MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mademu wenye makalio makubwa wana nguvu kuliko wasomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly anamaanisha mtu kama huyo. Au mtu kama J. Edgar Hoover alivyokuwa Marekani kutokana na kuwa Director wa FBI kwa muda wa miaka zaidi ya 20. Au Henry Kissinger alivyokuwa Secretary of State na mhusika mkubwa wa sera za Marekani kwa muda mrefu.By elite unamaanisha kama yule Benjamin Franklin wa kwenye US $100 dollar bill?!
Mkuu hyo St Peters ni chuo au kambi ya kijeshi?Mkuu TumainiEl
Kuna vijana pale st peters
KWA miaka 12 Wana pewa mafunzo
Inaaminika mmoja wapo atakuja kupewa kitengo nyeti ILI kuuunda team ya kushughulika masuala mbali mbali ya kitaifa Nadhani hao ndio replacement ya kina mahiga,kombe na nk.
TUSUBIRI katiba mpya itasaidia wenye nchi ku manage uchumi wa nchi kuliko ilivyo Sasa uchumi umeachiwa Wana siasa!
SOURCE: Tumia akili.
Hapo kanisani St PetersMkuu hyo St Peters ni chuo au kambi ya kijeshi?
Kwahyo sifa za kujiunga hapo kanisan ni zipi ndugu?Hapo kanisani St Peters
Kama kwenda kusali una kuwa kawaida tu!lakini ishu ya ujasusi Hadi wao wakutafute wenyewe!!Kwahyo sifa za kujiunga hapo kanisan ni zipi ndugu?
Nakuelewa sana. Much respect kwa lile baaad dude lenye kichwa chake kwenye$100 dollar bill. Hatolewagi series zote za banknote hiyo anakuwepo... jamaa litakuwa liliifanyia America wonders... na uyo Edger Hoover mwenyewe nikimsoma na kuangalia picha yake dah jamaa ana radiate power ya ukweli. Pamoja na Ulysses S. Grant wa kwenye $50 jitu sidhani kama lina nonsese yoyote... watu hawamuweki yule Abraham Lincoln mwenye definition yake ya democracy wanayaweka hayo majuba ambayo siyo popularExactly anamaanisha mtu kama huyo. Au mtu kama J. Edgar Hoover alivyokuwa Marekani kutokana na kuwa Director wa FBI kwa muda wa miaka zaidi ya 20. Au Henry Kissinger alivyokuwa Secretary of State na mhusika mkubwa wa sera za Marekani kwa muda mrefu.
Hao watu kwanza wana sifa ya kutokuwa na makandokando na hawafanyi kazi kwa njaa, hata awe Rais hawezi wababaisha
Nimali nimecheza nikiwa mdogo nitafurahi hata kama sio mmoja wao.Mkuu TumainiEl
Kuna vijana pale st peters
KWA miaka 12 Wana pewa mafunzo
Inaaminika mmoja wapo atakuja kupewa kitengo nyeti ILI kuuunda team ya kushughulika masuala mbali mbali ya kitaifa Nadhani hao ndio replacement ya kina mahiga,kombe na nk.
TUSUBIRI katiba mpya itasaidia wenye nchi ku manage uchumi wa nchi kuliko ilivyo Sasa uchumi umeachiwa Wana siasa!
SOURCE: Tumia akili.
Huwitaji kufunguwa codes.Hapo kanisani St Peters
Kwenda kanisani kila siku nakufuwata neno la Mungu unakuwa mshirika mzuri sana. Ongea na wazee wakanisa wakupe form kisha umfuwate.Kwahyo sifa za kujiunga hapo kanisan ni zipi ndugu?
Grant ni General aliyesaidia pakubwa sana Marekani kuwa moja leo hii. Statesmen wa Marekani walikuwa wa kuaminiwa wala hauhitaji kumuongoza mtu kama anajua kitu. Sio kama sisi eti Professor anasema ng'ombe wamekunya na kukojoa kwenye mto ndio maana samaki wanakufaNakuelewa sana. Much respect kwa lile baaad dude lenye kichwa chake kwenye$100 dollar bill. Hatolewagi series zote za banknote hiyo anakuwepo... jamaa litakuwa liliifanyia America wonders... na uyo Edger Hoover mwenyewe nikimsoma na kuangalia picha yake dah jamaa ana radiate power ya ukweli. Pamoja na Ulysses S. Grant wa kwenye $50 jitu sidhani kama lina nonsese yoyote... watu hawamuweki yule Abraham Lincoln mwenye definition yake ya democracy wanayaweka hayo majuba ambayo siyo popular
Yaani hao maprofessor na timu nzima walizingua big time... hata kama ni kwa ajiri ya national interest atleast wasingetufanyia kana kwamba sie wote ni wabugia tope tu they should have lied better... report ile inaweza kuwa scrutinized hata na dogo la form twoGrant ni General aliyesaidia pakubwa sana Marekani kuwa moja leo hii. Statesmen wa Marekani walikuwa wa kuaminiwa wala hauhitaji kumuongoza mtu kama anajua kitu. Sio kama sisi eti Professor anasema ng'ombe wamekunya na kukojoa kwenye mto ndio maana samaki wanakufa
Kwa maslahi yepi ya taifa mkuu?Yaani hao maprofessor na timu nzima walizingua big time... hata kama ni kwa ajiri ya national interest atleast wasingetufanyia kana kwamba sie wote ni wabugia tope tu they should have lied better... report ile inaweza kuwa scrutinized hata na dogo la form two
training miaka 12?!.Mkuu TumainiEl
Kuna vijana pale st peters
KWA miaka 12 Wana pewa mafunzo
Inaaminika mmoja wapo atakuja kupewa kitengo nyeti ILI kuuunda team ya kushughulika masuala mbali mbali ya kitaifa Nadhani hao ndio replacement ya kina mahiga,kombe na nk.
TUSUBIRI katiba mpya itasaidia wenye nchi ku manage uchumi wa nchi kuliko ilivyo Sasa uchumi umeachiwa Wana siasa!
SOURCE: Tumia akili.
Tumtafute wapi?ana nini cha maana cha kumtafutia.?Mtafute mtu anaitwa dudley Mawalla....utakuja kunishukuru...MD Consultants...