Npatie hiyo weed unayotumia, inaonekana ni kali sana. Mna maneno ya kipuuzi kisa chuki, sis tunajarbu kufufua ATCL sio kwasababu ya kuua KQ but kwa faida zetu ukiangalia tunapata watalii wengi sana kwa mwaka, so vipi kampala airline na Rwanda nazo lengo lake ni kuua KQ? Your negativity will blow up ur chest
Hujaelewa mwehu wewe!
Bangi hadi Jiwe anakula,sasa unataka kwenda kinyume na anachovuta boss wako unaemlamba matak0?
ATCL haina ubavu wa kuua KQ!
KQ inakufa kutokana na sababu zingine kabisa na wala sio ATCL!
Na ATCL haina uhusiano na Uganda Airways wala Rwandair,etc...ni carriers za mataifa mengine kama zilivyo carriers zingine!
Ninachoona nyie ni wapumbavu ni pale mnapochekelea matatizo anayopata KQ sasa hivi as if nyie kuna kitu cha maana mnafanya!
KQ akifa sio kwamba wewe ndio utafanikiwa!
Upumbavu mlichofanya wewe na Jiwe wako ni kuua mashirika madogo madogo yaliyokua hapa nchini as if ndio kwamba nyie mtafanikiwa na ATCL,which is wrong!
ATCL haina faida yoyote as we speak!
Kuleta watalii mashirika yote yanaleta wala sio ATCL!
ACTL ina nearly zero international trips sasa hao watalii inawaleta kwa trip za Njombe wewe matak0?
Watalii wanakuja na international carriers as we speak,ATCL haina mbavu ya kuruka nchi yoyote bara la Ulaya,zingeshikwa!
Eti watalii,ATCL inachukua watalii wa wapi kiduduu wewe?
Watalii wapo EU na America ambapo ATCL haina jeuri ya kwenda kufanya direct flight wewe mwehu!
SA yenyewe mmekimbia,hizo trips za “watalii” mnafanyia wapi?
India?Kuna Mhindi mtalii dunia hii?Viduduu nyie!