Whitedent wanatumia Siri gani "kuua" brands nyingine za dawa za meno eg "Aha, AfyaDent na Colgate ?


Na Mimi nilitaka kukumbushia hili kuhusu Pepsi sijui majanga gani yalimpata mpaka akafunga viwanda kina Mzee Mengi ndo wakatoboa hapo. Miaka ya 90 mapema
 
Bora mie muhenga nimezoea kutumia Mkaa
Hahaaaa

Na kuna ile nyingine yenye virangi vitatu (AquaFresh???) Nilikua naila kama ice cream. Mpaka mzee aliposhituka bajeti inaenda ndivyo sivyo akaninyoosha ndo nikaacha
 
Tanzania zimejaa colgate fake. Lakini Whitedent huwezi linganisha na Colgate.
 
White dent sio kwamba ndio iliyoanza kabla ya Colgate, na signal ...
White dent wamalitawala soko la Tz...
Mipango mikakati yao madhubuti sana ambayo inagusa kila hali Ninavyokuhusudu soko la kitanzania. 7ps zipo njema. Japo ubora wake hauifikii Colgate hata nusu yake.
 
Unamaanisha kama itatoe dawa yenye bei ya chini kidogo kuliko Whitedent inaweza kushindana na Whitedent ?
Ndio.... Sehemu kubwa ya watanzania tunasemaga dawa ya meno.
Ilitokea Dawa ya meno yenye vigezo vyote Kama whitedent ikasambazwa, na kutangazwa kama whitedent ila ikawa na bei pungufu kidogo ya whitedent, ninauhakika watanzania wengi watainunua
 
Ni hovyo kabisa hii dawa, ila Bei ndogo na kwa ujazo mkubwa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kwa sababu mtu anatumia whitedent kila siku basi anajua na wengine wanatumia hiyo whitedent. Colgate walikuwepo siku nyingi na bado wpo na kwa taarifa tu mauzo ya colgate yapo juu na ina watumiaji wengi. Zipo familia ambazo hawatumii dawa nyingine tofauti na Colgate
 
Well said mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…