kama pikipiki zenye matairi matatu kuitwa bajaj, wakat bajaj ni brand name tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kampuni mbili hapa bongo zilikuwa juu sana ila walipo jichanganya tu miaka ya tisini basi wakapigwa bao la ajabu.
1. Back in time Colgate ilikuwa dawa pendwa sana na watz miaka hiyo but waliingia mitini kiaina Whitedent akachukua nafasi.
2. Pepsi alikuwa hana mpinzani Tz hii,lakini alipo zingua tu Coka akampiga bao la uhakika.
"the highest risk shoud give the maximum profit"
White dent sio kwamba ndio iliyoanza kabla ya Colgate, na signal ...Nadhani sio kama wana mbinu kubwa wanayotumia lakini kinachowapa advantage ni ile kuwa strong brand ambayo ilianza wakati hakuna wengine na ikaendelea ku maintain ubora wake. Wakati tunakua tulikua hatusemi dawa ya meno ulikua ukitumwa dukani unaambiwa kanunue Whitedent so hiyo imekaa vizazi na vizazi. Wengi tunakuja kujua kama kuna dawa nyingine za meno tumeshakua wakubwa. Hii pia ni ipo kwenye dawa za viatu. Tulikua tukitumwa unaambiwa kanunue KIWI na sio dawa ya viatu. Mpaka baade ukikua ndo unajua kumbe KIWI ni brand tu ila ile ni dawa ya viatu. Hivo imechukua muda kidogo hawa watu kuwatoa kwenye hiyo position waliyopo kwenye akili za wateja. But naamini baada ya miaka michache hawawezi kuendelea kuwa hivi. Kumbuka hata simu ziliitwa mobitel wakati ule kwa kuwa ndo ulikua mtandao pekee wa simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina ubora wa kuifikia Colgate
Ndio.... Sehemu kubwa ya watanzania tunasemaga dawa ya meno.Unamaanisha kama itatoe dawa yenye bei ya chini kidogo kuliko Whitedent inaweza kushindana na Whitedent ?
Sawasawa mkuuHaina ubora wa kuifikia Colgate
Kuna dawa ilikuwa yaitwa Bonamed ilikuwa mzuri sana sijui imepotelea wapi?Colgate ni brand kubwa ni vile tu price yake iko juu
upatikanaji wake kwenye maduka upoje??Whitedent haina ubora kihivyo, basi tu ulofa. I am telling you tumia Dabur Herbal, you will never use those substandard brands. Kama mdomo wako unatoa harufu basi hii ndio dawa. try it , you will tell me.
Unaipataje hii mkuuWhitedent haina ubora kihivyo, basi tu ulofa. I am telling you tumia Dabur Herbal, you will never use those substandard brands. Kama mdomo wako unatoa harufu basi hii ndio dawa. try it , you will tell me.
Ni hovyo kabisa hii dawa, ila Bei ndogo na kwa ujazo mkubwaNadhani kila mmoja wetu ni mtumiaji wa dawa ya meno, na katika soko letu Whitedent imeteka kabisa soko kiasi kwamba kila BRAND nyingine inayojaribu kujipenyeza inapigwa mweleka, why ?
- Colgate ni brand kubwa duniani lakini hapa kwetu imeshindwa kabisa kufanya vizuri licha ya matangazo wakati Whitedent hata hawana matangazo !!
- Aha ilikufa, AfyaDent haijulikani ilipo, Aloe zinasuasua!
SIRI YA WHITEDENT ni nini ?
JM Mall supermarket along Samora avenue
Hahahaha
Well said mkuuWhitedent anachomzidi Colgate ni bei na ujazo ukienda dukani ukinunua Colgate ile ya elfu 3 halafu ukiliinganisha na whitedent ya elfu 3 utaona ujazo wa whitedent ni mkubwa kuliko wa colgate tena na whitedent unakuta na kamswaki chako. Kitu kingine whitedent zipo za size zaidi ya 5 na bei tofauti wakati colgate yeye ana size 3 tu.
G.O.M.D