#COVID19 WHO: Corona imeathiri huduma za msingi za afya kwa kiasi kikubwa

#COVID19 WHO: Corona imeathiri huduma za msingi za afya kwa kiasi kikubwa

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
1644311759543.png

Huduma za Msingi za Afya zikiwemo programu za Chanjo na matibabu ya magonjwa kama UKIMWI ziliripotiwa kuathiriwa kwa 92% katika Nchi 129.

Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu athari za janga la COVID-19 uliofanywa kati ya Novemba - Desemba 2021 umeonesha huduma ziliathiriwa kwa kiasi kikubwa huku kukiwa na maboresho kidogo ikilinganishwa na uchunguzi wa awali wa athari za Ugonjwa huo mapema mwaka 2021.
===

Disruptions in basic health services such as vaccination programmes and treatment of diseases like AIDS were reported in 92% of 129 countries, a World Health Organization survey on the impact of the COVID-19 pandemic showed on Monday.

The survey, conducted in November-December 2021, showed services were "severely impacted" with "little or no improvement" from the previous survey in early 2021, the WHO said in a statement sent to journalists.

"The results of this survey highlight the importance of urgent action to address major health system challenges, recover services and mitigate the impact of the COVID-19 pandemic," the WHO said.

Emergency care, which includes ambulance and ER services, actually worsened with 36% of countries reporting disruptions versus 29% in early 2021 and 21% in the first survey in 2020.

Elective operations such as hip and knee replacements were disrupted in 59% of the countries and gaps to rehabilitative and palliative care were reported in about half of them.

The survey's timing coincided with surging COVID-19 cases in many countries in late 2021 due to the highly transmissible Omicron variant, piling additional strain on hospitals.

The WHO statement attributed the scale of disruptions to "pre-existing health systems issues" as well as decreased demand for care, without elaborating

Source: Reuters
 
Back
Top Bottom