Whistler blowers wa Bandari wapewe Maua Yao

Whistler blowers wa Bandari wapewe Maua Yao

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Picha lilianza pale mkataba ulipovuja, mamlaka hazikutegemea ..Jambo kama hili. Hata kama lingepekekwa bungeni Hakuna amabaye angeuona huo mkataba.

Tungekuja kugundua after 5 or 10 years Later kwambia hawa waarabu wamekuja kuishi Tanzania ...

Mnategemea Samia ajitokeze aongelee Nini Jambo la ajabu kama lile atakuwa Anazidi kujimaliza . Ndo maana kawapa jukumu la kujibu wale Ambao mkataba umevuja Mikononi Mwao...I'm sure engineer wa Jambo hili siyo yeyé.

Kauli Za mamlaka zinakinzana ndo utajua kwamba tumepigwa vibaya Sana.
1. Mkurugenzi wa bandari
2.Mbarawa
3.Grayson Msigwa.
4. CCM wenyewe
5. PM Majaliwa.

Kauli Zao hazina colleration. Kila MTU anaongea lake, MTU mwenye akíli timamu Lazima utajua kuwa there is something wrong with this makubaliano.

Kuna uwezekano kabisa huu ulikuwa ni Mpango wa watu wachache na siyo serikali.

Tunawashukuru Sana wale wote waliovujisha hizi nyaraka na tunaomba wengine waendelee kufanya Hivyo pale wanapoona kuna ujinga unafanyika.

Hii mijadala inayoendelea na makundi mbalimbali ilipaswa ifanyike kabla ya mkataba kusainiwa. Maajabu ni kwamba watu wansaini mkataba Afu ndo wanaleta majadiliano STUPID.
 
Kauli Za mamlaka zinakinzana ndo utajua kwamba tumepigwa vibaya Sana.
1. Mkurugenzi wa bandari
2.Mbarawa
3.Grayson Msigwa.
4. CCM wenyewe
5. PM Majaliwa.
Hawa jamaa hawa buana, mbinguni hawatafika
IMG-20230629-WA0026.jpg
 
Naomba sana Waliovujisha huu mkataba huu mpaka ukasambaa mitandaoni, Whatsapp, Twitter, Facebook, Instagram naomba sana wapewe maua yao naamini ni watu wa humohumo ndani ya mfumo ambao wameona wavujishe ili kutusanua mapema. Wametufungua akili watanzania kuwa tumeuzwa 😂😂.




Sasa najiuliza kama mkataba mmoja tu ndio uko hivi, je ile mingine ina hali gani? Maana toka kaingia kasaini mikataba mingi sana. Naomba wavujishaji, endeleeni kuvujisha na mikataba mingine tena mpaka sahihi za viongozi ziwepo.
 
Tuna shukuru kwa hawa waliofanikisha Mkataba dhalimu kuvuja na pia Tunaomba na mikataba mingine ivujishwe ili tujue hawa watu wana akili au matope kichwani
 
"4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?"
 
Back
Top Bottom