sajumo
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 1,834
- 1,055
There is no evidence whatsoever that proves the existence of a god, Based on this, I can comfortably declare that there is no good. I will be happy to change my stance if I am provided evidence that proves the existence of a god.
qur an na sayans havitakuonesha vp mungu yupo ila tu utaona uwezo wa mungu katika uumbaji kama utahtaji evidence utakufa ukiwa mpingaji ila nakushaur ikiwa sayans ina kikomo chimbua upande wa pili nna hakika una iq kubwa kwa jins unavyo tetea hoja zako kisomi unaonaje ukajifunza qur an ili tu upate kujua udhaif uliopo ndani ya qur an kama waislam walivyojua udhaifu wa sayans silim hata kinafki tu then pitia hk kitabu cha ajabu kiundani nina hakika hakutakuwa na mtu wa kukuchanganya humu jf maana ikiwa wenzetu wametukimbia hata cc waislam tutakukimbia wewe ni mtu muhimu jifunze ujue muujiza wa qur an ecomicaly scientificaly and socialy then utakubaliana nami kuwa muhammad hata mwanasayans wa leo hawez kuandika kile kitab