Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

In beggining there was the word and the word was with God, which i find pretty confusing.

You shld not be confused my friend;read btn the lines and as much bible "books"to understand.
 
Wakristo na waislamu hupatwa na kigugumizi kikubwa pindi waulizwapo swali hili na watu wasio amini kuhusu uwepo wa Mungu. Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.. Kufahamu zaidi kuhusu majibu ya swali hili gumu lakini muhimu, tafadhali tembelea ; http;//www.mungwakabili.blogspot.com . MUNGU AKUBARIKI SANA.



Ukitaka kufahamu kuhusu masuala mbalimbali ya kiimani , tafadhali tembelea blogu ya.

ULIMWENGU USIONEKANA


Mungwa Kabili ni Mwandishi na Mtafiti kuhusu masuala yanayo husiana na imani pamoja na ulimwengu usio onekana.

even the bible failed to explain about this question dude..
 
TIME is the measure of changes in matter. Changes is something which is finite, so U can NOT have an infinite amount of finite things. Therefore Time is Finite. There could not have been an infinite amount of time ( changes ) before right now, because we never would have reached this moment in time. Therefore time has a beginning and you cannot have matter without time because when do you put it?
based on Time Finite logic this is purely insufficient to proof the time as being finite. How do you categorize the time? from millseconds to hour we had a day to week which lead to year decade then century, which based on numbers. Do you use the same logic to conclude the number is Finite?
 
TIME is the measure of changes in matter. Changes is something which is finite, so U can NOT have an infinite amount of finite things. Therefore Time is Finite. There could not have been an infinite amount of time ( changes ) before right now, because we never would have reached this moment in time. Therefore time has a beginning and you cannot have matter without time because when do you put it?

Based on Time is Finite logic this is purely insufficient to proof the time as being finite. How do you categorize the time? from millseconds to hour we had a day to week which lead to year decade then century, which based on numbers. Do you use the same logic to conclude the number is Finite?
 
Good luck explaining the difference between atheism and agnosticism hapa.

As to who created god, of course man created "god". The concept, not the actual.

The actual being an elaborate farcical fiction, with more holes than Swiss cheese nevertheless.

Habari bwana Kiranga
Tatizo lako ni kwamba huwa hauwezi kufocus kwenye mada moja kwa sababu ya kuwa na information nyingi zaidi ya unazohitaji, I wish nikukute siku kichaa chako kimetulia kiasi cha kuweza kufocus kwenda mada ya msingi, hakuna kitu kirahisi kama kuproove chochote kile kuhusu mambo ya Mungu.
 
Wakristo na waislamu hupatwa na kigugumizi kikubwa pindi waulizwapo swali hili na watu wasio amini kuhusu uwepo wa Mungu. Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.. Kufahamu zaidi kuhusu majibu ya swali hili gumu lakini muhimu, tafadhali tembelea ; http;//www.mungwakabili.blogspot.com . MUNGU AKUBARIKI SANA.



Ukitaka kufahamu kuhusu masuala mbalimbali ya kiimani , tafadhali tembelea blogu ya.

ULIMWENGU USIONEKANA


Mungwa Kabili ni Mwandishi na Mtafiti kuhusu masuala yanayo husiana na imani pamoja na ulimwengu usio onekana.

We na Uchawi wako huko huko!
 
Mie mmeshanicha phemba nalugha mchanganyiko hapanimepa kwabahati mbaya.Mungu amekuwa shemeji yenu?Nauliza!
 
Siku ambayo mwanadamu atajua Mungu katokea wapi na kaumbwa na nani basi huyo hatakuwa ni Mungu

THEREFORE WHO CREATED GOD?
God has never been created by anything because for something to be created, it must exist with matter, time and space, something that exist without matter, time and space can never be created, God existed without matter, time and space, he is actually the one who created matter , time and space and therefore cannot be created.
If any one ask you a silly question like who created God, then let him see this article.

SOURCE: http://www.mungwakabili.blogspot.com
 
Mie mmeshanicha phemba nalugha mchanganyiko hapanimepa kwabahati mbaya.Mungu amekuwa shemeji yenu?Nauliza!

