Whitedent wanatumia Siri gani "kuua" brands nyingine za dawa za meno eg "Aha, AfyaDent na Colgate ?

Whitedent wanatumia Siri gani "kuua" brands nyingine za dawa za meno eg "Aha, AfyaDent na Colgate ?

Ni sawasawa kusema Tecno anatumia njia gani kuua brands za Iphone na Sony Tanzania au na pengine Samsung?

Simple, jibu ni "BEI".

Form II Kuna topic inaitwa DEMAND

Demand tunasema ni willing na Ability ya Customer kununua bidhaa. Sasa Whitedent ndio watanzania wana ability kubwa ya kununua Whitedent kuliko Colgate japo wanatamani (willing) kutumia product ya Colgate.
Kwakweli bei ndio inayofanya watu wengi watumie whitedent.
 
Colgate ni bora kuliko whitedent, tatizo ni upatikatanaje wake mfano kwa sasa nipo geita wiki ya pili nimezungua maduka kibao ila haipatikani.
 
mkuu hapo kusema dukani tunatumwa whitedent hadi ikawa ndo jina la dawa meno kamaa vile shell au HONDA pikipiki yoyote tu HONDA gari yotote ya kubebea mizigo ni PIKAP(PICK UP) hapana sikweri labda wewe kizazi cha mkapa kuja jk lakin sisi Kizazi cha 80 kuja mpk miaka ya 90 enzi hizo tulotumia SABUNI za
MBUNI MBUNJU ILULA BOBYSOAP KODRAI RUMI REXONA LIFEBUOY
Mafuta kupaka kama LADYGUY YU RAYS SHANTI YOLANDA tulovaa ndala za SKYWAY tulopanda CHAIMAHARAGE

ninakumbuka na ninajua kuwa COLGATE ilikuwa ndo Ilikuwa jina la dawa ya meno kipindi hicho inakimbizana na CLOSE UP wakati BLUEBAND kwa mbali walikuwa wanakimbizana na TANBOND mpk ikapotea mkuu umetumia BLUE BAND ya kopo hili wewe View attachment 580475
umeshakula mkate na TANBOND hii toka mwanza View attachment 580476 whitedante ni ya juzijuzi tu huwezi kuipa sifa hiyo unayoipaa

Unakumbuka tangazo la ITV
COLGATE NO CAVITIES !!

kingine ni kwamba ukitumia WHITEDENT unadumaza meno yako na unayaumiza na hata ukienda KUNG'OA JINO docta lazima akuulize hili swali wewe unatumia WHITEDENT
na wanaong'oa meno Hosptari 90% ni watumiaji wa WHITEDENT
Hahahaaaaa!! Umenikumbusha mbali aiseee!! Kweli ulikuwa ukitumwa dukani unaambiwa ukanunue colgate sio dawa ya meno. Colgate ndio ilikuwa dawa niloizoea hadi nilipohamia kwa sensodine.
 
Nadhani kila mmoja wetu ni mtumiaji wa dawa ya meno, na katika soko letu Whitedent imeteka kabisa soko kiasi kwamba kila BRAND nyingine inayojaribu kujipenyeza inapigwa mweleka, why ?

- Colgate ni brand kubwa duniani lakini hapa kwetu imeshindwa kabisa kufanya vizuri licha ya matangazo wakati Whitedent hata hawana matangazo !!

- Aha ilikufa, AfyaDent haijulikani ilipo, Aloe zinasuasua!

SIRI YA WHITEDENT ni nini ?
Kuna kampuni mbili hapa bongo zilikuwa juu sana ila walipo jichanganya tu miaka ya tisini basi wakapigwa bao la ajabu.

1. Back in time Colgate ilikuwa dawa pendwa sana na watz miaka hiyo but waliingia mitini kiaina Whitedent akachukua nafasi.

2. Pepsi alikuwa hana mpinzani Tz hii,lakini alipo zingua tu Coka akampiga bao la uhakika.

"the highest risk shoud give the maximum profit"
 
Hizi product zote hakuna hata moja yenye urafiki na mtumiaji zipo kwa ajiri ya biashara
Kumbuka kadri unavyotumia hizi product ndivyo na uimara wa meno yako unavyopungua hakuna ukipatacho kwa kutumia dawa za mswaki zaidi ya fleva na ladha tamu lakini ndani yk kuna comical maalum iliyowekwa ili kumuathir mtumiaji ili aendelee kutumia bidhaa yao
Jiulize kwa nini wazee wakizungu wote ni vibogoyo?
 
Colgate inaingia kwenye historia kwa Tanzania maana hata watu wengine tulikuwa tukijua labda Dawa ya kuswakia kwa Kienglish inaitwa Colgate. Hii inaungana na Shell, Bukta,Kiwi na nyingine.

Sasa utafiti wako wa Whitedent japo wewe ni mtu wao lakini Ukweli ni kwamba inajitahidi kwasababu imeweza kuwa na aina kadhaa ambazo kila mtu anapata ya kwake kama ni Herbal au ingine. Pili size wameweza kuwa na size za kila mtu halafu ofa ya Mswaki ilimaliza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umenena na atleast ni mkongwe,toka zamani tulikuwa tunatumia Colgate kama dawa ya meno enzi hizo kuna redimedi.

