Whitedent wanatumia Siri gani "kuua" brands nyingine za dawa za meno eg "Aha, AfyaDent na Colgate ?

Kibongobmgo hilo ndo suluhisho.
 
Ni sawasawa kusema Tecno anatumia njia gani kuua brands za Iphone na Sony Tanzania au na pengine Samsung?

Simple, jibu ni "BEI".

Form II Kuna topic inaitwa DEMAND

Demand tunasema ni willing na Ability ya Customer kununua bidhaa. Sasa Whitedent ndio watanzania wana ability kubwa ya kununua Whitedent kuliko Colgate japo wanatamani (willing) kutumia product ya Colgate.
 
duh kupitia hii comment ndion nimefahamu leo kumbe bukta sio pensi bali ni brand

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Whitedent anachomzidi Colgate ni bei na ujazo ukienda dukani ukinunua Colgate ile ya elfu 3 halafu ukiliinganisha na whitedent ya elfu 3 utaona ujazo wa whitedent ni mkubwa kuliko wa colgate tena na whitedent unakuta na kamswaki chako. Kitu kingine whitedent zipo za size zaidi ya 5 na bei tofauti wakati colgate yeye ana size 3 tu.

G.O.M.D
 
Aloe itadumu maana ni production of PRC na bei ni chini ila inabanwa na kodi za mzee,Colgate ndio dawa bora tatizo tunakimbilia za bei chini

young kilimanjaro
 
Yeah! Blue band ! Mpaka leo mimi nauliza blueband imeisha ?sijapatapo kutumia brand nyingine toka kifo cha TanBond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Whitedent haina ubora kihivyo, basi tu ulofa. I am telling you tumia Dabur Herbal, you will never use those substandard brands. Kama mdomo wako unatoa harufu basi hii ndio dawa. try it , you will tell me.
Sasa watu hatunuki mdomo tuoe sababu za kuacha whitedent?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika uchumi tu awaita price conssious customers watanunua kwa kuwa ni bei ya chini based na affordability au hawatanunua kwa kuwa bei ya chini kwa wale wanaotaka fame rejea yebo yebo slipers havikuwa vibaya lakini bei iliwafanya kipato cha juu na cha kati wasinunue wanaona wanashuka hadhi.
Pia wengine hawatanunua kwa kuwa bei ni juu case ile ile ya affordability au watanunua kwa kuwa bei ni juu kwa kutaka sifa mtu atanunua kutia heshima mtaani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama pikipiki zenye matairi matatu kuitwa bajaj, wakat bajaj ni brand name tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sijui why I used whitedent

Nyagei
 
Whitedent haina ubora kihivyo, basi tu ulofa. I am telling you tumia Dabur Herbal, you will never use those substandard brands. Kama mdomo wako unatoa harufu basi hii ndio dawa. try it , you will tell me.
Hio dawa mbn kama ya uarabuni
 
Bei baba mambo quality tupa kulee...pia whitedent nahisi ina counterfeits kinoma hivyo inawezekana ndo sababu ya kupenya sokoni kirahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa Umenena vyema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…