Whitedent wanatumia Siri gani "kuua" brands nyingine za dawa za meno eg "Aha, AfyaDent na Colgate ?

Nimetumia mara ya mwisho mwaka jana hiyo whitedent, nilipooa tu wife akasema achana na hizo tope [emoji16][emoji16][emoji16] sasahivi ni mwendo wa colgate tena mwenyewe anajua duka lenye colgate original

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiandae kuwa kibogoyo Uzeeni, waulize wazee wa kizungu wengi ni vibogoyo!
Mie huwa natafuna alovera zangu asubuhi au majani ya mpera [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
phala, huwezifananisha Colgate na izo taka taka zako ulizozitaja
 
whitedent anauza bei chee kila mtanzania hasa wenye hali ya chini wanauwezo wa kumiliki dawa ya meno.
 
Whitedent kwangu Hamna kitu,Dawa bora naitumia tangu naanza kujitambua ni Colgate nikitumia Whitedent nakuwa sawa na mtu aliyekurupuka tu na kuondoka bila kupiga mswaki
 
Hadi leo mtu akienda Dukani hata kama anataka Whitedent atasema naomba Colgate
 
Ndogo kuzidi hata Dawa za meno za Aloevera ( Forever ) ?
Za Aloe vera hata Kama bei iko chini watu wanahisi ni usanii kutokana na staili ya wasambazaji wake(Network marketers) ambao hutumia maneno mengi sana kuwarubuni watu.
 
Whitedent kwangu Hamna kitu,Dawa bora naitumia tangu naanza kujitambua ni Colgate nikitumia Whitedent nakuwa sawa na mtu aliyekurupuka tu na kuondoka bila kupiga mswaki
Mkuu ni kweli Colgate ina quality kubwa kuliko whitedent na hata Mimi naipenda lkn shida haipo consistent kwenye market.
Zilikuwepo miaka ya zamani sana badae zikapotea kabisa halaf miaka hii ya karibuni zimeanza kuingia tena but haziko reliably supplied.
Maduka ya mtaani hazionekani hadi ukazitafute kwenye supermarkets so kwa hii tendency ina disappoint wateja but whitedent wapo consistent tangu wameanza hadi leo.
 
Nikweli mkuu, na hazija fika hadi interior of Tz kama Whitedent
 
Naunga mkono hoja kuna brand ambazo hazihitaji matangazo maana whitedent dawa zao ni nyingi sana madukani kushinda hizo nyingine na pia zina ubora kushinda arovel na bei ni ya kitanzania ( affordable ) hivyo watoto kujua dawa ya meno ni whtdent ni lazima kama sisi tulivyojua kua bic ni kingereza cha kalamu ,wakat kalamu ni 'pen' ila sisi wa enzi hizo ukisema bic tulijua ni sawa na pen
 
COLGATE NI HABARI NYINGINE USISAFANANISHE NA HAYO ya Bei RAHISI,maujazo mengi ubora kiduchuuuuu watu wanakimbilia mpaketi mkubwa Bei nduchu matumizi miezi kadhaaa bila kujalia athari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…