"the highest risk shoud give the maximum profit"
 
Nadhani sio kama wana mbinu kubwa wanayotumia lakini kinachowapa advantage ni ile kuwa strong brand ambayo ilianza wakati hakuna wengine na ikaendelea ku maintain ubora wake. Wakati tunakua tulikua hatusemi dawa ya meno ulikua ukitumwa dukani unaambiwa kanunue Whitedent so hiyo imekaa vizazi na vizazi. Wengi tunakuja kujua kama kuna dawa nyingine za meno tumeshakua wakubwa. Hii pia ni ipo kwenye dawa za viatu. Tulikua tukitumwa unaambiwa kanunue KIWI na sio dawa ya viatu. Mpaka baade ukikua ndo unajua kumbe KIWI ni brand tu ila ile ni dawa ya viatu. Hivo imechukua muda kidogo hawa watu kuwatoa kwenye hiyo position waliyopo kwenye akili za wateja. But naamini baada ya miaka michache hawawezi kuendelea kuwa hivi. Kumbuka hata simu ziliitwa mobitel wakati ule kwa kuwa ndo ulikua mtandao pekee wa simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
pikipiki pia zilikuwa zikiitwa 'Honda'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You serious??
8279f22b4732149fdb4c41a301e75eff.jpg


Sent from my iDevice using Tapatalk
 
Nadhani kila mmoja wetu ni mtumiaji wa dawa ya meno, na katika soko letu Whitedent imeteka kabisa soko kiasi kwamba kila BRAND nyingine inayojaribu kujipenyeza inapigwa mweleka, why ?

- Colgate ni brand kubwa duniani lakini hapa kwetu imeshindwa kabisa kufanya vizuri licha ya matangazo wakati Whitedent hata hawana matangazo !!

- Aha ilikufa, AfyaDent haijulikani ilipo, Aloe zinasuasua!

SIRI YA WHITEDENT ni nini ?
Mass marketing, ujazo, kuelewa wateja wanataka nini (yaani kubadili taste ya dawa kulingana na vionjo vya wateja).
 
Kuna kijana mmoja pale Muhimbili alifanya utafiti kwenye hizi brands za dawa za meno zilizoko sokoni

Yeye alikua akilinganisha uwezo wa kuua bacteria wanaopatikana kwenye kinywa na wanaosababisha matundu kwenye meno and other oral conditions

Alichogundua ni kuwa dawa yenye activity kubwa kuliko zote ni Whitedent yenye ticlosan (ilikua na zone of inhibition kubwa zaidi) ikifuatiwa na colgates huku Aloevera zikishika mkia
 
Ni sawasawa kusema Tecno anatumia njia gani kuua brands za Iphone na Sony Tanzania au na pengine Samsung?

Simple, jibu ni "BEI".

Form II Kuna topic inaitwa DEMAND

Demand tunasema ni willing na Ability ya Customer kununua bidhaa. Sasa Whitedent ndio watanzania wana ability kubwa ya kununua Whitedent kuliko Colgate japo wanatamani (willing) kutumia product ya Colgate.
Samahani mkuu hiyo topic ya Demand form 2 ni ya nchi gani?
 
Nadhani sio kama wana mbinu kubwa wanayotumia lakini kinachowapa advantage ni ile kuwa strong brand ambayo ilianza wakati hakuna wengine na ikaendelea ku maintain ubora wake. Wakati tunakua tulikua hatusemi dawa ya meno ulikua ukitumwa dukani unaambiwa kanunue Whitedent so hiyo imekaa vizazi na vizazi. Wengi tunakuja kujua kama kuna dawa nyingine za meno tumeshakua wakubwa. Hii pia ni ipo kwenye dawa za viatu. Tulikua tukitumwa unaambiwa kanunue KIWI na sio dawa ya viatu. Mpaka baade ukikua ndo unajua kumbe KIWI ni brand tu ila ile ni dawa ya viatu. Hivo imechukua muda kidogo hawa watu kuwatoa kwenye hiyo position waliyopo kwenye akili za wateja. But naamini baada ya miaka michache hawawezi kuendelea kuwa hivi. Kumbuka hata simu ziliitwa mobitel wakati ule kwa kuwa ndo ulikua mtandao pekee wa simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Plus vituo vya mafuta tunaviita Shell mara nyingi wakati Shell ni cama total, puma etc
 
Colgate inaingia kwenye historia kwa Tanzania maana hata watu wengine tulikuwa tukijua labda Dawa ya kuswakia kwa Kienglish inaitwa Colgate. Hii inaungana na Shell, Bukta,Kiwi na nyingine.

Sasa utafiti wako wa Whitedent japo wewe ni mtu wao lakini Ukweli ni kwamba inajitahidi kwasababu imeweza kuwa na aina kadhaa ambazo kila mtu anapata ya kwake kama ni Herbal au ingine. Pili size wameweza kuwa na size za kila mtu halafu ofa ya Mswaki ilimaliza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono kiongozi. Kuna size tofauti, kuna mswaki. Mimi mdau wa Whitedent Herbal
 
Nadhani kila mmoja wetu ni mtumiaji wa dawa ya meno, na katika soko letu Whitedent imeteka kabisa soko kiasi kwamba kila BRAND nyingine inayojaribu kujipenyeza inapigwa mweleka, why ?

- Colgate ni brand kubwa duniani lakini hapa kwetu imeshindwa kabisa kufanya vizuri licha ya matangazo wakati Whitedent hata hawana matangazo !!

- Aha ilikufa, AfyaDent haijulikani ilipo, Aloe zinasuasua!

SIRI YA WHITEDENT ni nini ?
Nimetumia mara ya mwisho mwaka jana hiyo whitedent, nilipooa tu wife akasema achana na hizo tope [emoji16][emoji16][emoji16] sasahivi ni mwendo wa colgate tena mwenyewe anajua duka lenye colgate original

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Colgate ni dawa nzuri sana na inaondoa matatizo mengi sana madogomadogo ya kinywa.
Tangu nilipoanza kuitumia 2012 nikiwa chuo sijawahi kubadilisha nyingine. Ni bora nisafishe meno bila dawa ya meno kuliko kutumia whitedent

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom