya completely. Ukiona unakata majani halafu mtu anakuletea kichwa anawekea sehemu unayokatia majani ati anazuia usikate unapaswa kukata hiyo kichwa pamoja na majani.
Nafikiri sasa tuanze kazi moja, Kenya soko lake kubwa sana la bidhaa zake liko Tanzania maana ukiingia kila duka karibu kila bidhaa inatoka Nairobi hapo sasa ukisikia kupigana na kurushiana ngumi halafu bado adui hataki kushindwa wanasemaga shika Pumbu zake sawasawa.

Imefika wakati wa kukamat pumbu za majirani zetu, ni kuhakikisha tunatafuta replacement ya bidhaa za Kenya haraka sana wakati tukiandaa viwanda vyetu, ili waache kuitangaza nchi yetu vibaya na watuheshimu.

Nawashangaa kuna wachezaji wao hapa wanachezea club ya Simba sijawahiona wanavaa barakoa na mtaani wanaingia na hawana ugonjwa, inakuwaje wanatuaibisha ati kukaa siku 14 ndani kabla ya kuruhusiwa kuingia public? Halafu Kenya wana vichwa vizuri mno, Prof PLO Lumumba kwa nn wasimpe hata uwaziri wa mambo ya nje akawasaidia?

Ngoja Magufuli amalizane na uchaguzi kwanza watanjua vizuri
 
"maana ukiingia kila duka karibu kila bidhaa inatoka Nairobi" hapa umeongeza chumvi au wewe upo Tarakea
Let Rwanda do whatever, but Tanzania has to cut tie with neighbour Kenya completely. Ukiona unakata majani halafu mtu anakuletea kichwa anawekea sehemu unayokatia majani ati anazuia usikate unapaswa kukata hiyo kichwa pamoja na majani.
Nafikiri sasa tuanze kazi moja, Kenya soko lake kubwa sana la bidhaa zake liko Tanzania maana ukiingia kila duka karibu kila bidhaa inatoka Nairobi hapo sasa ukisikia kupigana na kurushiana ngumi halafu bado adui hataki kushindwa wanasemaga shika Pumbu zake sawasawa.

Imefika wakati wa kukamat pumbu za majirani zetu, ni kuhakikisha tunatafuta replacement ya bidhaa za Kenya haraka sana wakati tukiandaa viwanda vyetu, ili waache kuitangaza nchi yetu vibaya na watuheshimu.

Nawashangaa kuna wachezaji wao hapa wanachezea club ya Simba sijawahiona wanavaa barakoa na mtaani wanaingia na hawana ugonjwa, inakuwaje wanatuaibisha ati kukaa siku 14 ndani kabla ya kuruhusiwa kuingia public? Halafu Kenya wana vichwa vizuri mno, Prof PLO Lumumba kwa nn wasimpe hata uwaziri wa mambo ya nje akawasaidia?

Ngoja Magufuli amalizane na uchaguzi kwanza watanjua vizuri
 
Yani hata mm nahisi ivyo maana kunyaland wanajiona smart waki tulisha wazaga mpaka tutakapo wapgia bao.
Hii biashara itamshinda hata Rwanda
Hakuna Mtanzania atakwenda Kenya akubali siku 14 quarantine hata kama anapitia Rwanda. Kinyume na hapo Rwanda air iwabebe wakenya kuja huku, halafu iende Rwanda tupu, kisha ichukue wa Rwanda kwenda Kenya. na kama Rwanda air wakikomaa hivyo wakafanikiwa. Magu ataziba na hilo tundu. Sasa atapiga marufuku kabisa Raia wa Kenya kuingia Tanzania. Yule mzee hashindwi kitu, akiwa na 'jambo lake'.
 
Unajua bana hawa washenzi sana, MK254 Tanzania imdvumilia sana kwa namna Kenya iliki brand vivutio vyetu so walianza kucheza faul mda sana ni lilikuwa ni swala la muda tu sasa wale wageni wote walikuwa ni wageni wa Tanzania na walikuwa wanashawishika kwenda Kenya kwa kudanganywa na wakifika kule wanakuta sivyo na kuunga trip kuja Tanzania sasa wataisoma namba na route ya Tanzania ndo route yenye wateja wengi
Tanzania wameamua kufanya kweli maana watalii sasa wanaamua kutua Dar Es Salaam na Kilimanjaro kuliko kwenda Nairobi. Sababu kubwa Kenya walikuwa wanapata watalii ambao walikuwa wanaenda Kenya kwanza na kuja Tanzania baadaye. Hivi sasa watakuja Tanzania na kurudi kwao na kuikata Kenya nje ya equation.

Kilimanjaro na Dar Es Salaam hapatoshi

Hao Rwanda wanahangaika na wauza karanga tu, sisi tunaangalia wale watalii wanaolipa US5,000 kwa kulala usiku moja. The majority of those ni wale wanaotoka USA. KQ safari zao za big apple watakula jeuri yao. Maana kwa Europe tayari KLM na Quatar wameongeza safari za Tanzania. Follow the link above.
 
Back
Top Bottom