THEREFORE WHO CREATED GOD?
God has never been created by anything because for something to be created, it must exist with matter, time and space, something that exist without matter, time and space can never be created, God existed without matter, time and space, he is actually the one who created matter , time and space and therefore cannot be created.
If any one ask you a silly question like who created God, then let him see this article.

SOURCE: http://www.mungwakabili.blogspot.com
 
We na Uchawi wako huko huko!

THEREFORE WHO CREATED GOD?
God has never been created by anything because for something to be created, it must exist with matter, time and space, something that exist without matter, time and space can never be created, God existed without matter, time and space, he is actually the one who created matter , time and space and therefore cannot be created.
If any one ask you a silly question like who created God, then let him see this article.

SOURCE: ULIMWENGU USIONEKANA
 
TIME is the measure of changes in matter. Changes is something which is finite, so U can NOT have an infinite amount of finite things. Therefore Time is Finite. There could not have been an infinite amount of time ( changes ) before right now, because we never would have reached this moment in time. Therefore time has a beginning and you cannot have matter without time because when do you put it?

Based on Time is Finite logic this is purely insufficient to proof the time as being finite. How do you categorize the time? from millseconds to hour we had a day to week which lead to year decade then century, which based on numbers. Do you use the same logic to conclude the number is Finite?

The aim of this article is to help Christians and Muslims get rid of atheists when it comes to the question above, but kama utasoma makala yangu hadi mwisho utagundua kuwa ninacho kisema, is actually God existed without time, matter and space, no one created him, is the creator of each and ecerything.
 
Wakristo na waislamu hupatwa na kigugumizi kikubwa pindi waulizwapo swali hili na watu wasio amini kuhusu uwepo wa Mungu. Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.. Kufahamu zaidi kuhusu majibu ya swali hili gumu lakini muhimu, tafadhali tembelea ; http;//www.mungwakabili.blogspot.com . MUNGU AKUBARIKI SANA.



Ukitaka kufahamu kuhusu masuala mbalimbali ya kiimani , tafadhali tembelea blogu ya.

ULIMWENGU USIONEKANA


Mungwa Kabili ni Mwandishi na Mtafiti kuhusu masuala yanayo husiana na imani pamoja na ulimwengu usio onekana.

Mungu kawa invented na mwanadamu!
 
Habari bwana Kiranga
Tatizo lako

You are starting on the wrong foot, by being condescending. Kwamba nina tatizo. I do not like that. Kama nina tatizo argue your way to that conclusion, even leading me to it in a Socratic manner. Do not brandish your opinion as fact.

ni kwamba huwa hauwezi kufocus kwenye mada moja kwa sababu ya kuwa na information nyingi zaidi ya unazohitaji,

Unajuaje kwamba ku focus ni kitu kizuri na si kibaya? Unajuaje kwamba habari nzima inavyozungumziwa si very narrowly na kunahitajika discussion pana zaidi? Unajuaje kwamba mimi nina information nyingi zaidi ya ninazohitaji na si wewe ambaye huna information nyingi kama unazohitaji?

In any case, wewe mwenyewe umeshindwa ku focus kwenye mada yako - tatizo langu la kukosa focus- kwa kunieleza nakosaje focus, kwa mifano, ili kama ni kweli niweze kujirekebisha. Contrary to popular belief, Kiranga is a very reproachable fellow. And once he realizes genuinely he is in the wrong, admitting and correcting the mistake is no biggie. There is much learning in that outlook.

Sasa hunisaidii kwa kuweka mambo jumlajumla, niambie vipi nakosa focus, wapi, ku focus kungenisaidia vipi zaidi hapa, na pale, etc.

Usininyime elimu.

I wish nikukute siku kichaa chako kimetulia

Some would take this negatively, I choose to take it as a dilapidated compliment bent on itself.

Tunakutana hapa. Uzuri wa focus ni kwamba, unavyozidi ku focus ndivyo unavyozidi kuona kwamba utajua zaidi kuhusu habari finyu, na kujua zaidi kuhusu habari zaidi inabidi u combine focus na big picture thinking.

