Baby Nimah
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 719
- 833
PW mambo
Habari wadau,kama ww ni mfuatiliaji wa muziki bila shaka utakuwa unawajua wanamuziki hawa.Je kwa mtazamo wako nani ana kipaji kuliko mwenzake?mimi kwa mtazamo wangu naonal Whitney houston ana kipaji kikubwa kuliko Celine Dion,wewe je unaonaje?
Hadithi za shigongo au?Whitney Houston was beautiful and talented nasikia nyimbo zake zilikuwa zikitumika kuwaamsha wagonjwa walio kwenye coma situation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Try it on my own... Ni wimbo unonipa ari na kuamini mwanamke anaweza fanya lolote bila mwanaune..
Beyo unamuacha wapiHakuna msanii wa kike duniani aliyetokea kumzidi Whitney, na sidhan kama atakuja kutokea....
Anaanza Whiyney, anafata Celine na wa 3 ni Mariah Carey
Nyimbo nzuri sio mpaka uzifatiliee mzee babaa.. Hata Nikki mbishi ana nyimbo nzuriirikiboy jaribu kufuatilia nyimbo za whitney ni tamu balaa
Hakunaa kituu hapoo kwa Huyo Whitney... Hata kanda bongo man mbona alikuwa fundiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mnajikuta wa zamani shwain..[emoji23][emoji23]Itakuwa umerogwa wewe sio bure ... hahaaa haha yaani kuna wakumfananisha na Whitney kweli .. au mmevuta bangi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uki maliza kuvuta bangi " naomba ndio uje ku-reply comments zangu ... you're not getting back to your sense aiseHakunaa kituu hapoo kwa Huyo Whitney... Hata kanda bongo man mbona alikuwa fundiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mnajikuta wa zamani shwain..[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bhasi sisi tunawambia Nyie wazew wa zamanii mnaojikutaa Kwamba hatumjui whitney.. Celine dions ni wa zamani piaa lakini anajulikana mpaka leooo huyoo Whitney watu wa pori hukoo hawamjuiii kabisa.. Ilaa achana na Dions.. kwanza kuna kale ka msemo kaWhitney Houston was beautiful and talented nasikia nyimbo zake zilikuwa zikitumika kuwaamsha wagonjwa walio kwenye coma situation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Celine ni mkali ila Whitney Houston ni habari nyingine. Hakuna kama yeye
Pambana jombaa... usijikute unajua sana mziki sijuii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usirudie kumfananisha Dions na vitu vya ajabuuHahaa yaani Whitney ndio mnamfananisha na Celine you guys mtakuwa mmekula kiporo sio bure
Tuna waomba mumtake radhi.. hata kama nimfu ata wa samehe tu huko alipoView attachment 1004532
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Achana na celine dions jombaaa... Yani achana na huyo Bi dadaa zile level nyingine..Uki maliza kuvuta bangi " naomba ndio uje ku-reply comments zangu ... you're not getting back to your sense aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa bwana ... haha hebu twende google kwanza tukatizame nani mwenye record bora kabisa na matuzo ya kufa mtuPambana jombaa... usijikute unajua sana mziki sijuii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usirudie kumfananisha Dions na vitu vya ajabuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe unasema tuzoo...!! Mnatuma nyimbo ambazo hata kuzisikia zinapigwa redioni ni mpaka anaepiga awe anafatilia mziki kwa ndani hasa.. Celine dions yanii kila Night vipind vya mapenzi lazima umsikieeee... Achana na dions..Wewe jamaa bwana ... haha hebu twende google kwanza tukatizame nani mwenye record bora kabisa na matuzo ya kufa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app