Whitedent wanatumia Siri gani "kuua" brands nyingine za dawa za meno eg "Aha, AfyaDent na Colgate ?

Whitedent wanatumia Siri gani "kuua" brands nyingine za dawa za meno eg "Aha, AfyaDent na Colgate ?

Price differentiation ndo wanayotumia, volume kubwa wakati price iko chini kuliko Colgate kwa mfano ambao volume ndogo na price iko juu. Pili kidogo ile "home sweet home" ingawa siyo sana ila inasaidia watz kujisikia wanataka chao hata kama ni kiwanda cha muwekezaji kutoka nje!!!
 
Huyu anayesema whitedent ilikuwepo toka zamani kabla ya dawa nyingine za meno!.....napata mashaka...at least ujazo na bei labda ndio pigo analotumia whitedent...nadhani pia wabongo issue ya quality sio deal kwao....kwa mfano kuna moja ya UK inaitwa Sensodyne...kana ujazo mdogo ila price yake disaster!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kila mmoja wetu ni mtumiaji wa dawa ya meno, na katika soko letu Whitedent imeteka kabisa soko kiasi kwamba kila BRAND nyingine inayojaribu kujipenyeza inapigwa mweleka, why ?

- Colgate ni brand kubwa duniani lakini hapa kwetu imeshindwa kabisa kufanya vizuri licha ya matangazo wakati Whitedent hata hawana matangazo !!

- Aha ilikufa, AfyaDent haijulikani ilipo, Aloe zinasuasua!

SIRI YA WHITEDENT ni nini ?
Kwa mm naona cologate ndio ilianza tena kitambo ilikua unaambiwa nenda kanunue cologet kama ilivyokua brand ya rungukatika dawa za kuulia mbu
 
Whitedent haina ubora kihivyo, basi tu ulofa. I am telling you tumia Dabur Herbal, you will never use those substandard brands. Kama mdomo wako unatoa harufu basi hii ndio dawa. try it , you will tell me.
Inaweza kufanya meno kuwa meupe?
 
Colgate ni nzuri zaidi kwa upande wangu. Hii whitedent imekuwa hivyo kwa sababu ya kuwa "cheap" na ofa za miswaki.
 
Nadhani sio kama wana mbinu kubwa wanayotumia lakini kinachowapa advantage ni ile kuwa strong brand ambayo ilianza wakati hakuna wengine na ikaendelea ku maintain ubora wake. Wakati tunakua tulikua hatusemi dawa ya meno ulikua ukitumwa dukani unaambiwa kanunue Whitedent so hiyo imekaa vizazi na vizazi. Wengi tunakuja kujua kama kuna dawa nyingine za meno tumeshakua wakubwa. Hii pia ni ipo kwenye dawa za viatu. Tulikua tukitumwa unaambiwa kanunue KIWI na sio dawa ya viatu. Mpaka baade ukikua ndo unajua kumbe KIWI ni brand tu ila ile ni dawa ya viatu. Hivo imechukua muda kidogo hawa watu kuwatoa kwenye hiyo position waliyopo kwenye akili za wateja. But naamini baada ya miaka michache hawawezi kuendelea kuwa hivi. Kumbuka hata simu ziliitwa mobitel wakati ule kwa kuwa ndo ulikua mtandao pekee wa simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Whitedent ilikuja miaka mingi sana baada ya Colgate na si kama usemavyo kuwa ilianza kabla ya wengine. Na mpaka leo watu wengi dawa ya meno wanaiita colgate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Colgate ni brand kubwa ni vile tu price yake iko juu
 
Huyu anayesema whitedent ilikuwepo toka zamani kabla ya dawa nyingine za meno!.....napata mashaka...at least ujazo na bei labda ndio pigo analotumia whitedent...nadhani pia wabongo issue ya quality sio deal kwao....kwa mfano kuna moja ya UK inaitwa Sensodyne...kana ujazo mdogo ila price yake disaster!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Sensodyne iko bongo ?
 
Colgate inaingia kwenye historia kwa Tanzania maana hata watu wengine tulikuwa tukijua labda Dawa ya kuswakia kwa Kienglish inaitwa Colgate. Hii inaungana na Shell, Bukta,Kiwi na nyingine.

Sasa utafiti wako wa Whitedent japo wewe ni mtu wao lakini Ukweli ni kwamba inajitahidi kwasababu imeweza kuwa na aina kadhaa ambazo kila mtu anapata ya kwake kama ni Herbal au ingine. Pili size wameweza kuwa na size za kila mtu halafu ofa ya Mswaki ilimaliza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ina maana bukta ni brand

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani ni issue ya kibiashara, mfanyabiashara anaweza akauza bidhaa yake bei rahisi ili apate faida kubwa kuliko auze bei kubwa faida ndogo. Sema wabongo tunamentality kwamba bidhaa yenye bei kubwa ndio bora kuliko ya bei ndogo. Mtu anakuta shati mlimani city anasema original ila akilikuta kariakoo ni feki. Kwangu mm sijaona utofauti wa ubora kati ya Colgate na whitedent coz hakuna formula iliyobuniwa tanzania kati ya dawa hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani sio kama wana mbinu kubwa wanayotumia lakini kinachowapa advantage ni ile kuwa strong brand ambayo ilianza wakati hakuna wengine na ikaendelea ku maintain ubora wake. Wakati tunakua tulikua hatusemi dawa ya meno ulikua ukitumwa dukani unaambiwa kanunue Whitedent so hiyo imekaa vizazi na vizazi. Wengi tunakuja kujua kama kuna dawa nyingine za meno tumeshakua wakubwa. Hii pia ni ipo kwenye dawa za viatu. Tulikua tukitumwa unaambiwa kanunue KIWI na sio dawa ya viatu. Mpaka baade ukikua ndo unajua kumbe KIWI ni brand tu ila ile ni dawa ya viatu. Hivo imechukua muda kidogo hawa watu kuwatoa kwenye hiyo position waliyopo kwenye akili za wateja. But naamini baada ya miaka michache hawawezi kuendelea kuwa hivi. Kumbuka hata simu ziliitwa mobitel wakati ule kwa kuwa ndo ulikua mtandao pekee wa simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha kiwi.
 
Nadhani kila mmoja wetu ni mtumiaji wa dawa ya meno, na katika soko letu Whitedent imeteka kabisa soko kiasi kwamba kila BRAND nyingine inayojaribu kujipenyeza inapigwa mweleka, why ?

- Colgate ni brand kubwa duniani lakini hapa kwetu imeshindwa kabisa kufanya vizuri licha ya matangazo wakati Whitedent hata hawana matangazo !!

- Aha ilikufa, AfyaDent haijulikani ilipo, Aloe zinasuasua!

SIRI YA WHITEDENT ni nini ?
Wanagawa miswaki bure....pia dawa haina harufu au ukakasi kama zingine...pia kasha lake linavutia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom