Kwa mm naona cologate ndio ilianza tena kitambo ilikua unaambiwa nenda kanunue cologet kama ilivyokua brand ya rungukatika dawa za kuulia mbuNadhani kila mmoja wetu ni mtumiaji wa dawa ya meno, na katika soko letu Whitedent imeteka kabisa soko kiasi kwamba kila BRAND nyingine inayojaribu kujipenyeza inapigwa mweleka, why ?
- Colgate ni brand kubwa duniani lakini hapa kwetu imeshindwa kabisa kufanya vizuri licha ya matangazo wakati Whitedent hata hawana matangazo !!
- Aha ilikufa, AfyaDent haijulikani ilipo, Aloe zinasuasua!
SIRI YA WHITEDENT ni nini ?
Whitedent kwa upande wangu nikitumia meno huniuma hata kutafuna nyama ni shida ila nikitumia Colgate mambo yanakuwa fresha.
Inaweza kufanya meno kuwa meupe?Whitedent haina ubora kihivyo, basi tu ulofa. I am telling you tumia Dabur Herbal, you will never use those substandard brands. Kama mdomo wako unatoa harufu basi hii ndio dawa. try it , you will tell me.
Whitedent ilikuja miaka mingi sana baada ya Colgate na si kama usemavyo kuwa ilianza kabla ya wengine. Na mpaka leo watu wengi dawa ya meno wanaiita colgate.Nadhani sio kama wana mbinu kubwa wanayotumia lakini kinachowapa advantage ni ile kuwa strong brand ambayo ilianza wakati hakuna wengine na ikaendelea ku maintain ubora wake. Wakati tunakua tulikua hatusemi dawa ya meno ulikua ukitumwa dukani unaambiwa kanunue Whitedent so hiyo imekaa vizazi na vizazi. Wengi tunakuja kujua kama kuna dawa nyingine za meno tumeshakua wakubwa. Hii pia ni ipo kwenye dawa za viatu. Tulikua tukitumwa unaambiwa kanunue KIWI na sio dawa ya viatu. Mpaka baade ukikua ndo unajua kumbe KIWI ni brand tu ila ile ni dawa ya viatu. Hivo imechukua muda kidogo hawa watu kuwatoa kwenye hiyo position waliyopo kwenye akili za wateja. But naamini baada ya miaka michache hawawezi kuendelea kuwa hivi. Kumbuka hata simu ziliitwa mobitel wakati ule kwa kuwa ndo ulikua mtandao pekee wa simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kufananisha Vodacom na vitu vya kijinga.Whitedent jina lao tu linatosha kujiuuza ..nisawa na Vodacom.
Tukimbuke miaka hii baada ya kwenda shule ndo tumejua kutofautisha dawa za meno. Lakini kipindi cha nyuma dawa zote ziliitwa Colgate hata hiyo Whitedent.We Colgate... Haijafa ndio dawa pendwa japo whitedent huuzwa bei rais
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Sensodyne iko bongo ?Huyu anayesema whitedent ilikuwepo toka zamani kabla ya dawa nyingine za meno!.....napata mashaka...at least ujazo na bei labda ndio pigo analotumia whitedent...nadhani pia wabongo issue ya quality sio deal kwao....kwa mfano kuna moja ya UK inaitwa Sensodyne...kana ujazo mdogo ila price yake disaster!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ina maana bukta ni brandColgate inaingia kwenye historia kwa Tanzania maana hata watu wengine tulikuwa tukijua labda Dawa ya kuswakia kwa Kienglish inaitwa Colgate. Hii inaungana na Shell, Bukta,Kiwi na nyingine.
Sasa utafiti wako wa Whitedent japo wewe ni mtu wao lakini Ukweli ni kwamba inajitahidi kwasababu imeweza kuwa na aina kadhaa ambazo kila mtu anapata ya kwake kama ni Herbal au ingine. Pili size wameweza kuwa na size za kila mtu halafu ofa ya Mswaki ilimaliza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasakama pikipiki zenye matairi matatu kuitwa bajaj, wakat bajaj ni brand name tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha kiwi.Nadhani sio kama wana mbinu kubwa wanayotumia lakini kinachowapa advantage ni ile kuwa strong brand ambayo ilianza wakati hakuna wengine na ikaendelea ku maintain ubora wake. Wakati tunakua tulikua hatusemi dawa ya meno ulikua ukitumwa dukani unaambiwa kanunue Whitedent so hiyo imekaa vizazi na vizazi. Wengi tunakuja kujua kama kuna dawa nyingine za meno tumeshakua wakubwa. Hii pia ni ipo kwenye dawa za viatu. Tulikua tukitumwa unaambiwa kanunue KIWI na sio dawa ya viatu. Mpaka baade ukikua ndo unajua kumbe KIWI ni brand tu ila ile ni dawa ya viatu. Hivo imechukua muda kidogo hawa watu kuwatoa kwenye hiyo position waliyopo kwenye akili za wateja. But naamini baada ya miaka michache hawawezi kuendelea kuwa hivi. Kumbuka hata simu ziliitwa mobitel wakati ule kwa kuwa ndo ulikua mtandao pekee wa simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanagawa miswaki bure....pia dawa haina harufu au ukakasi kama zingine...pia kasha lake linavutia..Nadhani kila mmoja wetu ni mtumiaji wa dawa ya meno, na katika soko letu Whitedent imeteka kabisa soko kiasi kwamba kila BRAND nyingine inayojaribu kujipenyeza inapigwa mweleka, why ?
- Colgate ni brand kubwa duniani lakini hapa kwetu imeshindwa kabisa kufanya vizuri licha ya matangazo wakati Whitedent hata hawana matangazo !!
- Aha ilikufa, AfyaDent haijulikani ilipo, Aloe zinasuasua!
SIRI YA WHITEDENT ni nini ?