One does not get to see a picture clearly by focusing on one pixel, all one will see will be a blur.

One gets to see a picture clearly by adopting the stance of maximum big picture focusing that allows for maximum pixelation.

kiasi cha kuweza kufocus kwenda mada ya msingi, hakuna kitu kirahisi kama kuproove chochote kile kuhusu mambo ya Mungu.

Hakuna kitu rahisi kama ku prove chochote kile kuhusu mambo ya mungu?

Did you even read what you wrote?

Wanafalsafa wamejadili proofs za mungu, mpaka wengine wamesema haiwezekani kuwa "proved" one way or the other, wewe unasema hili ni swali rahisi?

Au una maana hakuna kitu kigumu kama hiki?
 
Usiniambie kwamba leo ndio mara yako ya kwanza kusikia kuhusu swali hili, anyways, mimi nipo hapa kwa ajili ya kutoa majibu ya kisayansi la swali hilo ambalo mara nyingi huulizwa na maatheists, tafadhali, tembelea : ULIMWENGU USIONEKANA , usome makala yote uelewe nilicho kiandika.

the god that atheists hawakubali ni the Jewish god (I.e the Christian and Muslim gods)....you don't need quantum physics to prove that the Jewish god doesn't exist!!!!! Usihangaike.
 
The aim of this article is to help Christians and Muslims get rid of atheists when it comes to the question above, but kama utasoma makala yangu hadi mwisho utagundua kuwa ninacho kisema, is actually God existed without time, matter and space, no one created him, is the creator of each and ecerything.

Which god?
 
the god that atheists hawakubali ni the Jewish god (I.e the Christian and Muslim gods)....you don't need quantum physics to prove that the Jewish god doesn't exist!!!!! Usihangaike.

That one along with any supernatural godhead.
 
You are starting on the wrong foot, by being condescending. Kwamba nina tatizo. I do not like that. Kama nina tatizo argue your way to that conclusion, even leading me to it in a Socratic manner. Do not brandish your opinion as fact.



Unajuaje kwamba ku focus ni kitu kizuri na si kibaya? Unajuaje kwamba habari nzima inavyozungumziwa si very narrowly na kunahitajika discussion pana zaidi? Unajuaje kwamba mimi nina information nyingi zaidi ya ninazohitaji na si wewe ambaye huna information nyingi kama unazohitaji?

In any case, wewe mwenyewe umeshindwa ku focus kwenye mada yako - tatizo langu la kukosa focus- kwa kunieleza nakosaje focus, kwa mifano, ili kama ni kweli niweze kujirekebisha. Contrary to popular belief, Kiranga is a very reproachable fellow. And once he realizes genuinely he is in the wrong, admitting and correcting the mistake is no biggie. There is much learning in that outlook.

Sasa hunisaidii kwa kuweka mambo jumlajumla, niambie vipi nakosa focus, wapi, ku focus kungenisaidia vipi zaidi hapa, na pale, etc.

Usininyime elimu.



Some would take this negatively, I choose to take it as a dilapidated compliment bent on itself.

Tunakutana hapa. Uzuri wa focus ni kwamba, unavyozidi ku focus ndivyo unavyozidi kuona kwamba utajua zaidi kuhusu habari finyu, na kujua zaidi kuhusu habari zaidi inabidi u combine focus na big picture thinking.

One does not get to see a picture clearly by focusing on one pixel, all one will see will be a blur.

One gets to see a picture clearly by adopting the stance of maximum big picture focusing that allows for maximum pixelation.



Hakuna kitu rahisi kama ku prove chochote kile kuhusu mambo ya mungu?

Did you even read what you wrote?

Wanafalsafa wamejadili proofs za mungu, mpaka wengine wamesema haiwezekani kuwa "proved" one way or the other, wewe unasema hili ni swali rahisi?

Au una maana hakuna kitu kigumu kama hiki?

Ndio kile kile nilichokieleza, huku ukiwa unaelewa hoja yangu ya msingi ni nini. umeachana na hoja hiyo umerukia kwenye mambo mengine.
 
Back
Top Bottom